"The Crew" genge la Karia linalozidi kuharibu mpira wa Tanzania

Rozela

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
845
Reaction score
2,235
Ni genge la siri linaloundwa na mashabiki 12 wa timu 3 za mpira, kazi yake ni kuwaorganize mashabiki kuja uwanjani na picha za mwanasiasa fulani.

Sasa wameprint picha na ujumbe wa mitano tena kwa mwana siasa huyo.

Sidhani kama FIFA wamemtuma karia kuanzisha The Crew. Na yule mchambuzi yuko standby, yeye ameambiwa ikitokea mchambuzi yeyote kahoji haya mambo basi amshughulikie.

The Crew inalipwa, ila wanaoingia kichwa kichwa kubeba mabango wana ambulia buku 5 kwa kila mechi, wengine hawapati hata 100.
 
Huenda unaloongea Lina ukweli, Lakini kwa tusiojua tunajuaje? Funguka vizuri
 
Nitarudi
KAZI ni kipimo cha utu
 
Siasa Inaingizwa kwenye Mpira
Wao wanaona Wanapatia kumbe wanaharibu.
 
Eleza vitu kinagaubaga hii tabia ya kuzunguka zunguka ,ndio chanzo cha majungu na unafiki.Fungukaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…