The Decoy Strategy - Ujanja wa Wanasiasa

The Decoy Strategy - Ujanja wa Wanasiasa

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
15,460
Reaction score
24,233
Nimeona niliseme hili sababu nadhani wanasiasa wa sasa wanatumia hii mbinu; Wanakuja na Vitu vya ajabu ambavyo wanajua watu watakataa au kupiga kelele alafu wanaviondoa vile vitu kuonyesha kwamba wanajali kumbe chini ya kapeti wanapitisha vile vya ajabu vingine ambavyo vilikuwa na afadhali kidogo ila havikupingwa...

Niki refer suala la Tozo kwenye miamala; walipandisha maradufu watu wakaja juu wakaamua kushusha kidogo ila ukiangalia kiuhalisia bado walipandisha (matokeo yake watu wakawasifia and the rest is history) wakati uhalisia bado tunakamuliwa...

1719589393539.png
 
We jamaa umeelezea kitu kikubwa kuhusu uhalisia halafu ukatoa mfano wakiboya. Najua ulichomaanisha and im glad kuna watu kama nyie kwenye jamii yetu.
 
We jamaa umeelezea kitu kikubwa kuhusu uhalisia halafu ukatoa mfano wakiboya. Najua ulichomaanisha and im glad kuna watu kama nyie kwenye jamii yetu.
Mfano upi wa Tuzo (Uhalisia kilitokea) Au Mfano wa Soda....

Huo mfano ndio wa kiuhalisia hata wewe kitaa soda yako ya kila siku kama inauzwa dola moja alafu ikaletwa nyingine nyongeza ya mara mbili kwa bei ya mara mbili huenda ukaona sio issue taendelea kunywa yangu; ila wakileta nyingine kwa ongezeko la dollar 3 kwa ujazo wa 1.5 utaona hii ya ujazo wa mara mbili kwa bei nafuu kuliko ya ujazo wa 1.5 ni Bargain....

Kumbe all along walitaka tu kuuza kwa dollar mbili ujazo wa mara mbili (less costs on packages)..... na umenunua mara mbili zaidi wakati kale ungenunua half the amount.....
 
Naona sasa uchaguzi umekaribia wanaanza kutuaminisha kwamba aliyepita alikuwa mbaya zaidi na shetani wa hali ya juu ili tuweze kuona / kudhani kwamba sasa hivi ni afadhari ila kumbe ni yaleyale...
 
Back
Top Bottom