Bado anabakia (BWM) kiongozi imara zaidi kiuchumi katika taifa hilii...Alithubutuu kufanya maamuzii na kuyasimamiaa kwa dhati na kukubalii mapungufu yatokanayo nayooo..
Hatuhitajii viongozi wa kupenda sifa kile sekunde na woga uliopitiliza katika kufanya maamuzii.
Nampongeza Ben kwa yote mazurii aliyoyasimamiaa na hatua aliyotufikishaa kama taifa.
barabara, kodi, elimu, afya, maji, uwajibikaji, ufutaji wa madeni, ujenzi wa mazingira ya uchumi imara endelevu bila kusahau kushusha inflation kutoka 30% to 4%.