The country SA praises most in EA!

The country SA praises most in EA!

In any case,what kenya needs from SA is competition not sympathy,we are not an LDC country,even south africans knows to well the only country in africa that is closest to them in terms of developement and sophistication is kenya,SA knows the weight and influence kenya exerts in the region and africa,even after the xenophobic attacks of 2015 in SA,Ramaphosa-vice president by then flew all the way to nairobi to ask for forgiveness from all africans in kenya,why didn't he do it any other african country?
Why did Kenyatta flown all the way to Chato for the sake of foolish bhang smoking MP?
 
Which one is that?
One is the richest country in Africa, the other is the 3rd poorest country in Africa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23]
Kuna wengine wenut tutaleta Churchill Show. Mnavichekesho sana.
Halafu acha urongo budah.
Takwim ipi inayosema tz ni 3rd poorest????
 
Very shallow thinking capacity.
The US has everything, yet they are the biggest tourists in the world, visiting foreign countries more than any other nation.

Tanzanians are just too poor, too broke to travel. That's the fact of the matter. LDC republic.
Kweli kuna kusoma na kuelewa.
 
Free Wi-Fi ni kwa poorest people wasioweza afford bando that's why mnapenda kwenda kujazana kupata free Wi-Fi, [emoji23][emoji23][emoji23]
Asiropoke sana huyo.
Mawasiliano Ubungo kuna free Wi-Fi,Temeke had ma bar na restaurant yana Free WiFi huku sio kitu cha ajabu yan yeye anajisifu na WiFi moja ya uhuru park tu???!!
Kweli maskin akipata matako hulia pataa
 
No wonder they travel alot..!!!
20190827_204358.jpeg
 
Nenda kule kwa zile nyuzi za wenzenu halafu uandike huo uongo uone vyenye utapigwa za uso
Asiropoke sana huyo.
Mawasiliano Ubungo kuna free Wi-Fi,Temeke had ma bar na restaurant yana Free WiFi huku sio kitu cha ajabu yan yeye anajisifu na WiFi moja ya uhuru park tu???!!
Kweli maskin akipata matako hulia pataa
 
Khaaa!!!wi-fi kw nchi yenye iko advanced ni kitu cha kawaida sana...akili za kibongo bana...ndo manake mnaongoza kw maskini wengi katika ukanda huu
Free Wi-Fi ni kwa poorest people wasioweza afford bando that's why mnapenda kwenda kujazana kupata free Wi-Fi, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Eti ma bar na restaurant...heheeee!! Sasa zitmsaidia nn mwananchi wa kawaida...hv kwanza uwanja wenu wa taifa uko na WI-FI...kuuliza tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Asiropoke sana huyo.
Mawasiliano Ubungo kuna free Wi-Fi,Temeke had ma bar na restaurant yana Free WiFi huku sio kitu cha ajabu yan yeye anajisifu na WiFi moja ya uhuru park tu???!!
Kweli maskin akipata matako hulia pataa
 
Eti ma bar na restaurant...heheeee!! Sasa zitmsaidia nn mwananchi wa kawaida...hv kwanza uwanja wenu wa taifa uko na WI-FI...kuuliza tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We umelewa kweli sio bure.
Mawasiliano ubungo kuna Free Wi-Fi.
Kuna vyuo ambavyo vina free Wi-Fi tena vingi tu madhalan ht college nilosoma.
Temeke kwa azizi Ally kuna baadhi ya restaurant na bars zina free WiFi.
Hao unaowasema eti niandike wanipige za uso ndio kina nani????
Eti wananchi wa kawaida zitawasaidia nn !!!!
Are you serious!!!!!??
Mwananchi wa kawaida haingii ktk social media???
Mwananchi wa kawaida hatumii internet???
Au wiFi wanatumia maboss na wafanyakaz na wasomi tu??!!!
Poor you!!!!!
Kuhusu Taifa sijui ila wiFi bongo ni kitu normal sana ht mabar yana Wi-Fi hatuna dhiki ya sisi kwenda kurundikana sehem moja kisa free WiFi ilhali tunaweza nunua bundle kwa bei ndogo na tukapata MBs kibao.
2000 2 GB airtel nikaangaike na free WiFi zann????
Kwa taarifa yako kule Temeke mabar na marestaurant hadi maguest houses yameweka wiFi za bure ili kuvutia wateja.
Mtu akienda pata kinywaji kuna free WiFi anawasha huku akiperuzi basi.

Kuhusu Taifa national stadium sikufatilia.
Malimbukeni sana nyie kenyans.
Watu siku hz tunanunua zetu MiFi halafu tunaconnect then tunaweka bundle mzigo tunatumia, hzo Wi-Fi jazaneni maskin nyie.
 
Khaaa!!!wi-fi kw nchi yenye iko advanced ni kitu cha kawaida sana...akili za kibongo bana...ndo manake mnaongoza kw maskini wengi katika ukanda huu
Hv ww Wi-Fi unaona kitu greater sana???!!!!
Maboss na hela zao hununua MiFi then hujiconnect na kuweka bundle mzigo na kuperuzi.
Hawana shida na Wi-Fi wacha maskin ndio wajazane.
Halafu maskin wa tz anakula vzury anashiba analala vema kwasababu gharama za maisha ni nafuu tz ht kwa 2000 kwa siku unaishi.
Maskin wa keenyaa sasaaaa!!!!!!
Kaz ipo.
 
Wewe ndio waiona ni kitu kikubwa..manake kenya zimejaa za kumwaga tu za free...so hyo si big deal..km kwenu ni ma boss pekeake ndio wako na WI-FI basi bongo bado sana...

Kitu mnachofikiria n chakula tu...basi utafikiria ni vyakula vya maana..kumbe ni mihogo asubuhi, mchana na jioni...ndo manake utapiamlo hauwaachi salama watoto wenu
Hv ww Wi-Fi unaona kitu greater sana???!!!!
Maboss na hela zao hununua MiFi then hujiconnect na kuweka bundle mzigo na kuperuzi.
Hawana shida na Wi-Fi wacha maskin ndio wajazane.
Halafu maskin wa tz anakula vzury anashiba analala vema kwasababu gharama za maisha ni nafuu tz ht kwa 2000 kwa siku unaishi.
Maskin wa keenyaa sasaaaa!!!!!!
Kaz ipo.
 
Unalia lia sana...we kubali tu bado mko nyuma sekta hyo...kwan kenya ndio hakuna mitandao yenye bundles ni rahisi...

Ninacho kwambia...majumbani zimejaa mpka kwengine ni free...so kenya ishu ya WI-Fi ni jambo dogo tu..mpka matatu ziko na WI-FI...
Tatizo bongo...watu wengi ni maskini hawa afford...ndo manake umeshinda ukinitajia vyuo, mabaa na maboss tu...

Km hujanielewa hapo tosha
We umelewa kweli sio bure.
Mawasiliano ubungo kuna Free Wi-Fi.
Kuna vyuo ambavyo vina free Wi-Fi tena vingi tu madhalan ht college nilosoma.
Temeke kwa azizi Ally kuna baadhi ya restaurant na bars zina free WiFi.
Hao unaowasema eti niandike wanipige za uso ndio kina nani????
Eti wananchi wa kawaida zitawasaidia nn !!!!
Are you serious!!!!!??
Mwananchi wa kawaida haingii ktk social media???
Mwananchi wa kawaida hatumii internet???
Au wiFi wanatumia maboss na wafanyakaz na wasomi tu??!!!
Poor you!!!!!
Kuhusu Taifa sijui ila wiFi bongo ni kitu normal sana ht mabar yana Wi-Fi hatuna dhiki ya sisi kwenda kurundikana sehem moja kisa free WiFi ilhali tunaweza nunua bundle kwa bei ndogo na tukapata MBs kibao.
2000 2 GB airtel nikaangaike na free WiFi zann????
Kwa taarifa yako kule Temeke mabar na marestaurant hadi maguest houses yameweka wiFi za bure ili kuvutia wateja.
Mtu akienda pata kinywaji kuna free WiFi anawasha huku akiperuzi basi.

Kuhusu Taifa national stadium sikufatilia.
Malimbukeni sana nyie kenyans.
Watu siku hz tunanunua zetu MiFi halafu tunaconnect then tunaweka bundle mzigo tunatumia, hzo Wi-Fi jazaneni maskin nyie.
 
Unalia lia sana...we kubali tu bado mko nyuma sekta hyo...kwan kenya ndio hakuna mitandao yenye bundles ni rahisi...

Ninacho kwambia...majumbani zimejaa mpka kwengine ni free...so kenya ishu ya WI-Fi ni jambo dogo tu..mpka matatu ziko na WI-FI...
Tatizo bongo...watu wengi ni maskini hawa afford...ndo manake umeshinda ukinitajia vyuo, mabaa na maboss tu...

Km hujanielewa hapo tosha
Nimeamini ww MLEVI.
NA JIITE MWENYEWE MLEVI.
NIMETAJA WIFI NA MIFI.
AU HUJAWAHI KUITUMIA MIFI KIJANA???
NIMEKWAMBIA WI-FI SISI HATUSHUGHULIKI NAZO ZIMEJAA MPK GUEST HOUSE NA BAR ILI KUVUTIA WATEJA HATUNA SHIDA NAZO WI-FI ZIMETAPAKAA KILA KONA.
SISI MABOSS TUNATUMIA MI-FI.
WiFi tumeachia maskini wa kibela human national park mujazane nazo.

NADHAN UTAKUA HUKUWAHI IONA AU KUITUMIA MIFI IPO HAPO CHINI.
WI-FI HATUNA MZUKA NAZO WATU TUNATUMIA MIFI PIC YAKE IPO HAPO CHINI MAANA NAKUTAJIA MIFI UNASHIKILIA WI-FI ASA SIJUI NAN MSHAMBA KAT YENU NA YETU????
WI-FI TUMEWAACHIA WALEVI BAR WANAZITUMIA.
65096985.jpeg
 
Wewe ndio waiona ni kitu kikubwa..manake kenya zimejaa za kumwaga tu za free...so hyo si big deal..km kwenu ni ma boss pekeake ndio wako na WI-FI basi bongo bado sana...

Kitu mnachofikiria n chakula tu...basi utafikiria ni vyakula vya maana..kumbe ni mihogo asubuhi, mchana na jioni...ndo manake utapiamlo hauwaachi salama watoto wenu
Kuku ww huku maisha simple sio km kibera.
Sembe 300 na pemben mtu ana bustan ya vegetables anachuma sio ya kununua na anatoa 500 ya samaki ashakula mlo nzuri kwa 800 tsh sembe ni carbohydrates vegetables wapata vitamin na samak proteins kaz kwisha.
Asa Nambie kibera waweza ishi hvyo???!!!!!
Kula lazima mengine ni vtu nyongeza.
 
Hahaaaaa!!!kwn ndio umeanza kutumia juzi hyo kitu..

Eti WI-FI mmewaachia walevi bar...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]watanzania wa kawaida hawa afford hyo kitu....so endeleeni kununua bundles tu..hzo story zngne achana nazo

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeamini ww MLEVI.
NA JIITE MWENYEWE MLEVI.
NIMETAJA WIFI NA MIFI.
AU HUJAWAHI KUITUMIA MIFI KIJANA???
NIMEKWAMBIA WI-FI SISI HATUSHUGHULIKI NAZO ZIMEJAA MPK GUEST HOUSE NA BAR ILI KUVUTIA WATEJA HATUNA SHIDA NAZO WI-FI ZIMETAPAKAA KILA KONA.
SISI MABOSS TUNATUMIA MI-FI.
WiFi tumeachia maskini wa kibela human national park mujazane nazo.

NADHAN UTAKUA HUKUWAHI IONA AU KUITUMIA MIFI IPO HAPO CHINI.
WI-FI HATUNA MZUKA NAZO WATU TUNATUMIA MIFI PIC YAKE IPO HAPO CHINI MAANA NAKUTAJIA MIFI UNASHIKILIA WI-FI ASA SIJUI NAN MSHAMBA KAT YENU NA YETU????
WI-FI TUMEWAACHIA WALEVI BAR WANAZITUMIA.View attachment 1191777
 
Always in denial...mbna utapiamlo unawaandama basi km mnakula hvo
Kuku ww huku maisha simple sio km kibera.
Sembe 300 na pemben mtu ana bustan ya vegetables anachuma sio ya kununua na anatoa 500 ya samaki ashakula mlo nzuri kwa 800 tsh sembe ni carbohydrates vegetables wapata vitamin na samak proteins kaz kwisha.
Asa Nambie kibera waweza ishi hvyo???!!!!!
Kula lazima mengine ni vtu nyongeza.
 
Hahaaaaa!!!kwn ndio umeanza kutumia juzi hyo kitu..

Eti WI-FI mmewaachia walevi bar...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]watanzania wa kawaida hawa afford hyo kitu....so endeleeni kununua bundles tu..hzo story zngne achana nazo

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahaha daah we jamaa ni kalevi sio bure.
Yan WiFi sisi iwe ngumu kwetu ku afford!!!!??
Mbona tuna afford ma Mifi tushindwe WiFi ??!!!!!
Mshamba ww halafu limbuken .
 
Heheee!!matusi sio suluhu ya matatizo yenu...komaeni na mihogo...

Hahahaha daah we jamaa ni kalevi sio bure.
Yan WiFi sisi iwe ngumu kwetu ku afford!!!!??
Mbona tuna afford ma Mifi tushindwe WiFi ??!!!!!
Mshamba ww halafu limbuken .
 
Back
Top Bottom