The Bible Fraud & Secret in the bible...!!!

Nimekuelewa mkuu Muhammad ni mtu mwenye hekima na busara na wala hakutumwa na mungu alitumia uelewa wake maana alikuta jamii yake ipo ktk hali mbaya walikuwa wanauwa mpk watoto wa kike kasome Al khulasa tu nnuri ya qiin(siratul nabawiyya)
Muhhamad ni Mtume wa Allah na asinge kuwa na hekima au uwezo wa kuiandika Quran najua why unasema hivyo sababu huufamu muunda na maajabu ya kisayans yaliyopo ndani ya Quran muhhamad hakujua kusoma na kuandika na Allah alimfanya hivyo makusud ili kusije kusemwa aliandika yeye hivyo vitu..!...nina mambo ninafanya nitakutafutia video ya Quran and morden sience au nenda youtube kamtafut mtu anaitwa Dr Zakir Naik topic Quran and morden sience utapata mwangaza fulani
 
Nimekuelewa mkuu Muhammad ni mtu mwenye hekima na busara na wala hakutumwa na mungu alitumia uelewa wake maana alikuta jamii yake ipo ktk hali mbaya walikuwa wanauwa mpk watoto wa kike kasome Al khulasa tu nnuri ya qiin(siratul nabawiyya)
Duh! maelezo yote aliyetoa jamaa ndiyo umempa jibu hilo tu?[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Duh! maelezo yote aliyetoa jamaa ndiyo umempa jibu hilo tu?[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Kaelewa imebidi ahamie kwa muhhamad sio uwepo wa Mungu tena maana ameshakiri muhamad ana hekima ila hakutumwa na Mungu so anaamin Mungu yupo kwasasa.!
 
Moja ya sababu ya Bibilia Kuandikwa ni ili Kutunza kumbukumbu.Dhidi ya taarifa mbalimbali ambazo si sahihi na ili habari isisahaulike.

Kwa bahati mbaya sana. Freemasonry walikua maadui wakuu wa Kanisa La Mwanzo. Ilikua hairuhusiwi kwa mkristo mkatoliki kukomunika ikiwa utahundulika Uumwanachama wa hili kundi.

Freemansonry ni jamii ya wachawi waliokuwapo Ulaya, na hata miaka fulani waliuwawa sana. Wale waliosalimika ndio wakajiunga kwa siri na kuendesha operation zao kwa siri sana.

Sasa huyo Mwandishi unayetaka kukuamini, kwanza umesema ni Freemasmnsory.

Nimesoma vitabu vingi sana vinavyoukosoa ukristo na vingine. Nilikua na vitabu zaidi ya 60.

Moja ya jambo nilikuja kugundua ni kua vitabu vina spirit (Uvuvio):-.
Kwa mfano.ukisoma vitabu vibovu, basi unaivuvia nafsi yako hizo roho, the same ukisoma vitabu vyenye kukupa uzima wa Kimungu.
Nakushauri usisome hicho kitabu shika sana ukichonacho asije muovu akakunyang'anya
 
Mkuu huko sasa unapotea kwenye sayansi quran inapinga kweli nikuthibitishie
 

Mkuu sijasema mwandishi wa kitabu hii ni freemason ila nimesema aliyeandika bible ya King james version bw. Francis Bacon alikua among the earliest initiates to masonry, nafkiri ungesoma kitabu hiki ungepata chochote kitu. Mimi ni mkristu na naamini uwepo wa almighty God ila ukisoma hiki kitabu utaona kabisa kama kulikua na ka certain plot kakuficha baadhi ya ukweli katika bible na pia kuweka maarifa fulani ya siri ambayo huwezi kuyang’amua kwa msomaji wa kawaida unless uwe among the enlightned ones!
 
Duh! maelezo yote aliyetoa jamaa ndiyo umempa jibu hilo tu?[emoji15] [emoji15] [emoji15]
"Man wajadah fajadah" mkuu huwajuh waarabu embu angalia kinachoendelea sasa hv mashariki ya kati wanavyouwana na zamani ilikuwa hivyo sasa muhamad alikuwa anachukia mambo km hayo ikabd atafute sheria ya kuwapinga ndio akatengeneza mashairi ili kujifanya ametumwa na mungu
 
Nadhani ushasikia sana waislamu wakiuliza kama kuna ambaye anaweza anaweza kutunga aya japo moja tu mfano wa Qur'an.

Unalizungumziaje hilo katika hoja yako kwamba Muhammad ndiye katunga Qur'an na ni mashairi tu?
 
Kaelewa imebidi ahamie kwa muhhamad sio uwepo wa Mungu tena maana ameshakiri muhamad ana hekima ila hakutumwa na Mungu so anaamin Mungu yupo kwasasa.!
Nimeamini wapi mungu yupo? Quran imejaa uwongo mtupu kitabu hakieleweki mpangilio wake kinaenda mbele kinarudi nyuma
 
Nadhani ushasikia sana waislamu wakiuliza kama kuna ambaye anaweza anaweza kutunga aya japo moja tu mfano wa Qur'an.

Unalizungumziaje hilo katika hoja yako kwamba Muhammad ndiye katunga Qur'an na ni mashairi tu?
Ukisema hivyo ni sawa nakusema kuwa atokee mtu aimbe kama bob marley au michael jackson nani anaweza imba kama hao kwa leo? Au nani anaweza kugundua formula ngumu za hesabu kama alivyofanya einstein,newton je kuna watu kama leo wanaoweza fanya hayo?
 
Ni sawa kabisa. Nimekupata. KingJames sio Bibilia sahihi ya kusoma. Inakasoro kadhaa japo inasifiwa kua ina Lugha Nyepesi.
Bibilia sahihi haina jina la Mtu.
 
Ni sawa kabisa. Nimekupata. KingJames, Gideon, sio Bibilia sahihi za kusoma. Zinakasoro kadhaa japo King James inasifiwa kua ina Lugha Nyepesi. Lakini haikodi Kasoro. Bibilia sahihi haina jina la Mtu Holy BibLe). Nashauri Tumia bibilia ya Kikatoliki.

Labda na wewe ni mmoja wa waliokua wakiiamini hii Bibilia ya King James. Utakua umekosea sana.

Tatizo moja ambalo wakristo wengi wamevurugwa ni kwamba haya makundi ya secret societies yalifanikiwa ku-Infiltrate kwenye Ukristo na kuweka watu wao ndani, ambao wametumika kupindisha Maandiko ya Kweli ya Mungu. Na madhara yao ni makubwa kiasi watu wanapokutana na changamoto hizi wanahisi labda Mungu Hayupo nk. All in all Bibilia imetabiri uwepo wa Roho ya uongo kuenea duniani na kudanganya wengi.
 
Ukisema hivyo ni sawa nakusema kuwa atokee mtu aimbe kama bob marley au michael jackson nani anaweza imba kama hao kwa leo? Au nani anaweza kugundua formula ngumu za hesabu kama alivyofanya einstein,newton je kuna watu kama leo wanaoweza fanya hayo?
Utajuaje sasa mkuu kama hakuna? maana hao walikuwa binaadamu pia kama tulivyo sisi.
 
Nimeamini wapi mungu yupo? Quran imejaa uwongo mtupu kitabu hakieleweki mpangilio wake kinaenda mbele kinarudi nyuma
Umesema unaweza Quran ilipopingana na sayansi sasa hivi unasem kimejaaa uongo hakieleweki kinaenda mbele au nyuma....onesha lipi linakutatiza tukupe elimu...had sasa nimeshajua umelishwa sumu au brain washed about religions haswa kwenye Quran ndio mweupe kabisa umelishwa aya ambazo watu wazi quote out of contex na kuwalisha Quran haisomwi kama gazet kuwa unaanza ukurasa wa kwanza had wa mwisho...huujui mpangilio wake ndio maana umeishia kusema kuna uwongo leta ushadi wa aya nikupe majibu......hakuna wa kuindika Quran hata Muhhamad mwenyewe hawez.!
 
Mleta uzi uwe makini tu na vitabu unavyosoma. Biblia wamejaribu wengi sana kuipotosha ila hakuna aliyeweza kufanikiwa kuipotosha. Kweli itabakia kuwa kweli...na ukikomaa kusoma hivyo vitabu at the end utaishia kuwa possessed na evil spirits...ipo mifano kibao ya watu waliokomaa na hivyo vitabu kilichowakuta story nyingine.

Hivyo vitabu vimeandikwa na ant-christ waliokuwa wanachama wa ocult...nashukuru hata wewe umekiri Bacon ni mmojawapo wa wanzilishi wa mansory...alafu bado unaamini maandiko yake...kimsingi huyo mtu hakuandika kwa akili na ufahamu wake bali he was possessed.
 

Mleta mada hata Avitar yako yenyewe tu ni mfano wa wale malaika waliotupwa duniani...shetani kamwe hawezi kukaa kwenye nuru, alipooangushwa duniani alikuwa adui wa nuru...hivyo ili kukwepa nuru mara zote hufunika kichwa chake!!!
 
Mleta mada hata Avitar yako yenyewe tu ni mfano wa wale malaika waliotupwa duniani...shetani kamwe hawezi kukaa kwenye nuru, alipooangushwa duniani alikuwa adui wa nuru...hivyo ili kukwepa nuru mara zote hufunika kichwa chake!!!
Hahah, mkuu umejua kunichekesha ila avatar yangu ni black hat hacker kama unauelewa ullimwengu huo
 
Well Said Mkuu
 
Hayo maneno yako kitabu kimejaa uwongo kuna mtu akae na kusema au kutungo uwongo km quran kwa karne hii si watu wata mdiognosis pschycotic disoder
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…