Erick zeph Stanley
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 647
- 72
wewe ndio hujui,mzumbe statistics waliandika cut off 2.0 na wamechukua 1 na 2 tupu,msijisifie ujinga,hicho chuo chenu hata hapo nairobi hawakijui,bora kIU kipo juu
kumbe nabishana na kakahaba ka UDOM basi ndo maana
UDSM,MZUMBE,ARDHI,UDOM,IFM,MUST hawaihesabu hio A ya divinity au islamic knowledge,so nimeshajua kwann umekwenda SAUT..
Erick zeph Stanley ni hajui kitu.UNAJISIFIA SAUT WAKAT HUKUWEKA HATA CHAGUO LA KWANZA?ULIANZA NA UD WEWE ACHA MBWEMBWE WEWE.EBU MUULIZE YEYOTE MJINI NA VIJIJIN,SAUT HAWAIJUI WANAJUA UD,MU,SUA,DOM,IFM,ARU NA BAADH TIA,VINGNE HAWAVIJUI.MI MWENYEWE NLITAKA NICHAGUE HICHO NKAONA NI BORA NIWEKE ST JOHN.
mama sibishani na wa KIU point 2 kujulikana ht veta inajulikana
we chizi mm nipo UDSM nasoma economics and statistics,lakini navifagilia UDOM,IFM,MZUMBE,ARDHI,DIT lakini hicho SAUT nahisi wanasoma wavivu waliobebwa na pass za divinity,
we chizi mm nipo UDSM nasoma economics and statistics,lakini navifagilia UDOM,IFM,MZUMBE,ARDHI,DIT lakini hicho SAUT nahisi wanasoma wavivu waliobebwa na pass za divinity,
we ----- baba yangu kasoma statistics UDSM na saiv yupo TRA head quarter ni bussiness intelligence officer na pia mwaka jana amechaguliwa katika bodi ya POSTA ,muulizie USSI HAMZA HUSSEIN ,.chz wewe unaesoma kata TRA Utakusikia kwenye bomba
Erick zeph Stanley ni hajui kitu.UNAJISIFIA SAUT WAKAT HUKUWEKA HATA CHAGUO LA KWANZA?ULIANZA NA UD WEWE ACHA MBWEMBWE WEWE.EBU MUULIZE YEYOTE MJINI NA VIJIJIN,SAUT HAWAIJUI WANAJUA UD,MU,SUA,DOM,IFM,ARU NA BAADH TIA,VINGNE HAWAVIJUI.MI MWENYEWE NLITAKA NICHAGUE HICHO NKAONA NI BORA NIWEKE ST JOHN.
bora umwambie wewe,maana mtoto wa kiume analeta mambo ya kina shilole hapa,au mwenzao?
kweli dunia ina mambo. hivi kwa nini huwa tunaendeleza mada hizi. vijana tujadili mstakabadhi wa ajira hasa kwa wahitimu wa vyuo badala ya kutunishiana msuli kila wakati.
Erick zeph Stanley ni hajui kitu.UNAJISIFIA SAUT WAKAT HUKUWEKA HATA CHAGUO LA KWANZA?ULIANZA NA UD WEWE ACHA MBWEMBWE WEWE.EBU MUULIZE YEYOTE MJINI NA VIJIJIN,SAUT HAWAIJUI WANAJUA UD,MU,SUA,DOM,IFM,ARU NA BAADH TIA,VINGNE HAWAVIJUI.MI MWENYEWE NLITAKA NICHAGUE HICHO NKAONA NI BORA NIWEKE ST JOHN.
haya sawa walewale 2.5 sibishani na 3 za 15
Swali , hivi TRA wanaajiri watu wa UDSM peke yake?au wanaajili watu kutokana na vyuo fulani fulani?
haya umeshinda mama ila reasoning zako zinaonesha wewe bado sana kwangu ukibisha ni_Pm nikwambie kitu baba ako anikabidhi kabisa nikuoe
hebu tuambie unasoma nini kwanza,maana dume zima mara unasoma bachelor ya conflict resolution
bora umwambie wewe,maana mtoto wa kiume analeta mambo ya kina shilole hapa,au mwenzao?
nakufahamu vizuri au unaona hii ID unafikiri mtu mwingine? Ngoja kesho ntakuja mpaka kwako then uniambie UD umeingia mwaka gani teh teh teh
una uhakika kwamba wanaosoma SAUT wamebebwa na somo la divinity? , je wakina juma,ali, asha,awadhi,salum,issa,hussein ambao wanasoma SAUT walisoma divinity?? ,wewe wa UDSM unakipi kikubwa kwa kumdharau MTU WA SAUT?we chizi mm nipo UDSM nasoma economics and statistics,lakini navifagilia UDOM,IFM,MZUMBE,ARDHI,DIT lakini hicho SAUT nahisi wanasoma wavivu waliobebwa na pass za divinity,
we ----- baba yangu kasoma statistics UDSM na saiv yupo TRA head quarter ni bussiness intelligence officer na pia mwaka jana amechaguliwa katika bodi ya POSTA ,muulizie USSI HAMZA HUSSEIN ,.chz wewe unaesoma kata TRA Utakusikia kwenye bomba
haya sawa walewale 2.5 sibishani na 3 za 15
kijana hiyo three naisikia tu.so huko usiingie kabisa.sababu nna point zaid ya nane ndo maana nimepewa 1st choice yangu.we una chin ya 4 ndo maana upo huko
hahaha,aseme uko saut anasoma nin