The dark side of business

The dark side of business

Mayor qimby na infroprenuer ni wajinga kabisa hawa ni watoto wa mama hawajawahi kukutana na sereka yoyote wala hamna haja ya kujibizana nao
Hawa majamaa wanajua kila kitu ila hawatak wengine wajue dunia inavyokwenda

Inawezekana huu uzi una haribu mambo yao kwa namna fulani ndo maana wamefanya juhud zozote usiendelee
 
Huo uhakika umeupataje kwenye swala hili la uchawi ?

Umewahi kufanya research ndogo ndogo labda ?

Mfano kwa kutembelea maeneo yanayosifika kwa uchawi kama Gamboshi, Sumbawanga,

Au umewahi kutembelea waganga wa kienyeji wanaosifika kwa kuwa ni konki ?
Uchawi ungekuwepo tungekuwa tunautumia sana kama vile tunavyotumia tiba.

Kitu kinachorahisisha maisha namna hiyo kisingeweza kubaki mikononi mwa wachache...

Yaani kusingekuwa na haja ya kubishana kama tunavyofanya hapa.

Na pia uchawi una mapokeo tofauti kwenye kila jamii. Mfano ulaya hakuna uchawi wa ungo... Africa hakuna stori za werewolves... hilo linathibitisha kabisa uchawi ni nadharia za kizamani.
 
Inaendelea

Ilipoishia(nikiwa home)
Nikacheki saa,ni saa mbili na nusu usiku,ghafla nikaskia
mlango unagongwa..........mapigo ya moyo yalianza kunienda mbio,nikajisemea ndio wale viumbe wamekuja...nikawa najiuliza hivi viumbe zipoje,sura zao zipoje?nilijiuliza bila majibu....mlango ulizidi kugongwa....nilisogea pale mlangoni huku natetemeka...................

Sasa tuendelee

Nilifungua ule mlango then nikarudi nyuma ili nione kitakacho ingia,aliingia recho!

(Huyu recho alikuwa ni girl friend wangu tangu niko chuo)

Recho:we mwanaume vp,nagonga mlango muda wote huo hufungui?(alihoji recho kwa ukali)

Mm:"punguza jazba,nilikuwa nimelala sikukuskia ulipokuwa unagonga!vp mbona umekuja bila taarifa?

Recho:haah!,yaani ww leo ni wa kuniuliza mimi hivyo,ama kweli umenichoka,kwanza wiki nzima hupatikani uko bize,dukani haupo,nyumbani haupo unakuwa wapi?

Mm:mbona unanifatilia ww mwanamke!kwahiyo ulikuja ili unifumanie?mbona huniamini?

Recho:ehee bora umejitekenya mwenyewe,kwanza hii harufu ninayoisikia humu ndani ni ya nini?utakuwa umeingiza mwanamke!(aliacha kuongea akaanza kuelekea chumbani)
Recho:tena huku ndio harufu inatokea,ngoja nimkute huyo mwanamke,patachimbika!....(alizama ndani,akapiga dolia lkn hakuona kitu)
Recho:hebu niambie hii harufu ni ya nini?
Mm:ni marashi tu ya kawaida mambo ya Oriental hayo,
recho:akaguna then akapotezea.....,tukaendelea kupiga story za hapa na pale.
Story zikanoga nikasahau kwamba nina ugeni....ghafla kuna text ikaingia kwny simu"kijana umeshafanya maandalizi?"ilikuwa ni text ya mzee ngurumo (akili zilinirudia) nilijiuliza hawa viumbe wakija na kunikuta na mwanamke,walahi sitaomba maji kwasababu sharti moja wapo ni kukaa mbali na hawa viumbe wa kike!

Mm:sasa baby,nikusindikize maana leo siko poa kabisa
Recho:sikua na mpango wa kuja kulala leo nilitaka nije tu nione Kama Kuna usalama.

Basi nilimsindikiza kisha nikarudi,nikaingia chumbani,nikawa nimekaa kitandani natafakari namna ya kumpiga chenga recho kwa miezi sita,na Kama mnavyojua mtoto wa kike,ukimletea ring show,ma baharia wanapita naye,kwa kweli sikuwa tayari kumpoteza recho,niliwaza labda nisafiri kwa hiyo miezi sita sikupata jibu,nilijilaza pale kitandani ila sikuwa hata na chembe y usingizi,masaa yalizidi kukatika.

Ikafika saa nne usiku
Nilisubiri wale viumbe,lkn hawakutokea,nilitegemea kusikia mlango unagongwa lkn wapi,mpk nikaanza kupitiwa na usingizi.

Baada ya dk Kama 20 nikashtuka,taa ya chumbani ilikuwa on lkn nashangaa kuona imezima,then mlango ukafunguka wenyewe bila kuguswa....nikawa nimekodolea macho pale mlangoni....ulitokea Kama mwangaza,kisha viliingia viumbe sita,wakike watatu na wakiume watatu,ile harufu ya udi ikatoweka ikaja harufu moja nzuri sana,ile hofu niliyokuwa nayo mwanzo ikapotea,niliinuka pale kitandani kwa ujasiri na kusimama mbele ya wale viumbe,mwanzoni nilijua watakuwa ni viumbe wa ajabu wenye sura mbaya,nilishangaa kuona ni warembo wa maana.

Wale viumbe waliongea kwa lugha ambayo sikuijua lkn nilikuwa nawaelewa na Mimi nikiongea kiswahili changu wananielewa...niliwauliza wametokea wapi? Kuna mmoja alikuwa kama ndio
Kiongozi wao,anaitwa bijan"tafasiri ya hili jina ni "shujaa"

Bijan:sisi ni wa Persian(aliongea bijan kwa kilugha Chao)...bijan aliendelea..
Tumetoka ulimwengu wa mbali,tumetoka kwenye ufalme wa kiajemi na tupo hapa kwa ajili yako.....bijani aliendea kuongea na baada ya muda kidogo aliita"yasamin" akaitika kiumbe mmoja wa kike(huyu yasamin ndio sisi kibongo tunamwita jasmine na maana yake ni zawadi kutoka kwa mungu,haya majina yao yalikuwa yana husiana na mishe iliyowaleta..kule mwanzo nilisema watatu walikuwa ni kwa ajili ya mvuto na watatu kwa ajili ya ulinzi)
Baada ya bijan kumwita yasamin,aliendelea kuongea,

Bijan:lete zawadi kutoka kwa mungu...(wadau hapa naandika mungu kwa herufi ndogo tena bila codes kwasababu huyo wanayemwita mungu sio huyu unayemjua wewe,huyo mungu wao anaitwa mkuu wa ufalme wa uajemi)

Jasmine alileta kijisanduku kidogo na akakifungua mbele yangu,kwa ndani kilikuwa na pete ya dhahabu..bijan akasema mvalishe hiyo Pete
Basi nikanyoosha kidole na Jasmin akanivalisha ile Pete....ghafla wale viumbe waliinama na kunisujudia na wote kwa pamoja wakisema sisi ni mali yako,wakawa wanarudia rudia kusema khuda...khuda...khuda,hili neno ni sawa na kusema bwana au Lord na tafasiri yake ni"mmiliki au owner"hili ni neno zito sana kwenye lugha ya kiajemi.

Vile viumbe kunisujudia nilijiona somebody in the realm of spirit,nikajiona mfalme.

Assignment
Usiku uleule nikaanza kutoa assignment kwa wale viumbe

Mm:bijan nahitaji upeleke walinzi pale dukani kwangu na wewe utakuwa unanilinda mimi....baada ya kusema hivyo wale viumbe wawili wa kiume walipotea kama upepo,within a second...bijani akaniambia wameshafika...
Na wale akina jasmine niliwaambia waende wasimame mbele ya duka langu ili kuvuta wateja,nao walipotea kama upepo kwa speed ya light....nikabaki na bijan
Mm:wewe kazi yako ni kunilinda Mimi,uta hakikisha hakuna nguvu ya giza inanipata na hakuna senti yangu hata moja inapotea..bijani aliitikia kwa kusema "khuda"kisha akendelea kusema..
Bijan:Kuna zawadi nyingine mkuu wa ufalme wa uajemi ataituma kwako,akiituma niite nikupe maelekezo.....

Baada ya maongezi ya muda mrefu.....
Niliachana na bijan,nikaenda zangu kulala na bijan akawa around ila haonekani(hawa viumbe pakikucha huwa siwezi kuwaona ila naweza kuongea nao)

Kesho yake
Nilienda dukani mapema sana,nikafungua geti nikazama ndani,nikaweka mazingira sawa,then nikafungua safe(baada ya ile safe ya kwanza kubebwa,nilinunua safe nyingine kubwa zaidi) ndani ya safe nikakuta hela zangu na mzigo wa vocha kama kawaida lakini niliona kuna hela zingine sio za kitanzania,nilishtuka kidogo lkn nikajiongeza itakuwa ndio ile zawadi aliyoniambia bijan kwamba mkuu wa ufalme wa uajemi atanitumia,nilizihesabu nikakuta zipo dinari 25,000,kipindi hicho ilikuwa 1KWD ni sawa na TSH 4500,zile dinari 25,000 ni sawa na milioni mia za kibongo na chenji zake..nilifurahi kama mwalimu aliyeongezewa mshahara😀😀
nilichukua zile hela,nikaenda nazo home niongee na bijan,kwasababu aliniambia nikipokea hiyo zawadi,nimuite anipe maelekezo.

Nikiwa njiani nilianza kuipigia hesabu hiyo hela,nikawaza nivute bmw 320i harafu kiasi kinachobaki nikamalizie kujenga apartments zangu.

nimefika home moja kwa moja nikaenda chumbani,nikaita bijan,bijan..

Bijan:ndio mkuu nakusikia(hapo bijan anaongea kwa kilugha chao,naskia sauti yeye haonekani,hawa viumbe hawapatani kabisa na mwanga sijui kwann)
Mim:isee ile zawadi uliyoniambia tayari imeshatumwa(huku namwonyesha bijan vibunda vya hela)
Bijan:hizo hela usifanyie chochote zaidi ya kuiwekeza kwenye biashara(bijan alisisitiza)
Ile ndoto yangu ya bmw ikayeyuka😭😭
Baada ya bijan kunipa maelekezo sikutaka kulaza damu,nikaenda kuongea na mmiliki wa zile fremu pale ninapofanyia biashara anipe go ahead ya kulipanua lile duka na kujenga store moja kubwa,yule mmiliki aliniewa akanipa go ahead..

Shughuli ya kupanua jengo la Biashara ikaanza

Mafundi walipiga kazi mchana na usiku kwasababu wakati upanuzi unaendelea tuliacha kutoa huduma,
Nilijenga duka na store moja kubwa ili nijitanue kibiashara,nililenga nifungue duka kubwa la jumla ambalo nitauza karibu kila kitu nilitaka nifanye kama Walmart.

Baada ya ile kazi kuisha,
Kesho yake,nilikuja na cater mbili zimejaa mzigo,canter ya kwanza tukapakua mzigo tukaujaza store na canter ya pili tukaweka mzigo dukani....hiki nilichokuwa nakifanya watu walikuwa hawaamini kinachotokea,kila mtu aliongea yake mara jamaa amerithi mara anatumia ndumba...nilipuuza maneno yao nikaendelea kufanya maajabu.

Nilipiga hesabu ule mchakato mzima mpaka unakamilika,nilitumia 87M,ukipiga hesabu bado hela ndefu imebaki.

Kuna rafiki yangu mmoja alikuwa na kituo chake cha kuuza tofari,huyu jamaa alikuwa anapiga Sana kazi kipindi cha nyuma mpk yalipoanza mapicha picha,mara mashine haziwaki,Mara mota imeungua,wateja nao wakakata,so jamaa akatangaza kuuza kila kitu,nilimpa jamaa gharama zake zote lkn kabla sijaanza kazi team yangu ilienda kukagua kile kituo na kuweka mambo sawa,jamaa alikuwa anarogwa na mshindani wake ambaye yuko kwenye game kitambo,so team yangu ikiongozwa na bijan walifanikiwa kutegua uchawi wote then mwanaume nikaingia.

Nilishusha mende za mchanga,leta semi ya cement,vijana walipiga kazi asubuhi,mchana,usiku ilikuwa ni shift,hawa wakichoka wanaingia wengine.

Kule dukani walibaki viumbe watatu,wawili niliwapeleka kwenye kituo cha tofari,mmoja wa mvuto na mwingine wa ulinzi,
mambo yakawa juu ya mstari.

Baada ya miezi 3
Ngurumo alinitafuta
"Vipi kijana mambo yanaendeleaje?"
Mm:isee mambo ni 🔥🔥kuna zawadi nitakupa mzee wangu!
Ngurumo:sawa ila wewe endelea kufata masharti utafika mbali Sana....una nyota kali sana ya biashara lakini ni muhimu kujua wale ng'ombe wawili wanamaanisha nini?kisha akakata simu..
Niliitafakari hii kauli ya mzee ngurumo sikupata jibu.........
****************"**************
nini kitajiri baada ya hii kauli tata ya mzee ngurumo!.....wale ng'ombe wanamaanisha nini?........Bar mighardam (kiajemi) yaani nitarudi.
 
Tanzanian Dream wacha uchoko. Kama hutaki kuweka muendelezo sema kabisa watu wafanye mambo mengine
Take it easy! Maisha sio ya kucomlicate kiasi hicho, chungulia kidogo kama kuna muendelezo soma, kama hamna endelea na shughuli nyingine. Hakuna aliyemuomba mtoa mada atoe mada yake bali ameamua yeye mwenyewe, akiamua kuacha pia anaweza akaacha na sio kwa matakwa ya mtu mwengine
 
Inaendelea

Ilipoishia(nikiwa home)
Nikacheki saa,ni saa mbili na nusu usiku,ghafla nikaskia
mlango unagongwa..........mapigo ya moyo yalianza kunienda mbio,nikajisemea ndio wale viumbe wamekuja...nikawa najiuliza hivi viumbe zipoje,sura zao zipoje?nilijiuliza bila majibu....mlango ulizidi kugongwa....nilisogea pale mlangoni huku natetemeka...................

Sasa tuendelee

Nilifungua ule mlango then nikarudi nyuma ili nione kitakacho ingia,aliingia recho!

(Huyu recho alikuwa ni girl friend wangu tangu niko chuo)

Recho:we mwanaume vp,nagonga mlango muda wote huo hufungui?(alihoji recho kwa ukali)

Mm:"punguza jazba,nilikuwa nimelala sikukuskia ulipokuwa unagonga!vp mbona umekuja bila taarifa?

Recho:haah!,yaani ww leo ni wa kuniuliza mimi hivyo,ama kweli umenichoka,kwanza wiki nzima hupatikani uko bize,dukani haupo,nyumbani haupo unakuwa wapi?

Mm:mbona unanifatilia ww mwanamke!kwahiyo ulikuja ili unifumanie?mbona huniamini?

Recho:ehee bora umejitekenya mwenyewe,kwanza hii harufu ninayoisikia humu ndani ni ya nini?utakuwa umeingiza mwanamke!(aliacha kuongea akaanza kuelekea chumbani)
Recho:tena huku ndio harufu inatokea,ngoja nimkute huyo mwanamke,patachimbika!....(alizama ndani,akapiga dolia lkn hakuona kitu)
Recho:hebu niambie hii harufu ni ya nini?
Mm:ni marashi tu ya kawaida mambo ya Oriental hayo,
recho:akaguna then akapotezea.....,tukaendelea kupiga story za hapa na pale.
Story zikanoga nikasahau kwamba nina ugeni....ghafla kuna text ikaingia kwny simu"kijana umeshafanya maandalizi?"ilikuwa ni text ya mzee ngurumo (akili zilinirudia) nilijiuliza hawa viumbe wakija na kunikuta na mwanamke,walahi sitaomba maji kwasababu sharti moja wapo ni kukaa mbali na hawa viumbe wa kike!

Mm:sasa baby,nikusindikize maana leo siko poa kabisa
Recho:sikua na mpango wa kuja kulala leo nilitaka nije tu nione Kama Kuna usalama.

Basi nilimsindikiza kisha nikarudi,nikaingia chumbani,nikawa nimekaa kitandani natafakari namna ya kumpiga chenga recho kwa miezi sita,na Kama mnavyojua mtoto wa kike,ukimletea ring show,ma baharia wanapita naye,kwa kweli sikuwa tayari kumpoteza recho,niliwaza labda nisafiri kwa hiyo miezi sita sikupata jibu,nilijilaza pale kitandani ila sikuwa hata na chembe y usingizi,masaa yalizidi kukatika.

Ikafika saa nne usiku
Nilisubiri wale viumbe,lkn hawakutokea,nilitegemea kusikia mlango unagongwa lkn wapi,mpk nikaanza kupitiwa na usingizi.

Baada ya dk Kama 20 nikashtuka,taa ya chumbani ilikuwa on lkn nashangaa kuona imezima,then mlango ukafunguka wenyewe bila kuguswa....nikawa nimekodolea macho pale mlangoni....ulitokea Kama mwangaza,kisha viliingia viumbe sita,wakike watatu na wakiume watatu,ile harufu ya udi ikatoweka ikaja harufu moja nzuri sana,ile hofu niliyokuwa nayo mwanzo ikapotea,niliinuka pale kitandani kwa ujasiri na kusimama mbele ya wale viumbe,mwanzoni nilijua watakuwa ni viumbe wa ajabu wenye sura mbaya,nilishangaa kuona ni warembo wa maana.

Wale viumbe waliongea kwa lugha ambayo sikuijua lkn nilikuwa nawaelewa na Mimi nikiongea kiswahili changu wananielewa...niliwauliza wametokea wapi? Kuna mmoja alikuwa kama ndio
Kiongozi wao,anaitwa bijan"tafasiri ya hili jina ni "shujaa"

Bijan:sisi ni wa Persian(aliongea bijan kwa kilugha Chao)...bijan aliendelea..
Tumetoka ulimwengu wa mbali,tumetoka kwenye ufalme wa kiajemi na tupo hapa kwa ajili yako.....bijani aliendea kuongea na baada ya muda kidogo aliita"yasamin" akaitika kiumbe mmoja wa kike(huyu yasamin ndio sisi kibongo tunamwita jasmine na maana yake ni zawadi kutoka kwa mungu,haya majina yao yalikuwa yana husiana na mishe iliyowaleta..kule mwanzo nilisema watatu walikuwa ni kwa ajili ya mvuto na watatu kwa ajili ya ulinzi)
Baada ya bijan kumwita yasamin,aliendelea kuongea,

Bijan:lete zawadi kutoka kwa mungu...(wadau hapa naandika mungu kwa herufi ndogo tena bila codes kwasababu huyo wanayemwita mungu sio huyu unayemjua wewe,huyo mungu wao anaitwa mkuu wa ufalme wa uajemi)

Jasmine alileta kijisanduku kidogo na akakifungua mbele yangu,kwa ndani kilikuwa na pete ya dhahabu..bijan akasema mvalishe hiyo Pete
Basi nikanyoosha kidole na Jasmin akanivalisha ile Pete....ghafla wale viumbe waliinama na kunisujudia na wote kwa pamoja wakisema sisi ni mali yako,wakawa wanarudia rudia kusema khuda...khuda...khuda,hili neno ni sawa na kusema bwana au Lord na tafasiri yake ni"mmiliki au owner"hili ni neno zito sana kwenye lugha ya kiajemi.

Vile viumbe kunisujudia nilijiona somebody in the realm of spirit,nikajiona mfalme.

Assignment
Usiku uleule nikaanza kutoa assignment kwa wale viumbe

Mm:bijan nahitaji upeleke walinzi pale dukani kwangu na wewe utakuwa unanilinda mimi....baada ya kusema hivyo wale viumbe wawili wa kiume walipotea kama upepo,within a second...bijani akaniambia wameshafika...
Na wale akina jasmine niliwaambia waende wasimame mbele ya duka langu ili kuvuta wateja,nao walipotea kama upepo kwa speed ya light....nikabaki na bijan
Mm:wewe kazi yako ni kunilinda Mimi,uta hakikisha hakuna nguvu ya giza inanipata na hakuna senti yangu hata moja inapotea..bijani aliitikia kwa kusema "khuda"kisha akendelea kusema..
Bijan:Kuna zawadi nyingine mkuu wa ufalme wa uajemi ataituma kwako,akiituma niite nikupe maelekezo.....

Baada ya maongezi ya muda mrefu.....
Niliachana na bijan,nikaenda zangu kulala na bijan akawa around ila haonekani(hawa viumbe pakikucha huwa siwezi kuwaona ila naweza kuongea nao)

Kesho yake
Nilienda dukani mapema sana,nikafungua geti nikazama ndani,nikaweka mazingira sawa,then nikafungua safe(baada ya ile safe ya kwanza kubebwa,nilinunua safe nyingine kubwa zaidi) ndani ya safe nikakuta hela zangu na mzigo wa vocha kama kawaida lakini niliona kuna hela zingine sio za kitanzania,nilishtuka kidogo lkn nikajiongeza itakuwa ndio ile zawadi aliyoniambia bijan kwamba mkuu wa ufalme wa uajemi atanitumia,nilizihesabu nikakuta zipo dinari 25,000,kipindi hicho ilikuwa 1KWD ni sawa na TSH 4500,zile dinari 25,000 ni sawa na milioni mia za kibongo na chenji zake..nilifurahi kama mwalimu aliyeongezewa mshahara😀😀
nilichukua zile hela,nikaenda nazo home niongee na bijan,kwasababu aliniambia nikipokea hiyo zawadi,nimuite anipe maelekezo.

Nikiwa njiani nilianza kuipigia hesabu hiyo hela,nikawaza nivute bmw 320i harafu kiasi kinachobaki nikamalizie kujenga apartments zangu.

nimefika home moja kwa moja nikaenda chumbani,nikaita bijan,bijan..

Bijan:ndio mkuu nakusikia(hapo bijan anaongea kwa kilugha chao,naskia sauti yeye haonekani,hawa viumbe hawapatani kabisa na mwanga sijui kwann)
Mim:isee ile zawadi uliyoniambia tayari imeshatumwa(huku namwonyesha bijan vibunda vya hela)
Bijan:hizo hela usifanyie chochote zaidi ya kuiwekeza kwenye biashara(bijan alisisitiza)
Ile ndoto yangu ya bmw ikayeyuka😭😭
Baada ya bijan kunipa maelekezo sikutaka kulaza damu,nikaenda kuongea na mmiliki wa zile fremu pale ninapofanyia biashara anipe go ahead ya kulipanua lile duka na kujenga store moja kubwa,yule mmiliki aliniewa akanipa go ahead..

Shughuli ya kupanua jengo la Biashara ikaanza

Mafundi walipiga kazi mchana na usiku kwasababu wakati upanuzi unaendelea tuliacha kutoa huduma,
Nilijenga duka na store moja kubwa ili nijitanue kibiashara,nililenga nifungue duka kubwa la jumla ambalo nitauza karibu kila kitu nilitaka nifanye kama Walmart.

Baada ya ile kazi kuisha,
Kesho yake,nilikuja na cater mbili zimejaa mzigo,canter ya kwanza tukapakua mzigo tukaujaza store na canter ya pili tukaweka mzigo dukani....hiki nilichokuwa nakifanya watu walikuwa hawaamini kinachotokea,kila mtu aliongea yake mara jamaa amerithi mara anatumia ndumba...nilipuuza maneno yao nikaendelea kufanya maajabu.

Nilipiga hesabu ule mchangato mzima mpaka unakamilika,nilitumia 87M,ukipiga hesabu bado hela ndefu imebaki.

Kuna rafiki yangu mmoja alikuwa na kituo chake cha kuuza tofari,huyu jamaa alikuwa anapiga Sana kazi kipindi cha nyuma mpk yalipoanza mapicha picha,mara mashine haziwaki,Mara mota imeungua,wateja nao wakakata,so jamaa akatangaza kuuza kila kitu,nilimpa jamaa gharama zake zote lkn kabla sijaanza kazi team yangu ilienda kukagua kile kituo na kuweka mambo sawa,jamaa alikuwa anarogwa na mshindani wake(hizi info alikuwa ananipa bijan) so team yangu ikongozwa na bijan walifanikiwa kutegua uchawi wote then mwanaume nikaingia.

Nilishusha mende za mchanga,leta semi ya cement,vijana walipiga kazi asubuhi,mchana,usiku ilikuwa ni shift,hawa wakichoka wanaingia wengine.

Kule dukani walibaki viumbe watatu,wawili niliwapeleka kwenye kituo cha tofari,mmoja wa mvuto na mwingine wa ulinzi,
mambo yakawa juu ya mstari.

Baada ya miezi 3
Ngurumo alinitafuta
"Vipi kijana mambo yanaendeaje?"
Mm:isee mambo ni 🔥🔥kuna zawadi nitakupa mzee wangu!
Ngurumo:sawa ila wewe endelea kufata masharti utafika mbali Sana....una nyota kali sana biashara lakini ni muhimu kujua wale ng'ombe wawili wanamaanisha nini?kisha akakata simu..
Niliitafakari hii kauli ya mzee ngurumo sikupata jibu.........
****************"**************
nini kitajiri baada ya hii kauli tata ya mzee ngurumo!.....wale ng'ombe wanamaanisha nini?........Bar mighardam (kiajemi) yaani nitarudi.
Noma sana!
 
Mungu na shetani hawapo.

Mungu na shetani mmewatunga vichwani mwenu wala huwezi

Inaendelea

Ilipoishia(nikiwa home)
Nikacheki saa,ni saa mbili na nusu usiku,ghafla nikaskia
mlango unagongwa..........mapigo ya moyo yalianza kunienda mbio,nikajisemea ndio wale viumbe wamekuja...nikawa najiuliza hivi viumbe zipoje,sura zao zipoje?nilijiuliza bila majibu....mlango ulizidi kugongwa....nilisogea pale mlangoni huku natetemeka...................

Sasa tuendelee

Nilifungua ule mlango then nikarudi nyuma ili nione kitakacho ingia,aliingia recho!

(Huyu recho alikuwa ni girl friend wangu tangu niko chuo)

Recho:we mwanaume vp,nagonga mlango muda wote huo hufungui?(alihoji recho kwa ukali)

Mm:"punguza jazba,nilikuwa nimelala sikukuskia ulipokuwa unagonga!vp mbona umekuja bila taarifa?

Recho:haah!,yaani ww leo ni wa kuniuliza mimi hivyo,ama kweli umenichoka,kwanza wiki nzima hupatikani uko bize,dukani haupo,nyumbani haupo unakuwa wapi?

Mm:mbona unanifatilia ww mwanamke!kwahiyo ulikuja ili unifumanie?mbona huniamini?

Recho:ehee bora umejitekenya mwenyewe,kwanza hii harufu ninayoisikia humu ndani ni ya nini?utakuwa umeingiza mwanamke!(aliacha kuongea akaanza kuelekea chumbani)
Recho:tena huku ndio harufu inatokea,ngoja nimkute huyo mwanamke,patachimbika!....(alizama ndani,akapiga dolia lkn hakuona kitu)
Recho:hebu niambie hii harufu ni ya nini?
Mm:ni marashi tu ya kawaida mambo ya Oriental hayo,
recho:akaguna then akapotezea.....,tukaendelea kupiga story za hapa na pale.
Story zikanoga nikasahau kwamba nina ugeni....ghafla kuna text ikaingia kwny simu"kijana umeshafanya maandalizi?"ilikuwa ni text ya mzee ngurumo (akili zilinirudia) nilijiuliza hawa viumbe wakija na kunikuta na mwanamke,walahi sitaomba maji kwasababu sharti moja wapo ni kukaa mbali na hawa viumbe wa kike!

Mm:sasa baby,nikusindikize maana leo siko poa kabisa
Recho:sikua na mpango wa kuja kulala leo nilitaka nije tu nione Kama Kuna usalama.

Basi nilimsindikiza kisha nikarudi,nikaingia chumbani,nikawa nimekaa kitandani natafakari namna ya kumpiga chenga recho kwa miezi sita,na Kama mnavyojua mtoto wa kike,ukimletea ring show,ma baharia wanapita naye,kwa kweli sikuwa tayari kumpoteza recho,niliwaza labda nisafiri kwa hiyo miezi sita sikupata jibu,nilijilaza pale kitandani ila sikuwa hata na chembe y usingizi,masaa yalizidi kukatika.

Ikafika saa nne usiku
Nilisubiri wale viumbe,lkn hawakutokea,nilitegemea kusikia mlango unagongwa lkn wapi,mpk nikaanza kupitiwa na usingizi.

Baada ya dk Kama 20 nikashtuka,taa ya chumbani ilikuwa on lkn nashangaa kuona imezima,then mlango ukafunguka wenyewe bila kuguswa....nikawa nimekodolea macho pale mlangoni....ulitokea Kama mwangaza,kisha viliingia viumbe sita,wakike watatu na wakiume watatu,ile harufu ya udi ikatoweka ikaja harufu moja nzuri sana,ile hofu niliyokuwa nayo mwanzo ikapotea,niliinuka pale kitandani kwa ujasiri na kusimama mbele ya wale viumbe,mwanzoni nilijua watakuwa ni viumbe wa ajabu wenye sura mbaya,nilishangaa kuona ni warembo wa maana.

Wale viumbe waliongea kwa lugha ambayo sikuijua lkn nilikuwa nawaelewa na Mimi nikiongea kiswahili changu wananielewa...niliwauliza wametokea wapi? Kuna mmoja alikuwa kama ndio
Kiongozi wao,anaitwa bijan"tafasiri ya hili jina ni "shujaa"

Bijan:sisi ni wa Persian(aliongea bijan kwa kilugha Chao)...bijan aliendelea..
Tumetoka ulimwengu wa mbali,tumetoka kwenye ufalme wa kiajemi na tupo hapa kwa ajili yako.....bijani aliendea kuongea na baada ya muda kidogo aliita"yasamin" akaitika kiumbe mmoja wa kike(huyu yasamin ndio sisi kibongo tunamwita jasmine na maana yake ni zawadi kutoka kwa mungu,haya majina yao yalikuwa yana husiana na mishe iliyowaleta..kule mwanzo nilisema watatu walikuwa ni kwa ajili ya mvuto na watatu kwa ajili ya ulinzi)
Baada ya bijan kumwita yasamin,aliendelea kuongea,

Bijan:lete zawadi kutoka kwa mungu...(wadau hapa naandika mungu kwa herufi ndogo tena bila codes kwasababu huyo wanayemwita mungu sio huyu unayemjua wewe,huyo mungu wao anaitwa mkuu wa ufalme wa uajemi)

Jasmine alileta kijisanduku kidogo na akakifungua mbele yangu,kwa ndani kilikuwa na pete ya dhahabu..bijan akasema mvalishe hiyo Pete
Basi nikanyoosha kidole na Jasmin akanivalisha ile Pete....ghafla wale viumbe waliinama na kunisujudia na wote kwa pamoja wakisema sisi ni mali yako,wakawa wanarudia rudia kusema khuda...khuda...khuda,hili neno ni sawa na kusema bwana au Lord na tafasiri yake ni"mmiliki au owner"hili ni neno zito sana kwenye lugha ya kiajemi.

Vile viumbe kunisujudia nilijiona somebody in the realm of spirit,nikajiona mfalme.

Assignment
Usiku uleule nikaanza kutoa assignment kwa wale viumbe

Mm:bijan nahitaji upeleke walinzi pale dukani kwangu na wewe utakuwa unanilinda mimi....baada ya kusema hivyo wale viumbe wawili wa kiume walipotea kama upepo,within a second...bijani akaniambia wameshafika...
Na wale akina jasmine niliwaambia waende wasimame mbele ya duka langu ili kuvuta wateja,nao walipotea kama upepo kwa speed ya light....nikabaki na bijan
Mm:wewe kazi yako ni kunilinda Mimi,uta hakikisha hakuna nguvu ya giza inanipata na hakuna senti yangu hata moja inapotea..bijani aliitikia kwa kusema "khuda"kisha akendelea kusema..
Bijan:Kuna zawadi nyingine mkuu wa ufalme wa uajemi ataituma kwako,akiituma niite nikupe maelekezo.....

Baada ya maongezi ya muda mrefu.....
Niliachana na bijan,nikaenda zangu kulala na bijan akawa around ila haonekani(hawa viumbe pakikucha huwa siwezi kuwaona ila naweza kuongea nao)

Kesho yake
Nilienda dukani mapema sana,nikafungua geti nikazama ndani,nikaweka mazingira sawa,then nikafungua safe(baada ya ile safe ya kwanza kubebwa,nilinunua safe nyingine kubwa zaidi) ndani ya safe nikakuta hela zangu na mzigo wa vocha kama kawaida lakini niliona kuna hela zingine sio za kitanzania,nilishtuka kidogo lkn nikajiongeza itakuwa ndio ile zawadi aliyoniambia bijan kwamba mkuu wa ufalme wa uajemi atanitumia,nilizihesabu nikakuta zipo dinari 25,000,kipindi hicho ilikuwa 1KWD ni sawa na TSH 4500,zile dinari 25,000 ni sawa na milioni mia za kibongo na chenji zake..nilifurahi kama mwalimu aliyeongezewa mshahara😀😀
nilichukua zile hela,nikaenda nazo home niongee na bijan,kwasababu aliniambia nikipokea hiyo zawadi,nimuite anipe maelekezo.

Nikiwa njiani nilianza kuipigia hesabu hiyo hela,nikawaza nivute bmw 320i harafu kiasi kinachobaki nikamalizie kujenga apartments zangu.

nimefika home moja kwa moja nikaenda chumbani,nikaita bijan,bijan..

Bijan:ndio mkuu nakusikia(hapo bijan anaongea kwa kilugha chao,naskia sauti yeye haonekani,hawa viumbe hawapatani kabisa na mwanga sijui kwann)
Mim:isee ile zawadi uliyoniambia tayari imeshatumwa(huku namwonyesha bijan vibunda vya hela)
Bijan:hizo hela usifanyie chochote zaidi ya kuiwekeza kwenye biashara(bijan alisisitiza)
Ile ndoto yangu ya bmw ikayeyuka😭😭
Baada ya bijan kunipa maelekezo sikutaka kulaza damu,nikaenda kuongea na mmiliki wa zile fremu pale ninapofanyia biashara anipe go ahead ya kulipanua lile duka na kujenga store moja kubwa,yule mmiliki aliniewa akanipa go ahead..

Shughuli ya kupanua jengo la Biashara ikaanza

Mafundi walipiga kazi mchana na usiku kwasababu wakati upanuzi unaendelea tuliacha kutoa huduma,
Nilijenga duka na store moja kubwa ili nijitanue kibiashara,nililenga nifungue duka kubwa la jumla ambalo nitauza karibu kila kitu nilitaka nifanye kama Walmart.

Baada ya ile kazi kuisha,
Kesho yake,nilikuja na cater mbili zimejaa mzigo,canter ya kwanza tukapakua mzigo tukaujaza store na canter ya pili tukaweka mzigo dukani....hiki nilichokuwa nakifanya watu walikuwa hawaamini kinachotokea,kila mtu aliongea yake mara jamaa amerithi mara anatumia ndumba...nilipuuza maneno yao nikaendelea kufanya maajabu.

Nilipiga hesabu ule mchakato mzima mpaka unakamilika,nilitumia 87M,ukipiga hesabu bado hela ndefu imebaki.

Kuna rafiki yangu mmoja alikuwa na kituo chake cha kuuza tofari,huyu jamaa alikuwa anapiga Sana kazi kipindi cha nyuma mpk yalipoanza mapicha picha,mara mashine haziwaki,Mara mota imeungua,wateja nao wakakata,so jamaa akatangaza kuuza kila kitu,nilimpa jamaa gharama zake zote lkn kabla sijaanza kazi team yangu ilienda kukagua kile kituo na kuweka mambo sawa,jamaa alikuwa anarogwa na mshindani wake ambaye yuko kwenye game kitambo,so team yangu ikiongozwa na bijan walifanikiwa kutegua uchawi wote then mwanaume nikaingia.

Nilishusha mende za mchanga,leta semi ya cement,vijana walipiga kazi asubuhi,mchana,usiku ilikuwa ni shift,hawa wakichoka wanaingia wengine.

Kule dukani walibaki viumbe watatu,wawili niliwapeleka kwenye kituo cha tofari,mmoja wa mvuto na mwingine wa ulinzi,
mambo yakawa juu ya mstari.

Baada ya miezi 3
Ngurumo alinitafuta
"Vipi kijana mambo yanaendeleaje?"
Mm:isee mambo ni 🔥🔥kuna zawadi nitakupa mzee wangu!
Ngurumo:sawa ila wewe endelea kufata masharti utafika mbali Sana....una nyota kali sana ya biashara lakini ni muhimu kujua wale ng'ombe wawili wanamaanisha nini?kisha akakata simu..
Niliitafakari hii kauli ya mzee ngurumo sikupata jibu.........
****************"**************
nini kitajiri baada ya hii kauli tata ya mzee ngurumo!.....wale ng'ombe wanamaanisha nini?........Bar mighardam (kiajemi) yaani nitarudi.
Ninadiliki kusema yajayo yanafurahisha,Tuendelee kula episodes.
 
Tanzanian Dream nakuomba sana tena sana hicho kitabu iwe siri ya wachache tu,
Hao wachache atawachagua vipi?

Wacha amwage mchele hadharani, wa kuelewa ataelewa, na kuna wengi ambao watasoma kama ngojera tu na hawataambulia kitu.

Hata darasani wote hufunzwa kwa pamoja lakini kuna wanaopata A na wengine F
Tanzanian Dream
 
Back
Top Bottom