Kuch,hii ndio Corona?Mtadanganya wajinga tu.Mnaua watu,mnafanya biashara za viungo vya watu kwa visingizio kwamba wamekufa kwa Corona,huku mkiwaletea sumu za kuwafisha na kuwafanya wawe zombies!Mungu anawaona,you will answer at day X, before God.
Mimi sisemi hewa, angalia clips zifuatazo,hii ndiyo Corona?Eh....!Kweli Kuch unatetea uovu wa kiwango hiki,and you want people to believe that there is C-19 and that it has a vaccine! Dah,this is evil to the extreme.
Mimi niseme hivii, na naomba serikali inisikie,ni taifa la wajinga tu,linaloweza kukubali watu wake wapewe shot ya C-19.