The country SA praises most in EA!

Heheee!!matusi sio suluhu ya matatizo yenu...komaeni na mihogo...
Hujatukanwa braza sijai ona au sikia tusi la mshamba na limbuken na mlevi.
Hzo ni sifa ambazo binadam aweza beba.
Sawa sisi twakomaa na mihogo ww komaa na ufaji njaa Turkana.
 
Hta ukiniita mmeo pia ni sifa za kibinadamu...au sio?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hujatukanwa braza sijai ona au sikia tusi la mshamba na limbuken na mlevi.
Hzo ni sifa ambazo binadam aweza beba.
Sawa sisi twakomaa na mihogo ww komaa na ufaji njaa Turkana.
 
Hta ukiniita mmeo pia ni sifa za kibinadamu...au sio?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Asa huko unaenda mbali mazeeh.
Sifa hyo atakupa shemeji na atakuita shemeji.
 
Ukwel haupingiki ndugu...hta ukaruka ruka vp...we komaa na turkana tu
Kumbe unajua kuwa ukweli haupingikii !!!!!????
Basi usikatae kuwa Turkana kuna kufa njaa.
Hongera kwa kujua hilo karibu mihogo ya kukaanga na juice ya miwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…