The dark side of business


Ntakutafuta unifundishe Uchawi
 
Hivi umesha wai kujiuliza Ngamia uyo walimahanisha nini.
Ule mfano wa Ngamia kupita kwenye tundu la sindano ni hivi.
Lile hekalu lina milango miwili mashuhuri.
Mmoja unaitwa mlango mzuri na mwingine unaitwa tundu la sindano.
Sasa Kuna muda ikifika jioni ule mlango mzuri huwa unafungwa ni kama geti la kushusha kutoka juu.
Halafu mlango unaoitwa tundu la sindano hufungwa nusu.
Sasa ili wafanyabiashara au matajiri wenye ngamia waweze kuingia hekaluni kufanya ibada inabidi wale ngamia wapite kwa kupiga magoti au kusota chini.
Ndio ule msemo kuwa ni rahisi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko Tajiri kurithi Ufalme wa Mbingu.
Watu wengi waliutumia huu mfano vibaya kutisha watu kuwa matajiri hawataona mbingu.
 
mkuu kwema? yule mtu wetu wa Igombe bado ana matokeo mazuri?
 
Mbona tunaambiwa ngamia ni ile kamba kubwa inayotumika kufungia nanga za kwenye meli?
 
W
Well said bro💪
 
Umetisha sana kaka
 
Acha kutudanganya, mfano wa ngamia unaozungumziwa katika maandiko ni kamba kama zile wanazotumia melini.
 

Attachments

  • IMG_4926.jpeg
    451.8 KB · Views: 7
Acha kutudanganya, mfano wa ngamia unaozungumziwa katika maandiko ni kamba kama zile wanazotumia melini.
What is the meaning of a camel going through the eye of a needle?


The "Eye of the Needle" was indeed a narrow gateway into Jerusalem. Since camels were heavily loaded with goods and riders, they would need to be un-loaded in order to pass through. Therefore, the analogy is that a rich man would have to similarly unload his material possessions in order to enter heaven.
Nime copy somewhere.

Siku nyingine umiza kichwa kufanya utafiti.
 
So that being said inamaanisha wadhungu mambo yao ya ndumba na imani ya mwanga ni kali kuliko sie? Maana biashara zao ni za ukwwli (manufacturing) wakati zetu huku ni za subsistence
 
So that being said inamaanisha wadhungu mambo yao ya ndumba na imani ya mwanga ni kali kuliko sie? Maana biashara zao ni za ukwwli (manufacturing) wakati zetu huku ni za subsistence
Jamaa wanafanya Sacrifices sema ndo vile tu vitu havifanyiki hadharani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…