The Coronavirus incident has been repeated on planet earth from Mars


Nakubaliana na Wewe kabisa
 
Kumbe ni story! Hongera sana.
Kuna watu Wana mtindio WA ubongo. Mimi nimetunga story halafu linajitokeza khanithi linasema huu NI uongo mtupu. Nyambaff
 
Kuna watu Wana mtindio WA ubongo. Mimi nimetunga story halafu linajitokeza khanithi linasema huu NI uongo mtupu. Nyambaff
Lakini utunzi wako unagusa watu walio katika janga. Mtu anafungua anaanza kusoma akiamini atapata taarifa ya kumsaidia nyakati hizi za hofu. Sasa anachokikuta akijumlisha na hisia zake, ungekuwa karibu angekuzaba kofi. Hadidhi nyingine zinaweza kuamsha hisia hasi dhidi yako kuendana na hali ya mtu.

Fikiria fundi ujenzi ambaye hana akiba ya fedha wala chakula. Amaanka asubuhi anakutana na habari zinazoashiria kuwa hataweza kufanya kazi angalau mwezi mmoja. Mke na watoto wanamwangalia. Mara anapata taarifa kuwa wanafunzi wamerudishwa nyumbani kwa mwezi mmoja.

Halafu anakutana na uzi huu akiamini una msaada. Anakuta stori. Vumilia tu mkuu. Watu wana mengi vichwani mwao.
 
Mtu wa hivyo lazima atakuwa khanithi. I put 💯% in every later that constitute my sentence
 
Hii sio conspiracy mkuu hii ni fiction story.
Fiction huwa haiongelei vitu halisi. Ila conspiracy inajaribu kuchukua vitu halisi na kuviongelea kwa namna nyingine inayoweza kumshawishi mtu kuwa ndiyo ukweli.

Hapa wewe unaongelea vitu halisi kwa namna nyingine ukitaka kutuaminisha ndiyo kweli. Mfano mwingine wa conspiracy ni kudai eti Yesu alikuwa na mke.

Kwa ufupi huwezi kuongelea vitu halisi kwa namna unayoona wewe kisha ukasema ni fiction. Fiction nayo ina taratibu zake.
 
Eden ilikuwa Tanganyika kwasababu ya manzali nzuri, uwepo wa wanyama wa aina zote hizo stori zingine ni za kutunga wazungu waliamua kujipendelea, tu lakini kiuhalisia Eden ilikuwa huku hata ile Safina ya Nuhu aliitengenezea Bagamoyo
Another conspiracy theory. Yesu hakuishi hapo manseze kweli?
 
Naona million dollars 🍟 kwenye fiction Yako mr Likud
Hongera
 
Asante kwa hadithi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The truth is spreading so quickly to let us realize who we truly are, to let us know that our concept of life isn’t what life is about.
fafanua vizuri hapo. sisi ni nani hasa? umeshuri tu step kwenda hatua nyingine na tusisubii yesu na mitume wengine. ni hatua gani hiyo unataka tu step on?
 
Tunashukuru Mungu Biblia iliandikwa Zamani na watu wenye Busara. Ingekuwa ni hawa wahuni wangepotosha sana vizazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Upotoshaji haujaanza leo, Angalia mungu wa baali alivyokuwa anawapotosha Wana wa Israel. Sina uhakika Kama hakufanikiwa kuwapotosha Waliotafsiri biblia toka Kiebrania kwenda Lugha zingine, na hata waliofanya compilation ya Vyuo vya biblia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiogope chief
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…