The devil’s bible (the codex gigas)

The devil’s bible (the codex gigas)

Ndugu yangu hangaikia roho yako kwanza ujue itafika wapi siku ukifa. Ninyi ndio kama wale watu waliotaka kumpiga yule kahana mawe ati ni mdhambi sawa sisi wakatoriki ni mawakala wa rucifer. Je ww ni mwema sana? Hii nguvu unayotumia kuuongea ukatoriki ungetumia kwako kupunguza uzinzi
Very Good Comment
 
Acheni kufuatilia mambo ya conspiracy theories na uwezo wenu wa kufikira mdogo,mtapotea,
Mtoa mada kwanza nakupinga,Bible haijatoka kwenye vitabu visivyoeleweka
 
Acheni kufuatilia mambo ya conspiracy theories na uwezo wenu wa kufikira mdogo,mtapotea,
Mtoa mada kwanza nakupinga,Bible haijatoka kwenye vitabu visivyoeleweka
Ww imetoka huko unafikili ni utata hiyo kitu hahahaaaaa....bibilia ni ya kikuda tena sana.
 
Acheni kufuatilia mambo ya conspiracy theories na uwezo wenu wa kufikira mdogo,mtapotea,
Mtoa mada kwanza nakupinga,Bible haijatoka kwenye vitabu visivyoeleweka
The Codex Gigas (English: Giant Book) is the largest extant medieval illuminated manuscript in the world, at 92 cm (36 in) tall.[1] It is also known as the Devil's Bible because of a very unusual full-page portrait of the devil, and the legend surrounding its creation.

It was created in the early 13th century in the Benedictine monastery of Podlažice in Bohemia (modern Czech Republic). It contains the complete Vulgate Bible as well as other popular works, all written in Latin. Between the Old and New Testaments are a selection of other popular medieval reference works: Josephus's Antiquities of the Jews and De bello iudaico, Isidore of Seville's encyclopedia Etymologiae, the chronicle of Cosmas of Prague,[2] and medical works; these are an early version of the Ars medicinae compilation of treatises, and two books by Constantine the African.[3]

Eventually finding its way to the imperial library of Rudolf II in Prague, the entire collection was taken as spoils of war by the Swedish in 1648 during the Thirty Years' War, and the manuscript is now preserved at the National Library of Sweden in Stockholm, although it is no longer on display for the general public.[1]

Very large illuminated bibles were a typical feature of Romanesque monastic book production,[4] but even within this group the page-size of the Codex Gigas is exceptional.
 
Waroma ni wabishi sana,sijui wamelishwa nini huko vatikan,ni mawakala wa lucifer na ni lazima wakubali ili wapate wokovu,hicho kitabu pia nakala yake ipo vatikan...sijui tutumie lugha gani!wahubiri wanayo kazi kubwa mno.
dhehebu gani kwanza wewe!?
 
National geographic kila siku za jumpili mchana wanaoneshaga documentary za hivi...
Zina mambo ya ajabu sana duniani humu
 
National geographic kila siku za jumpili mchana wanaoneshaga documentary za hivi...
Zina mambo ya ajabu sana duniani humu
Toka uhongwe hiyo Samsung TV na Dstv unatambaa sana haya bhana. [emoji4]
 
Nikwambie kitu ndugu..
Ukatoriki haujaanza kupingwa leo, toka enzi za petro mpaka leo Fransisco bado unapingwa..
Badala ya kuelekeza nguvu kumpinga shetani ninyi mnaelekeza nguvu kanisa katoriki. Shetani mjanja kweli kafanikiwa kuwatumia ili tusiipate neema ya Mungu kwa kumpinga yeye ila tuanze kutupiana mawe sisi kwa sisi. ANYWAY. Kila mtu aamini anacho Amini..
Mwisho umekaribia.
Mkiona mnanyooshewa vidole sana badilikeni. Roman catholic na muslim mtadaiwa roho za wanadamu mlizozipotosha, kwa mafundisho yenu ya uongo.

Catholic mnaabudu sanamu, muslim wanahusudu majinni na unajim& uganga
Yesu alikataza mambo haya hakuagiza tutende mambo haya
 
Umeambiwa kimeandikwa na Monk halafu wewe unawashambulia Wakatoliki. Na Pia nani alikuambia nakala yake ipo Vatican?
inaonyesha ata ww hujui km kwel nakala yake iko vatcan so ni wajib wako kuutafta ukweli. sio kubshaana
 
Waroma ni wabishi sana,sijui wamelishwa nini huko vatikan,ni mawakala wa lucifer na ni lazima wakubali ili wapate wokovu,hicho kitabu pia nakala yake ipo vatikan...sijui tutumie lugha gani!wahubiri wanayo kazi kubwa mno.
hivi ni wapi Waroma wanafundisha iba, ua, zini, muabudu lucifer?...na mambo kama hayo!..Kanisa Katoliki limenifundisha Usitende dhambi! Ukitenda dhambi Utubu hiyo dhambi usisubiri uchwe uche! Na Ukitubu Usiirudie hiyo dhambi! Na ukiona hukuirudia hiyo dhambi ujue si kwa akili zako wala nguvu zako, Sifa Mrudishie Mwenyezi! Amen!
 
hivi ni wapi Waroma wanafundisha iba, ua, zini, muabudu lucifer?...na mambo kama hayo!..Kanisa Katoliki limenifundisha Usitende dhambi! Ukitenda dhambi Utubu hiyo dhambi usisubiri uchwe uche! Na Ukitubu Usiirudie hiyo dhambi! Na ukiona hukuirudia hiyo dhambi ujue si kwa akili zako wala nguvu zako, Sifa Mrudishie Mwenyezi! Amen!
Amen
 
Back
Top Bottom