The Book of meditation by Marcus Aurelius

Miaka inaenda aisee, niliandika hii post 2yrs ago..😳😳😳
It feels like yesterday. Mungu aturehemu kwakwel
 
Nina wasiwasi kama hata kitabu hki Kiranga alishwahwahi kukisoma pia. Lakini nina wasiwasi pia kama ciphertext hizi hapa alishawahi kuzipitia



Na mojawapo ya video zake ni hii hapa

Your browser is not able to display this video.
 
Definitions first. Meditation ni nini?
 
I go with art of war
 


Mkuu Da'Vinci umepotea sana sikuoni jukwaani kulikoni.

Sema kuna kipindi Forbes walimpost kwenye Jarida lao.
Yule mwamba yupo wapi siku hizi au kahamia America

Forbes africa huwa wanakurupuka ndiyo maana huwa kuna madai kiwa wanalipwa. Hata jokate walishamweka kuwa atakuwa coming milionaire

Artificial rendering through AI ya jinsi Marc alivyoukua anafanana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…