The Coronavirus incident has been repeated on planet earth from Mars

mkuu... sory, huwa naskia kua apolo na nasa wakitokaga angani na chombo chao huwa wanakipulizia dawa, ni kweli? kama ni kweli je kuna uwezekano wa hivi virus vya corona kuletwa kutoka anga za mbali? napenda uendelee na mastori haya nayamaind kinoma!
 
mkuu... sory, huwa naskia kua apolo na nasa wakitokaga angani na chombo chao huwa wanakipulizia dawa, ni kweli? kama ni kweli je kuna uwezekano wa hivi virus vya corona kuletwa kutoka anga za mbali? napenda uendelee na mastori haya nayamaind kinoma!
Inawezekana Kaka.
 
Huu uzi ingawa NI story but blv me Una chembechembe za ukweli ndani yake
 
mkuu... sory, huwa naskia kua apolo na nasa wakitokaga angani na chombo chao huwa wanakipulizia dawa, ni kweli? kama ni kweli je kuna uwezekano wa hivi virus vya corona kuletwa kutoka anga za mbali? napenda uendelee na mastori haya nayamaind kinoma!
Kuna theory inasema Hawa virus wanaweza kuwa wameletwa kutoka Sayari ya Mars
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…