Eti ma bar na restaurant...heheeee!! Sasa zitmsaidia nn mwananchi wa kawaida...hv kwanza uwanja wenu wa taifa uko na WI-FI...kuuliza tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We umelewa kweli sio bure.
Mawasiliano ubungo kuna Free Wi-Fi.
Kuna vyuo ambavyo vina free Wi-Fi tena vingi tu madhalan ht college nilosoma.
Temeke kwa azizi Ally kuna baadhi ya restaurant na bars zina free WiFi.
Hao unaowasema eti niandike wanipige za uso ndio kina nani????
Eti wananchi wa kawaida zitawasaidia nn !!!!
Are you serious!!!!!??
Mwananchi wa kawaida haingii ktk social media???
Mwananchi wa kawaida hatumii internet???
Au wiFi wanatumia maboss na wafanyakaz na wasomi tu??!!!
Poor you!!!!!
Kuhusu Taifa sijui ila wiFi bongo ni kitu normal sana ht mabar yana Wi-Fi hatuna dhiki ya sisi kwenda kurundikana sehem moja kisa free WiFi ilhali tunaweza nunua bundle kwa bei ndogo na tukapata MBs kibao.
2000 2 GB airtel nikaangaike na free WiFi zann????
Kwa taarifa yako kule Temeke mabar na marestaurant hadi maguest houses yameweka wiFi za bure ili kuvutia wateja.
Mtu akienda pata kinywaji kuna free WiFi anawasha huku akiperuzi basi.
Kuhusu Taifa national stadium sikufatilia.
Malimbukeni sana nyie kenyans.
Watu siku hz tunanunua zetu MiFi halafu tunaconnect then tunaweka bundle mzigo tunatumia, hzo Wi-Fi jazaneni maskin nyie.