the best UNIVERSITY in TANZANIA

Status
Not open for further replies.
wewe ndio hujui,mzumbe statistics waliandika cut off 2.0 na wamechukua 1 na 2 tupu,msijisifie ujinga,hicho chuo chenu hata hapo nairobi hawakijui,bora kIU kipo juu

mama sibishani na wa KIU point 2 kujulikana ht veta inajulikana
 
 
we chizi mm nipo UDSM nasoma economics and statistics,lakini navifagilia UDOM,IFM,MZUMBE,ARDHI,DIT lakini hicho SAUT nahisi wanasoma wavivu waliobebwa na pass za divinity,

haya umeshinda mama ila reasoning zako zinaonesha wewe bado sana kwangu ukibisha ni_Pm nikwambie kitu baba ako anikabidhi kabisa nikuoe
 
we chizi mm nipo UDSM nasoma economics and statistics,lakini navifagilia UDOM,IFM,MZUMBE,ARDHI,DIT lakini hicho SAUT nahisi wanasoma wavivu waliobebwa na pass za divinity,

ebu mwambie huyo.maana ana wivu sana na vyuo,wakat kachagua mwenyew
 
kweli dunia ina mambo. hivi kwa nini huwa tunaendeleza mada hizi. vijana tujadili mstakabadhi wa ajira hasa kwa wahitimu wa vyuo badala ya kutunishiana msuli kila wakati.
 
we ----- baba yangu kasoma statistics UDSM na saiv yupo TRA head quarter ni bussiness intelligence officer na pia mwaka jana amechaguliwa katika bodi ya POSTA ,muulizie USSI HAMZA HUSSEIN ,.chz wewe unaesoma kata TRA Utakusikia kwenye bomba

Swali , hivi TRA wanaajiri watu wa UDSM peke yake?au wanaajili watu kutokana na vyuo fulani fulani?
 
 
kweli dunia ina mambo. hivi kwa nini huwa tunaendeleza mada hizi. vijana tujadili mstakabadhi wa ajira hasa kwa wahitimu wa vyuo badala ya kutunishiana msuli kila wakati.

ujue huyu jamaa anatakiwa apewe somo.
 
 
Swali , hivi TRA wanaajiri watu wa UDSM peke yake?au wanaajili watu kutokana na vyuo fulani fulani?

sijasema hivyo,ila huyu ana mambo ya ajabu,alimuita baba yangu mburula,wanaajiriwa hata watu wa zanzibar university,ila sifa nyengine kusema kama SAUT kipo juu kuliko chuo chochote hapo ndio tumekosana
 
we chizi mm nipo UDSM nasoma economics and statistics,lakini navifagilia UDOM,IFM,MZUMBE,ARDHI,DIT lakini hicho SAUT nahisi wanasoma wavivu waliobebwa na pass za divinity,
una uhakika kwamba wanaosoma SAUT wamebebwa na somo la divinity? , je wakina juma,ali, asha,awadhi,salum,issa,hussein ambao wanasoma SAUT walisoma divinity?? ,wewe wa UDSM unakipi kikubwa kwa kumdharau MTU WA SAUT?
 
we ----- baba yangu kasoma statistics UDSM na saiv yupo TRA head quarter ni bussiness intelligence officer na pia mwaka jana amechaguliwa katika bodi ya POSTA ,muulizie USSI HAMZA HUSSEIN ,.chz wewe unaesoma kata TRA Utakusikia kwenye bomba

Swali , hivi TRA wanaajiri watu wa UDSM peke yake?au wanaajili watu kutokana na vyuo fulani fulani?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…