The Bold Interview: Maisha, Intelijensia na mengi usiyoyajua

The Bold Interview: Maisha, Intelijensia na mengi usiyoyajua

Status
Not open for further replies.
Ninachowaambia ni kwamba usikae humu unatafuta mpenzi kama unatafuta sindano umedondosha uvunguvi...

Acha mambo yaitike yenyewe... Mimi na Nifah pia hakuna ambaye kati yetu alikuwa anatafuta mpenzi humu! Kitu kilitokea chenyewe naturally... Na hivyo ndivyo inavyotakiwa!! Ndio maana bond yetu imekuwa strong

Acha mioyo isemezane yenyewe
Kabisa kabisa bwana shemela hata mimi naamini mapenzi ya kweli hasa yanaenda hivyo
 
Tukihamia Engo nyengine je, Ulishawahi kudukuliwa kwenye internet? Kuna njia yoyote maalum unayoitumia kujikinga na udukuzi wa mitandao?
Zimewahi kutokea 'attempts' kadhaa za kunidukua mtandaoni... Tena nyingi nyingine juzi kati tu hapa

Kuna measures kadhaa huwa nazingatia ili kuwa safe mtandaoni ndio maana hackers hawajawahi kufanikiwa asilimia zote! Zinakuwaga attempts tu na kabla hazijaleta madhara zinakuwa contained
 
Ninachowaambia ni kwamba usikae humu unatafuta mpenzi kama unatafuta sindano umedondosha uvunguvi...

Acha mambo yaitike yenyewe... Mimi na Nifah pia hakuna ambaye kati yetu alikuwa anatafuta mpenzi humu! Kitu kilitokea chenyewe naturally... Na hivyo ndivyo inavyotakiwa!! Ndio maana bond yetu imekuwa strong

Acha mioyo isemezane yenyewe
Ujumbe umefika, je,
unaamini kwenye kile watu wanakiita KUUZIWA MBUZI KWENYE GUNIA?
Je, unaweza kumnunua mbuzi pasipo kumfunua?
Umejipangaje na matokeo ya baadae endapo utakachokuta sicho ulichodhania, Yaani yaliyomo hayamo..( Nifah fumba macho jamaa atiririke)
 
Vile vile unahisi upo salama kiasi hiko unapokuwa mitandaoni?
Alafu watu wengi kiu yetu kubwa ni kukufahamu, unatuahidi nini kuhusu kuweka real identinty,
au utaendelea kujificha nyuma ya keybord milele?
Sina mpango wa kujificha, coz hakuna sababu ya kufanya hivyo

Mfano watu ambao wako kwenye group langu la WhatsApp wananifahamu... Kwa jina na sura

Humu siku si nyingi nitakuwa verified na watu watanifahamu pia
 
Sina mpango wa kujificha, coz hakuna sababu ya kufanya hivyo

Mfano watu ambao wako kwenye group langu la WhatsApp wananifahamu... Kwa jina na sura

Humu siku si nyingi nitakuwa verified na watu watanifahamu pia
Bold naweza sema umebarikiwa kipajo kikubwa sana cha utunzi(hongera) na hiko ndicho kilichokufanya mpaka ukatambulika humu kwa kiasi kikubwa.
Sasa basi
Tumezoea kuona mabandiko yako mengi ya kuvitia, sasa tungependa kujua Ratiba yako kwa siku nzima inakuaje? Yani kwamfano unataka kuandaa makala moja kuhusu sakata fulani la kiinteligensia,
huwa inakuchukua muda gani hasa mpaka akina pangu pakavu tuje kuliona JF?
 
Ujumbe umefika, je,
unaamini kwenye kile watu wanakiita KUUZIWA MBUZI KWENYE GUNIA?
Je, unaweza kumnunua mbuzi pasipo kumfunua?
Umejipangaje na matokeo ya baadae endapo utakachokuta sicho ulichodhania, Yaani yaliyomo hayamo..( Nifah fumba macho jamaa atiririke)
Mimi na Nifah tumekuwa kwenye mahusiano kwa miezi 10 sasa...

Najua A-Z kuhusu Nifah

Naye anajua A-Z ya The Bold

Nimeridhika, ameridhika! Tumeridhiana...
 
Mimi na Nifah tumekuwa kwenye mahusiano kwa miezi 10 sasa...

Najua A-Z kuhusu Nifah

Naye anajua A-Z ya The Bold

Nimeridhika, ameridhika! Tumeridhiana...
Big up,..!!
Tukirudi kwenye hadithi zako pamoja na riwaya unazozitunga,
najua kuna watu labda wanahisi wana vipaji au wangependa kujaribu kutunga hadithi au riwaya lakini hawajui waanzie wapi,
je ni hatua zipi unazopitia mpaka riwaya zako kukamilika?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom