stabilityman JF-Expert Member Joined Jul 9, 2024 Posts 259 Reaction score 483 Jul 25, 2024 #1 Watoto 2,382 wamefanyiwa ukatili wa kulawitiwa mwaka 2023 Matukio ya watoto kufanyiwa ukatili wa kulawitiwa yameongezeka kwa kasi, ambapo watoto 2,382 walifanyiwa ukatili huo kwa mwaka 2023 sehemu kubwa (90%) ikiwa ni watoto wa kiume. Nini kifanyike katika jamii kukomesha hali hii? Source: The Chanzo
Watoto 2,382 wamefanyiwa ukatili wa kulawitiwa mwaka 2023 Matukio ya watoto kufanyiwa ukatili wa kulawitiwa yameongezeka kwa kasi, ambapo watoto 2,382 walifanyiwa ukatili huo kwa mwaka 2023 sehemu kubwa (90%) ikiwa ni watoto wa kiume. Nini kifanyike katika jamii kukomesha hali hii? Source: The Chanzo
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 25,425 Reaction score 59,309 Jul 25, 2024 #2 Wanaume wanaolawiti wauwawe
stabilityman JF-Expert Member Joined Jul 9, 2024 Posts 259 Reaction score 483 Jul 25, 2024 Thread starter #3 Lamomy said: Wanaume wanaolawiti wauwawe Click to expand... Mmmh utaua hata watu wa heshima
Mstoiki JF-Expert Member Joined Oct 9, 2020 Posts 4,365 Reaction score 8,384 Jul 25, 2024 #4 Mikoa ya Joto inaongoza kwa Ufuska
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 25,425 Reaction score 59,309 Jul 25, 2024 #5 stabilityman said: Mmmh utaua hata watu wa heshima Click to expand... Ni sawa km wao ni chanzo cha uharibifu kwanini wastahili kuishi?
stabilityman said: Mmmh utaua hata watu wa heshima Click to expand... Ni sawa km wao ni chanzo cha uharibifu kwanini wastahili kuishi?