Wenzio washakamata fursa upande mwingine
Hawategemei hyo issue tena
Kundi hili lilianza kwa kasi na likawa na umaarifu mkubwa sana wakati ule likiwa ITV.
Lakini baadae wakahamia TBC ambako ndiko walikojichimbia kaburi.
Mambo mengi yamechangia anguko la kundi hili lakini pia kukosa mikakati ya baadae ,kukosa ubunifu , kulewa sifa na kujiona bora kuliko wengine, dharau na kiburi vimechangia mno kulipoteza hili kundi.
Niliposoma tu hapa, nikavuta kumbukumbu hapo hapo nikajikuta nami nacheka!Jotiii hata asipoongea nikimuangalia tu nacheka sana.....
Niliposoma tu hapa, nikavuta kumbukumbu hapo hapo nikajikuta nami nacheka!
Nampenda sana joti, na lile pengo lake la kuchora mi hoi
mpe kama vp..