The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

Hapa kwa KARAMA ndio mwanzo wa shida yote hii, mwenzetu alijitajirikia kupitia mchongo huo akaanza kuzitakatisha kwa kuanzisha kampuni yake ya kupakia na kupakua mizigo bandarini, akasaidia kuiua NASSACO, Kwa hiyo mambo mdundo kwa kwenda mbele "Mwalimu aliona mbali kuwazuia viongozi kuwa na shea kwenye makampuni"
 
Zitto kawasilisha hoja yake ya Buzwagi/Karamagi, imewasumbua sana CCM MPs wamekua wakijibu hoja badala ya kuchangia, wamechanganyikiwa kishenzi.

Asubuhi hadi saa 7 ilikua live TVT na Star TV, but jioni wakachomoa hakuna cha LIVE, maana saa hizi Zitto anajibu hoja na kuwabana, amekua kama Waziri aliyewasilisha, anapewa saa nzima kujibu hoja za wabunge lakini nasikia humo ndani wanamchanganya kila saa anasimama MBUNGE ama Waziri anasema, "KUHUSU UTARATIBU".

Star TV walianza saa 11 kuonyesha mechi then wakaanza Bongostar, then kipindi cha afya yetu na sasa ni matangazo tu ya biashara. HII NI AIBU KWA UTAWALA BORA NA DEMOKRASIA, waliona wananchi wataona wanavyodhalilika na jinsi wasivyotetea maslahi yao

Hoja inatupwa baada ya CCM kushinda kwa kura.

Sasa Mbunge wa Mchinga, mwalimu wa zamani wa Usalama wa TAifa, Mudhihir M. Mudhihr anawasilisha hoja ya kutaka Zito asimamishwe ubunge kwa kusema uongo. Hoja inajadiliwa na wengi,
anaanza Dr Slaa anasema hakubaliani na hoja ya kumsimamisha ubunge zitto kwa sababu hakuna ushahidi wa kusema uongo wa zitto haujathibitishwa. Haya wataendelea na baadaye atakuja John Malecela


Dr Slaa anasema, "

duh shikamoo Chadema uyu Mudhihir yupo wapi jamani
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Tumekuja kushtuka 10 years later!! Kweli Viongozi wa CCM ni kama kichwa cha Mwenda-wazimu. Kila ''mwekezaji'' anakuja kujifunzia kunyoa.

Waliokuwa wakiyapinga kwa povu kali maneno ya akina ZITTO na wapinzani wenzake leo hii wamepiga u-turn na wapo busy kumshangilia Magufuli ''kwa kazi nzuri'' anayoifanya
 
Makaburi ya JF yanafukuliwa rasmi.
Mkuu,sijui kwanini lakini leo nimejikuta napata hasira sana yaani hadi nimeshangaa....

Nashangaa watu wale wale walioleta hasara leo wanashangilia hasara ile ile waliyoisababisha kuwekwa hadharani....

Yaani yahitaji uvumilivu sana kwakweli....

Nimezurura sana kwenye jukwaa la siasa leo kila nikitaka kukometi naahirisha maana ningeweza kuandika jambo la ajabu na watu wangenishangaa kabisa....

Nimekometi mara chache sana....
 
Umeona eh Mkuu, we acha tu. Jamii Forums ni library ya aina yake kuhusiana na matukio mbali mbali ya siasa nchini mwetu na miaka ya karibuni Kenya.
Walitaka izimwe,sijui kwasababu ipi...
 
Sasa hao mbwa ccm akiwemo magufuli walivoshangilia na kutetea huo mkataba. Haowore huwa wanatekeleza ilani ya ccm ya kuliibia taifa...
Ccm akiwemo magufuli ni wapumbavu sana kwa sababu haya yote ni sababu yao wote kwa umoja wao dhidi ya rasilimali za watz. Alafu wanaunda mitume kwa kuwapa ulaji wa bure watu wkt walipitisha haya yote kwa mbwembwe huku wakiwatukana watz matusi ya nguoni.
Shame on them ccm + their corrupt leaders
 
  • Thanks
Reactions: SDG
wahusika, vibara na wanafiki tuwataje hapa wale waliohusika na mikataba hii
 
Sakata la ufisadi Na kusaini mikataba hazijawahi acha nchi salama
 
Makaburi ya JF yanafukuliwa rasmi.
IMG_-9wfb3z.jpg
 
Magufuli knows everything
Waliongea na karamagi kwenye baraza la mawaZiri, alikuwepo bungeni ba alikuwa sehemu lubwa ya ushawishi kuliko zito
Magufuli tell us everything
Magufuli wewe ndio msaliti
Kama unaumia leo ni uongo
Uliona waziwazi pengine ulisimuliwa yote
Haukuumia wakati ule hata ukapata sehemu yakusema wakatiwa speech zako huru au kampeni

[color=blue{Magufuri ukifukua makaburi hayo hukumu ukijua na wewe ni sehemu ya tatizo wakati wakati ule[/color]

Sema natibu tatizo langu na wenzangu wa wakati huo.

IMG_-9wfb3z.jpg
 

Attachments

  • IMG_-9wfb3z.jpg
    IMG_-9wfb3z.jpg
    105.9 KB · Views: 47
[HASHTAG]#RipotiYaKwanza[/HASHTAG]

Lissu: Tusihangaike na udongo, tuhangaike na mikataba na sheria mbovu za madini zilizotufikisha hapa. Tuangalie tulipojikwaa, tusiangalie tulipoangukia.

CCM: Lissu analinda wezi. Mikataba na sheria za madini hazina shida. Shida ipo kwenye udongo wenye makinikia. Tumeibiwa sana kwenye udongo. Hatukubali.

[HASHTAG]#RipotiYaPili[/HASHTAG]

JPM: Tumelogwa na nani? Watanzania tumeibiwa sana. Naagiza mikataba yote na sheria zote za madini zipitiwe upya.

CCM: Rais wetu mzalendo. Amefanya kazi kubwa sana. Tumuombee.!!

[HASHTAG]#MyTake[/HASHTAG]:
Lugha ileile aliyoongea Lissu akaambiwa amehongwa, ndiyo aliyoongea JPM leo akaitwa mzalendo. Akili za CCM kama kifurushi cha jaza ujazwe [emoji23][emoji23].!
 
Back
Top Bottom