The best Tanzanian Football Player of All the Time

Haya mambo yanahitaji elimu, shibe, kuamini tunaweza na kutaka haswa, sina uhakika kama tunaweza..
 


Mimi nawafahamu wachzaji wanne ambao kwa maoni yangu kiwango chao kilikuwa cha juu...pengine walistahili kutokuwa Watanzania kwa kiwango chao...

1..Sunday Manara
2. Zamoyoni Mogela
3. Hamis Thobias Gaga
4. Maulid Dilunga
 
Nakubali huyu jamaa akikuwa noma hakuchuja mpaka amekuja kuacha soka

Alikuwa beki mtata kinoma kizota akishika mikoba kupita ilikua mbinde .

Baadaye akahamisha majeshi na kucheza kama striker namba 9 yaani ukisikia timu yake imefunga mwamba amecheza na asifunge halikuwa jambo jepesi

RIP kizota
 
Mngetusaidia kwa kutia vigezo nnavyotumia kusema fulani ni zaidi badala ya kujaza majina tu
 
R.I.P Said (Kizota)
====
Mimi 'shabiki' wa Yanga, ila kuna beki ya Simba anaitwa George Magere Masatu. Alikuwa mwiba ukizingatia umbo lake la mwili.
Simba waliiiua pamba maana hawa jamaa walitoka pamba ya mwanza na kabla ya hapo wakitoka mwadui wengi wao

Akina Hussein masha , Niko bambaga, madaraka Suleiman, waliifunga 11 goals timu ya shelisheli
 
Hivi labda niulize kwanini hao mnaowataja hawakwenda kucheza soka la kulipwa? Au hakukuwa na soka la kulipwa?

Sunday Manara (kompyuta), alicheza Uholazi, USA, Australia na Dubai kuanzia 1978 hadi 1984.
 
MBWANA SA
MBWANA SAMATTA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…