Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
he hee umesahau zile kanuni za utanashati?
labda amevaa suti kali kunizidi,kajitafutia kupunguzwa lol
teh teeeh tehe...................
Nimepokea PM toka kwa PAW eti huyo mdada nyuma ni Asha wa DII
Heee..ivi ni mimi tu ama? huyu jamaa anakaa huyo wa kwanza hapo mbona.
Kwa hiyo tuna;
- Mikatabafeki
- Rejao
- AshaDiii
- Boss!
Nani afukuzwe kazi!??
kuna mfanyakazi hapo namuona kibonge kuliko hata bosi!
Yaelekea huyo ni an Accoutant!
Heee..ivi ni mimi tu ama? huyu jamaa anakaa huyo wa kwanza hapo mbona.
Kwa hiyo tuna;
- Mikatabafeki
- Rejao
- AshaDiii
- Boss!
Nani afukuzwe kazi!??
sasa huduma ya kiroho si ndo utahitaji zaidi ukipunguzwa??
Au tumpunguze lizzy na ashadii hapo???