The dark side of business

The dark side of business

Kwa ulivyo uliza swali. Majibu yategemeana na scenario husika
KUna kundi wao hua wanaiamini mizimu au wanaabudu mizimu ili wafanikiwe katika shughulizao iwe biashara au kiliomo au ishu yyte inayoitaji mtu kufanikiwa

Sasa damu hua ni kama sadaka kwani ndo chakula cha mizimu. Hua ni damu ya mifugo iwe ng'ombe au kuku.

ASsignment au mfano mzuri na kupa katafte na wewe u reason kuendana na uelewa wako. Kama hukufuatilia kwa makini live katafte interview na clip za kipind icho

Kipindi cha miaka 10 ya muziki ya msanii Bayamundi alienda kwao kigaoma na msanii kharmonize yeye akaamua kwenda kwao mtwara.
Kuna swali mtangazaji miliOmmY alimuuliza bayamondi kua
"Kipindi tunafika hapa kigoma kuna ndege sijui ni popo wale walikua wametanda wengi kweli kwenye ule mti ila wewe ulivyo fika au kutia mguu walipaa wakaondoka hii hali ili ibua maswali sana Kgoma

Majibu ya bayamundi " sipendi kuliongelea hilo swala ila wazee na wakubwa wamenikubali"
katafte mwenyew video za kipindi hicho
Kwa ufupi mifugo ilichinjwa sana baina ya wasnaii hao


View: https://youtu.be/b7pM3kO3Ml0?si=TELIJbMgJBRPiGIa

View: https://youtube.com/shorts/R7A7Gk7lwnE?si=F9cnc40CEtujAB8e

Kwa upande mwngine
Kuna wale wanao enda kwa watalaam kwa lengo la kutafta utajiri. Huwa wanaambiwa watoe kafara ya mtu wa karibu au ndugu sasa hapo mnyama kama kuku ndo anakuwa ana represent huyo mtu alietolewa sadaka. Kuku akichinjwa basi kitakachomkuta huyo mtu kimetokana tendo na sadaka alioitoa

Life is spiritual. Mafanikio ya mtu we yaache kama yalivyo hujui effort na hustle alioiweka mpka kafika hapo

Mwamba, Kuna mtu aliwahi kuniambia ukiweza kufanya dili lolote la kiutafutaji, the best ni Lile unaloweza kulifanya in a confined environment... Akasema yeye ana shamba la mifugo ndani ya uzio wa ukuta, na amefanikiwa.
Logic yake anasema Macho ya watu Yana husda, na ndiyo mwanzo wa UCHAWI.
 
Mwamba, Kuna mtu aliwahi kuniambia ukiweza kufanya dili lolote la kiutafutaji, the best ni Lile unaloweza kulifanya in a confined environment... Akasema yeye ana shamba la mifugo ndani ya uzio wa ukuta, na amefanikiwa.
Logic yake anasema Macho ya watu Yana husda, na ndiyo mwanzo wa UCHAWI.
You nailed it Mr,ndio maana baadhi ya imani zinautambua uchawi Kama evil eye.
 
Nimeamini ushirikina ni kanuni na masharti.. lkn upande wa mungu kuna kanuni pia... kwa experience yako nijibu, je ukifuata kanuni za kimungu huwezi kuwa na ulinzi au kufanikiwa mkuu? Kama kweli ni kanuni zipi za kuzifuata ?
Ukiona unaanza kuyumba yumba ujue haupo stable,Jiamini mtumaini Mungu huo upande mwingine jifunze tu
 
Kwanza hizi habari za utajiri wa kishetani zipo kwenye mentality za waafrika maskini choka mbaya.

Kama kuna utajiri wa kishetani kwa nini huutumii kufanikiwa kama kweli upo?

Kwa nini unafanya kazi? Kwa nini unatafuta hela kwa jasho?

Kwa nini usikae na hayo matunguli yalete pesa automatically kila siku bila kujihangaisha kufanya kazi?

Mimi mtu akiweza kuanzisha kiwanda kikubwa cha uzalishaji kwa uchawi tu, bila kutumia mkopo wowote wa kibenki au taasisi yeyote ya kifedha, Au akiba yake yeyote ya fedha.

Yani Atumie uchawi tu kujenga kiwanda. Hapo ndio nitajua kwamba kweli kuna utajiri wa kishetani.

Unless otherwise, Hizi ni stori za kusadikika tu, hakuna utajiri wa kishetani.
Bro naamini wewe ni mjasiriamali kutokana na jina lako na utakua unasoma soma vitabu.... Tafuta kitabu kinaitwa shoe dog Cha founder wa Nike then soma mpaka mwisho.... Kama una Imani yoyote ndani yako utapata majibu ya swali lako
 
Bro naamini wewe ni mjasiriamali kutokana na jina lako na utakua unasoma soma vitabu.... Tafuta kitabu kinaitwa shoe dog Cha founder wa Nike then soma mpaka mwisho.... Kama una Imani yoyote ndani yako utapata majibu ya swali lako
 

Attachments

lakini kuna vile nina uhakika havipo, ikiwemo uchawi kama tuujuavyo
Huo uhakika umeupataje kwenye swala hili la uchawi ?

Umewahi kufanya research ndogo ndogo labda ?

Mfano kwa kutembelea maeneo yanayosifika kwa uchawi kama Gamboshi, Sumbawanga,

Au umewahi kutembelea waganga wa kienyeji wanaosifika kwa kuwa ni konki ?
 
Hakuna kinga za kiroho, mbona watu wanafilisika kila mara na hizo kinga unazodai zipo haziwasaidii chochote?

Au hizo kinga zina kinga nini?

Maana hata matajiri wakubwa biashara zao kuna muda huyumba na kupitia ups and downs.

Sasa hizo kinga zina kinga kitu gani haswa?
Ndugu yangu, My brother , na member mwenzangu Dunia ina mambo mengi sana usiyoyafahamu

Usizibe ufahamu wako kuelewa na kuyatambua mambo mapya ambayo ulikua hauyafahamu hapo kabla

Ingia youtube angalia uzinduzi wa kiwanda cha wachina kilichopo mkulanga kilichozinduliwa miezi mitatu iliyopita

Angalia mambo waliyoyafanya kwenye uzinduzi pale kuanzia vichwa vya ng'ombe ambavyo viliwekwa juu ya meza ya uzinduzi pamoja na vitu walivyochoma moto

Ukishamaliza kuangalia urudi hapa tuulizane maswali mawili matatu
 
Utakuwa haujamuelewa mtoa mada...Mtoa mada hajaomgelea utajiri wa shetani...anaongelea Kinga za kiroho na mbini unapofanya business...Hao matajiri wakubwa we Ushawahi Fanya nao kazi?una uhakika hawafanyi chochote...Kawaulize customer care wa call centre wanaofanya .ye mak
ampuni makubwa ya simu wahindi Huwa wanafny
a inada Gani.?
Wahindi hauwwzi kuwatenga na Ibada zao....Waafrika we kama haujawahi kwenda Kwa mganga Wala kanisani ....Jua wazazi wako wanatambika.....au walikutambikia
Nimemuelekeza aingie youtube atafute ile clip ya uzinduzi wa kiwanda cha wachina pale mkulanga ili aje tujadili yale yaliyofanyika pale
 
Nimemuelekeza aingie youtube atafute ile clip ya uzinduzi wa kiwanda cha wachina pale mkulanga ili aje tujadili yale yaliyofanyika pale
Nimeitafuta hiyo clip hakika akiiona na yeye ataacha ubishi.

Pia nina wasiwasi huenda yeye ndiye mwamba upande huo ila hataki wengine wapate ABC's ya ulimwengu huo wa giza.
 
Back
Top Bottom