The Coronavirus incident has been repeated on planet earth from Mars

The Coronavirus incident has been repeated on planet earth from Mars

mkuu... sory, huwa naskia kua apolo na nasa wakitokaga angani na chombo chao huwa wanakipulizia dawa, ni kweli? kama ni kweli je kuna uwezekano wa hivi virus vya corona kuletwa kutoka anga za mbali? napenda uendelee na mastori haya nayamaind kinoma!
 
mkuu... sory, huwa naskia kua apolo na nasa wakitokaga angani na chombo chao huwa wanakipulizia dawa, ni kweli? kama ni kweli je kuna uwezekano wa hivi virus vya corona kuletwa kutoka anga za mbali? napenda uendelee na mastori haya nayamaind kinoma!
Inawezekana Kaka.
 
Lakini utunzi wako unagusa watu walio katika janga. Mtu anafungua anaanza kusoma akiamini atapata taarifa ya kumsaidia nyakati hizi za hofu. Sasa anachokikuta akijumlisha na hisia zake, ungekuwa karibu angekuzaba kofi. Hadidhi nyingine zinaweza kuamsha hisia hasi dhidi yako kuendana na hali ya mtu.

Fikiria fundi ujenzi ambaye hana akiba ya fedha wala chakula. Amaanka asubuhi anakutana na habari zinazoashiria kuwa hataweza kufanya kazi angalau mwezi mmoja. Mke na watoto wanamwangalia. Mara anapata taarifa kuwa wanafunzi wamerudishwa nyumbani kwa mwezi mmoja.

Halafu anakutana na uzi huu akiamini una msaada. Anakuta stori. Vumilia tu mkuu. Watu wana mengi vichwani mwao.
Huu uzi ingawa NI story but blv me Una chembechembe za ukweli ndani yake
 
mkuu... sory, huwa naskia kua apolo na nasa wakitokaga angani na chombo chao huwa wanakipulizia dawa, ni kweli? kama ni kweli je kuna uwezekano wa hivi virus vya corona kuletwa kutoka anga za mbali? napenda uendelee na mastori haya nayamaind kinoma!
Kuna theory inasema Hawa virus wanaweza kuwa wameletwa kutoka Sayari ya Mars
 
Back
Top Bottom