The case against MUSTAFA MKULO

The case against MUSTAFA MKULO

Kwani hamkumbuki huyu Mheshimiwa alichota hela for CCM??? Mie naamini kawekwa pale ili amalize soo la EPA maana anaaminika kwa SISEMU ingawa ni Fisadi Sr. Mie sioni umuhimu wa Usalama wa Taifa maana Track Reckords za huyu jamaa watakuwa nazo lakini still huyu mtu anapewa wizara nyeti kama hiyo katika serikali.
 
Mkullo ananuka rushwa left right and center.Kuanzia kuwapa wanasiasa kama kina Sumaye mikopo bila collateral, kununua MBA kutoka diploma mill, kutia watoto wa shule walio sawa na watoto wake mwenyewe, you name it.Haya ndiyo tunayoyajua sie watu wa nje sijui wa ndani wenye access naye wana yepi.

Kikwete has never been one to appoint on merit, he did not rise to power on merit how can anyone expect merit based appointments from him?

Mi nilivyoona Mkullo yupo fedha nikajua muungwana anakaa mkao wa kula, after all the name says it all,Mkullo.
 
Pundit,
You nailed it right on!
I couldn't have said it better myself! Yaani ume-summarize CV yake ya "kiswahili".
 
Huyu si ndiye aliyehusika na kashfa ya NSSF ya kununua magodown ya Yusuf Manji yasiyozidi thamani ya shilingi milioni 100 kwa bilioni 47?

Huyu Mkullo ndiye yeye kabisa mwenye kuhusika na hiyo skandal na zingine nyingi tu. Unadhani ni kwa nini wameanza kuikimbia ile story waliyoiweka magazetini ili kumchafua Mbowe?

Wamegundua kuwa mengi yatawekwa wazi hapa na ukweli utajulikana kuwa Mbowe amekuwa analipia deni lake ila Mkullo na wenzake hapa NSSF walikuwa "wakikopa" bila makubaliano ya kulipa chochote.

Kuna story ambayo inavuja sasa hivi inaonyesha kuwa mtu wa karibu sana na JK alikopa pesa NSSF (interest free) na kuna uwezekano kwa nafasi ya uwaziri wa fedha ni fadhila zinalipwa hapa kwa hili na mengine yote aliyoifanyia ccm.

Bado naitisha uchunguzi huru wa pesa zote za NSSF (ikiwemo deni la Mbowe) na "wadaiwa" wote wa NSSF.

tik tak tik tak tik tak ...
 
Mkullo ananuka rushwa left right and center.Kuanzia kuwapa wanasiasa kama kina Sumaye mikopo bila collateral, kununua MBA kutoka diploma mill, kutia watoto wa shule walio sawa na watoto wake mwenyewe, you name it.Haya ndiyo tunayoyajua sie watu wa nje sijui wa ndani wenye access naye wana yepi.

Kikwete has never been one to appoint on merit, he did not rise to power on merit how can anyone expect merit based appointments from him?

Mi nilivyoona Mkullo yupo fedha nikajua muungwana anakaa mkao wa kula, after all the name says it all,Mkullo.


Pundit mbona haya maneno ni mazito sana hata sijui nianzie wapi kusoma .Nimeona leo NSSF wanakimbia wenyewe lakini nadhani walidhani ni lele Mama .Mkullo kweli kanunua MBA na bingwa wa kulala na Visungura matope ?
 
Huyo Demu alikuwa demu wa mshikaji wangu mmoja alikuwa anasoma Jitegemee na alikuwa nakaa maflet ya Bagamoyo Road pale karibu na Ubalozi wa Ufaransa.Mkullo kamputa mshikaji demu hivi hivi tunaangalia, sasa jamaa kuangalia Mkullo anaona kama mshua wake vile, na demu actually alikuwa na age ndogo kuliko mtoto ambaye Mkullo angeweza kumzaa by age 25, which makes him more like his father.Mshikaji alivyoona hivyo akaona si riziki wala nini asije kuniletea maradhi bure, vizee vina mengi hivi.Akamsusia demu, mpaka jina lake ninalo ila nina respect privacy yake tu.

That is Mkullo for you, alipokuwa NSSF alikuwa hatosheki, alikuwa anafanya kila jitihada kwenda Harbours mara BOT, mijicho inamtoka tu kuwania vyeo.Naona sasa kampata muungwana kafurahiii sana.


Kuhusu MBA tafuta CV yake, angalia chuo alichofanyia MBA (Almeida University) halafu ki-google uone wanavyotoa among other things "life experience degree".

Almeda University
From Wikipedia, the free encyclopedia

http://en.wikipedia.org/wiki/Almeda_University

Almeda University is an unaccredited American institution that offers various academic degrees through distance education, including a "Life Experience Degree". Almeda was founded in 1997.[1]

Legally, Almeda University is a corporation registered on the Caribbean island of Nevis. [3] Almeda claims accreditation by the Council for Distance Education Accreditation, Interfaith Education Ministries (IEM) and the Association for Online Academic Excellence (AOAEX); [4] none of these is recognized by the United States Department of Education or the Council for Higher Education Accreditation.[5] On its website, Almeda states that its claimed sources of accreditation are not recognized by the U.S. Department of Education, with the results that students cannot receive U.S. federal loans or assistance under the GI Bill and Almeda degrees may not be recognized by academia or employers.[4]

Connecticut: According to the Connecticut Department of Higher Education, Almeda was ordered to cease operating in Connecticut in October, 2001. After an investigation in 2002 indicated that Almeda was continuing to advertise its programs in Connecticut, the Department of Higher Education sent Almeda a second cease and desist letter and referred the issue to the Connecticut Attorney General for possible legal action.[6]
Florida: In 2003 the Florida Department of Education made an agreement with Almeda to cease operating in the state. Although Floridians can still get a degree from the online university, Almeda warns Floridians that its degrees may not be valid for public employment in Florida.[7]
Texas: Almeda is also on the Texas list of "Fraudulent or Substandard Institutions", making it illegal to use an Almeda degree in Texas in an advertisement; to get a job, promotion, raise, license, or to get admitted to an educational program or to gain many positions in government.[8]
Other states: Almeda's website also warns Almeda degrees may not be valid for public employment in Illinois, Oregon, New Jersey, North Dakota, Washington and Idaho.[3]

Commentaries
Almeda's academic standards have been criticized by a variety of education organizations. According to Bear's Guide to Earning Degrees by Distance Learning, Almeda College and University is a "nonwonderful" [9] web-only university that offers degrees based on an assessment of a candidate's "life experience". Bear notes that Almeda states that it is accredited by the Association for Online Academic Excellence, but that that association is itself unrecognized.[10][11]

In 2004 the CBS affiliate in Albany, New York, ran a report on Almeda that featured Peter Brancato, who had filled out an application for an associate degree on behalf of his dog, Wally. Part of the "life experience" listed on the application was "Plays with the kids every day ... teaches them to interact better with each other ... Teaches them responsibilities like feeding the dog." Almeda granted Wally an associate's degree in childhood development with a course list including European culture, college algebra, American history, and public speaking.[12] In reply, Almeda claims Brancato perjured himself by creating a false identity using a fabricated name and date of birth. They write, "He completed an application that included a background of the following: Eight-years tutoring pre-K children, curriculum design and development, teaching coping skills, and volunteer coaching."[13]

In 2005 Wired News included Almeda University in an article about educational accreditation and diploma mills.[14]

In 2006 a Naples, Florida, police officer was required to pay back a salary increase based on a degree from Almeda.[7] Two Naples police officers were also fired after investigation showed that they bought diplomas from Almeda University.[15] On October 28, 2006, both officers were given their jobs back with back pay but received 10-day suspensions and were required to take an ethics course before the end of the year.[16]

According to Better Business Bureau (BBB) records, the Boise, Idaho address listed for Almeda University is a UPS Store (private mail box). Almeda University offered to provide their physical location to the BBB provided the BBB would not make it public. While the Better Business Bureau provides reports on Almeda University, Almeda is not a paid member of the BBB, however, Almeda does have a satisfactory record of complaint resolution.[17]

According to the online shopping reliability tracking service, ePublicEye.com, since 2001 customers of Almeda have reported high levels of satisfaction in such categories as "Management Accessibility", "Customer Support", "On-time Delivery" and "Privacy Experience".[18]

Waziri wetu wa Fedha ndiyo kasoma hapo, na watu wakiomba CV yake wataona kapata MBA yake kutoka chuo kinachompa degree hata mbwa!
 
Tafuta CV yake, angalia chuo alichofanyia MBA (Almeida University) halafu ki-google uone wanavyotoa among other things "life experience degree".

Huyo Demu alikuwa demu wa mshikaji wangu mmoja alikuwa anasoma Jitegemee na alikuwa nakaa maflet ya Bagamoyo Road pale karibu na Ubalozi wa Ufaransa.Mkullo kamputa mshikaji demu hivi hivi tunaangalia, sasa jamaa kuangalia Mkullo anaona kama mshua wake vile, na demu actually alikuwa na age ndogo kuliko mtoto ambaye Mkullo angeweza kumzaa by age 25, which makes him more like his father.Mshikaji alivyoona hivyo akaona si riziki wala nini asije kuniletea maradhi bure, vizee vina mengi hivi.Akamsusia demu, mpaka jina lake ninalo ila nina respect privacy yake tu.

That is Mkullo for you, alipokuwa NSSF alikuwa hatosheki, alikuwa anafanya kila jitihada kwenda Harbours mara BOT, mijicho inamtoka tu kuwania vyeo.Naona sasa kampata muungwana kafurahiii sana.

Poor Mkullo,

wakati akianzisha hii story bubu hakujua yanayokuja. Mwisho watasema kuwa hakuna anayedaiwa NSSF
 
Mkullo ananuka rushwa left right and center.Kuanzia kuwapa wanasiasa kama kina Sumaye mikopo bila collateral, kununua MBA kutoka diploma mill, kutia watoto wa shule walio sawa na watoto wake mwenyewe, you name it.Haya ndiyo tunayoyajua sie watu wa nje sijui wa ndani wenye access naye wana yepi.

Kikwete has never been one to appoint on merit, he did not rise to power on merit how can anyone expect merit based appointments from him?

Mi nilivyoona Mkullo yupo fedha nikajua muungwana anakaa mkao wa kula, after all the name says it all,Mkullo.

Kuna mengi hapa kwenye hizi pesa za NSSF yatakuja wazi skandali hapa ni mabilioni kibao tu na yanahusisha watu kibao ikiwemo top brass ya ccm - JK ajiandae kubadili baraza la mawaziri baada ya report ya kuchunguza pesa za NSSF kutoka!
 
Mustafa Mkullo pamoja na kuwa na track record mbovu imekuwaje akapewa wizara ya fedha? JK must be jocking kwani kumpa Mukulo wizara ile ni sawa na kumpa fisi kondoo


Wana JF msichoke, Mkullo hafai hata kidogo, hawa ndio wale wale wanaotaka njia ya mkato na vyeo kwa manufaa yao. Huyu fisadi yuko pale kujaribu kufukia issue zilizojitokeza EPA, NSSF, BOT etc. Kitu cha kushangaza ni mhe raisi kumuweka katika hiki kitengo licha ya sifa zake chafu. It makes one wonder..Labda/hakika raisi hakutaka mtu safi na makini pale FEDHA, kwa sababu ya kuficha nini hasa kilichofanyika. Alifikiri anaweza kufanikiwa kufukia ufisadi kwa kuweka wahusika wenyewe, ili kujaribu kuziba ufa (more like building a new foundation). Mambo bado, mambo bado.....
 
sasa mtaelewa kwanini kuna mtu wake Mambo ya Ndani, na kwa nini kuna mtu kwenye judiciary.. game set!!
 
In 2004 the CBS affiliate in Albany, New York, ran a report on Almeda that featured Peter Brancato, who had filled out an application for an associate degree on behalf of his dog, Wally. Part of the "life experience" listed on the application was "Plays with the kids every day ... teaches them to interact better with each other ... Teaches them responsibilities like feeding the dog." Almeda granted Wally an associate's degree in childhood development with a course list including European culture, college algebra, American history, and public speaking.[12] In reply, Almeda claims Brancato perjured himself by creating a false identity using a fabricated name and date of birth. They write, "He completed an application that included a background of the following: Eight-years tutoring pre-K children, curriculum design and development, teaching coping skills, and volunteer coaching."[13]

Na bado mtu anaiweka kwenye CV yake? Kinachonisikitisha ni kuwa wengi wao wana elimu ya kutosha tu isipokuwa huu ulafi wa kutaka misifa bila ya kufanyia kazi. Naona na mimi nijipandishe niwe Injinia. Inasikitisha sana.
 
[QUOTE=Fundi Mchundo;158667]Na bado mtu anaiweka kwenye CV yake? Kinachonisikitisha ni kuwa wengi wao wana elimu ya kutosha tu isipokuwa huu ulafi wa kutaka misifa bila ya kufanyia kazi. Naona na mimi nijipandishe niwe Injinia. Inasikitisha sana.[/QUOTE]


Fundi ahsante sana. Alivyopewa uwaziri nilisema Jk kachemsha mbaya.
Yaani ukikaa na huyu mzee ukamskiliza anavyoongea na ukalinganisha na cheo alichopewa utashanagaa.Ni mtupu,sijui kwa nini Rais anapenda kujishushushia hadhi hivi.
kuhusu umalaya ulizeni Arusha wanahistoria yake maana ailikuwa Chairman wa AICC board. Hiyo flaizi yake iko wazi 24 hrs.
 
[QUOTE=Fundi Mchundo;158667]Na bado mtu anaiweka kwenye CV yake? Kinachonisikitisha ni kuwa wengi wao wana elimu ya kutosha tu isipokuwa huu ulafi wa kutaka misifa bila ya kufanyia kazi. Naona na mimi nijipandishe niwe Injinia. Inasikitisha sana.



[/QUOTE] Fundi ahsante sana. Alivyopewa uwaziri nilisema Jk kachemsha mbaya. Yaani ukikaa na huyu mzee ukamskiliza anavyoongea na ukalinganisha na cheo alichopewa utashanagaa.Ni mtupu,sijui kwa nini Rais anapenda kujishushushia hadhi hivi.
kuhusu umalaya ulizeni Arusha wanahistoria yake maana ailikuwa Chairman wa AICC board. Hiyo flaizi yake iko wazi 24 hrs.[/QUOTE]

Kazi ipo ...unataka kusema mzee ni kama bwana Liyumba wa BOT, tofauti yao yeye Mkulo hatoi vigari vyekundu? mmmmhh
 
Huyo Demu alikuwa demu wa mshikaji wangu mmoja alikuwa anasoma Jitegemee na alikuwa nakaa maflet ya Bagamoyo Road pale karibu na Ubalozi wa Ufaransa.Mkullo kamputa mshikaji demu hivi hivi tunaangalia, sasa jamaa kuangalia Mkullo anaona kama mshua wake vile, na demu actually alikuwa na age ndogo kuliko mtoto ambaye Mkullo angeweza kumzaa by age 25, which makes him more like his father.Mshikaji alivyoona hivyo akaona si riziki wala nini asije kuniletea maradhi bure, vizee vina mengi hivi.Akamsusia demu, mpaka jina lake ninalo ila nina respect privacy yake tu.

That is Mkullo for you, alipokuwa NSSF alikuwa hatosheki, alikuwa anafanya kila jitihada kwenda Harbours mara BOT, mijicho inamtoka tu kuwania vyeo.Naona sasa kampata muungwana kafurahiii sana.


Kuhusu MBA tafuta CV yake, angalia chuo alichofanyia MBA (Almeida University) halafu ki-google uone wanavyotoa among other things "life experience degree".



Waziri wetu wa Fedha ndiyo kasoma hapo, na watu wakiomba CV yake wataona kapata MBA yake kutoka chuo kinachompa degree hata mbwa!
PUNDIT,
mzee nimecheka cna baada ya kusoma hiko chuo cha Mkullo kilivyo,
boss wangu angeniona angenipa warning straight!
this is serious!!! DOGS!!!
 
Hii yote inadhihirisha uwezo mdogo alionao JK, mimi nwashangaa mnaomshangaa mkullo, huyo JK nani alimpa urahisi maana hiyo ndiyo root cause ya yoote haya.

Kwa mwendo huu kutakuwa na maisha bora hapo??????
 
sasa Itabidi Tuanze Kuangalia Track Record Zake Za Nyuma Huko Alikotokea
 
Mustafa Mkullo ninayemfahum mimi ni kweli ana ACCA, na MBA ya chuo feki.

Baada ya kutoka NPF, akaanzisha ka biashara ka dry cleaner nakumbuka kalikuwa kanaitwa Adam Ribs. Alikopa pesa pale kwenye kabenki ka wahindi opposite na Kitega Uchumi.Akapata tenda nzuri tu ya kuosha mashuka pale Muhimbili, ila biashara ile ikamshinda na tenda akanyanganywa na tena hiyo biashara ikafa. Na mpaka ninavyosema sasa hivi kwa mujibu wa record zangu bado anadaiwa na kale kabenki na wamefanya provision kubwa tu(50%)kwa lugha ya kibenki ni doubtful debt.Ujasiliamali ulimshinda huyu mkuu na ndo maana akakimbilia siasa(ubunge). Ila naona mambo yake si mabaya kwaupande huo.
 
Back
Top Bottom