Nguvuyabwana
Senior Member
- Jun 6, 2019
- 195
- 483
ππ kwamba mwamba hashindwi kitu, yeye tu ndo anawinRaymond reddington hana utofauti na starring wa kihindi, nyimbo zote nzuri anaimba yeye.
duniani hakuna mwanadamu mfano wa reddington na hatojitokeza mwenye sifa hizo.
nimeishia season 4.
Yaani hadi vibaka anawajua.. uzuri wake anakula pote kwa majambazi na mapolisi. Ila majambazi ndio humpenda zaidi kumbe jamaa anawatumia kwa manufaa yake..afu anakuambia hawezi kufanya kitu asicho na faida nacho.
Nimegundua kila anachofanya anafanya ili kumlinda mtoto wake Lizzy
Naikubali sana hiyo series...Inaonekana uko season za mwanzo mwanzo...Season 7 anaingia mama yake Elizabeth Keen (Katarina Rostova) hapo Reddington anakutana na criminal mastermind mwingine hatari sana...Season 8 nimeangalia hadi episode 3...Elizabeth anamsaka Reddington amuue...Nisisimulie sana nisije nikakupotezea mzuka wa kuiangalia.
Fanya ku-download kisha iangalie mkuu...Ya kusimuliwa sio nzuri.Tusimulie bana
Hakuna movie naipenda kama blacklist
Na kweli ina addiction sana mimi ila najitahidi kuangalia taratibu ili isiishe haraka. Ila Ray alifanyaje kupata connection zote hizo???
- sababu kubwa ni uraibu wa kutaka kuendelea kuiangalia kila mara.
- kuanzia episode 13 nilishindwa kuzipata kwenye channel moja iliopo telegram hatimaye nikaamua kuachana nayo kwa muda usiojulikana
- nilichoshwa na mauaji yake, teh teh teh
Kwanin mama yake Lizzy anataka muua redington?Lizzy ni mwanae ndio. Wewe hujiulizi kwanini alikaa miaka zaidi ya 20 bila kufahamika ila baada ya Lizzy kujiunga FBI as profiler akajitokeza
Lizzy ni mwanae ndio. Wewe hujiulizi kwanini alikaa miaka zaidi ya 20 bila kufahamika ila baada ya Lizzy kujiunga FBI as profiler akajitokeza
Kwa walioitazama Suits, kuna kichwa kimoja kinaitwa Louis Litt mimi ndio kanifanya niifatilie hii series
7Kiukweli hata mimi sijajua maaana sijafika season za mbele. Uliishia season ipi??
Wee unataka kuniambia yupo mwingine original?? So kwanini jamaa alihatarisha yote ajili ya Lizzy??
Kama episode 1 S1 alivyomfukuza kazi yule jamaaa bila huruma yaani...kiutani utani tu. Mimi hua napenda alivyo mbea mbea kusaka nafasi ya juu ila hafanikishi mission zake. Ila yule jamaa yupo very Loyal to the Firm. Ukimsifia kidogo tu basi umemmuweza. Too bad kwenye device yangu zilikua Season tatu pekee.. now naona uvivu kutafuta zingine. Ila Litt nilimpenda sana..mwanzo nilijua ni shoga
Game of throne imenishindaa aiseeMimi sijafika huko asee...ngoja nijitahidi nifike. Irudie basi kama Game of Thrones
Siielewi tuSababu nini bibie???π
bonge moja la series suitsKwa walioitazama Suits, kuna kichwa kimoja kinaitwa Louis Litt mimi ndio kanifanya niifatilie hii series