The Coronavirus incident has been repeated on planet earth from Mars

Wazee wa Consipiracy theory napenda sana kusoma story zao nyingine haziaminiki hata kidogo kama hii ya mtoa hii thread na sijui kwanini wanahusisha sana na vitabu vya dini sijui ndo ili waaminike zaid

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazee wa Consipiracy theory napenda sana kusoma story zao nyingine haziaminiki hata kidogo kama hii ya mtoa hii thread na sijui kwanini wanahusisha sana na vitabu vya dini sijui ndo ili waaminike zaid

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii sio conspiracy mkuu hii ni fiction story.
 
Huko Venus mungu alifanya uumbaji vp??? au ww biblia hauijui???? Nukuu "In the begining God created earth and Heaven" kasome biblia ya kingereza Kitabu cha mwanzo kabisa Utaona maneno haya.
Na ni dhahiri kabisa jina La hii sayari tunayoishi limetokea kwenye uumbaji wa mungu hata mstari huo apo juu unaeleza "EARTH" sasa tunaomba utupatie chanzo cha kisa cha Adamu na Hawa kutolewa Uko sayari ya Zuhura au kama utakuwa huna ufute huu uzi utakuwa hauna maana apa JF
 
Wewe Ndio umekurupuka.

Kwanza hujui chochote kuhusu ulicho kiandika.

Pili Uzi wangu ni artwork. NI utunzi wangu mwenyewe ambao hata hivyo ninaweza kuu rewrite kama.theory na uka make a.lot of sense cause kuna chembechembe za ukweli ndani yake.
 
Uzushi mtupu
 

Fiction yako ni nzuri. Shida umetumia vitabu vya Dini kwenye ku reference ambapo kimsingi ni kama umejaribu kupindisha kilichoandikwa ili iendane na article yako.

Hakukuwa na hiyo kitu Spaceship, Safina ni Safina na sio Spaceship kuanzia kilugha mpaka kimantikia.

Lakini pia kwa muktadha wa dini, Dunia ilikuwa ni Centre of The universe ; kwa article yako ; umemaanisha jua ni center of the universe hivyo inakuwa karibu na Venus, hii ni kinyume na imani ya kipindi hiko iliyosababisha Galileo kuuliwa kwa kwenda against na Utawala wa Kimamluki wa Romans uliozaa Christianity.

Na je vipi story ya Dunia kujaa maji? Sidhani kama ilimaanishwa Mars kujaa maji.

Kuna ukakasi mwingi Kwenye maandiko yako as long as umehusisha na vitabu vya dini; otherwise ni fiction nzuri.
 
Tunashukuru Mungu Biblia iliandikwa Zamani na watu wenye Busara. Ingekuwa ni hawa wahuni wangepotosha sana vizazi

Sent using Jamii Forums mobile app

Napenda pia utambue unachokisoma kwa sasa Kwenye Biblia ni upotoshaji pia; kwa maana imeandikwa kwa maslaha ya kulinda utawala wa kipindi kile.

Tafakari kuhusu historia ya Biblia mpaka inakuja kukufikia Wewe tena kwa Lugha ya Kiswahili au English Halafu kifua mbele unajinadi THIS IS THE WORD OF GOD [emoji23][emoji23][emoji23]!

. The Matrix has never been easier lol . You will never get out of it till death, na ndio maana hutokuja kuacha kuamini kwamba imani Yako ndio sahihi na nyingine ni upotoshaji ; na mwingine ataendelea kuona imani Yako ni upotoshaji na yake ndio sahihi. It is all about Matrix my brother!

Watu wengi wanaamini Corona ni Virus; but Corona sio Virus Bali ni TRUTH that has to spread world wide.

Makanisa yanafungwa, Mekkah imefungwa, The Vatican is burning to let the truth spread.

The truth is spreading so quickly to let us realize who we truly are, to let us know that our concept of life isn’t what life is about.

Jesus this Jesus that, Allah this Allah that.....Isn’t the truth.... the truth is soo simple .... The Virus, Just Pay Attention.

The Corona ..... The Truth For Mankind for those who are ready to step outside of other side of the wall.

If you still keep waiting for Jesus to come and save you ......Keep waiting My Friend! He might be soon at your door.

 
Wewe Ndio umekurupuka.

Kwanza hujui chochote kuhusu ulicho kiandika.

Pili Uzi wangu ni artwork. NI utunzi wangu mwenyewe ambao hata hivyo ninaweza kuu rewrite kama.theory na uka make a.lot of sense cause kuna chembechembe za ukweli ndani yake.

Mimi nime appreciate utunzi wako. Na umeleta hapa JF ili akili kubwa tuupitie na tutoe concerns zetu. So ujifunze ku relax wadau wanapoku oppose.

But chukua note zao na ukaufanyie kazi na kuuboresha kisha share kwa mara ya pili.

Halafu kawauzie kina Will Smith ili waendelee kupotosha dunia.

Bahati mbaya Kabisa umewahi kuuweka JF, na sidhani kama kuna copyright au patent yoyote. Kama ni kweli hujawahi kukopi haya mawazo mahali popote; natarajia pia kuuboresha haya maandiko yako for further action.


Hapo juu umesema kuna chembechembe za Ukweli Kwenye uzi wako , Je ni zipi hizo ambazo unadhani ni strains of Truth ?
 
Uki isoma vizuri fiction yangu utagundua kuwa inajaribu kupeleka ujumbe kwamba baadhi ya visa vya kwenye maandiko matakatifu vimekuwa copied from other sources. Na Kuna ukweli ndani yake. Story ya gharika, hata wahindu Wana kisa Chao ambacho kilitokea a thousands of years before kisa cha Noah
 
Nina hati miliki
 

Eden ilikuwa Tanganyika kwasababu ya manzali nzuri, uwepo wa wanyama wa aina zote hizo stori zingine ni za kutunga wazungu waliamua kujipendelea, tu lakini kiuhalisia Eden ilikuwa huku hata ile Safina ya Nuhu aliitengenezea Bagamoyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…