Msanii,
Inabidi tukubali kutokuwa na share, au kuna njia ya kuuliza share yetu kapewa nani? CHADEMA wanajua haya mambo au lao ni Buzwagi peke yake?
Napenda kuwaalika ama kuwapasheni habari kwamba leo saa mbili usiku kipindi cha Jenerali Ulimwengu LIVE na Tundu Lissu na atakuwa anauchambua Mkataba wa Buzwagi . Stay tuned na baada ya hapo tutajadili .
Katibu tarafa,
Pitia www.jumptv.com halafu tafuta Tanzania.