Kungekuwa na uchaguzi wa rais EA basi uhuru angetufaa Sana.Ni kweli kabisa Mkuu ndiyo sababu tunaviona vidikteta uchwara vikiibuka kila kona kuanzia bungeni, mikoani, wilayani, Wizarani etc kutaka kumuiga kinara wa udikteta uchwara nchini.
Jamaa ypo poa sanaJamaa ana mapungufu yake kama binadamu pia kama kiongozi lakini anajitahidi sana. Napenda sana kauli zake za kudumisha umoja na mshikamano kwa manufaa ya Kenya na Wakenya, siyo hapa kwetu ni kauli za kusambaza chuki za kutisha kila kona.
Nimesikia Uhuru Kenya anatafuta Mke wa tatu, wewe hujasikia hilo?
Duu mkuu, hii sasa kali...Jukwaa la siasa mmeishiwa hoja mmeamia huku. Chadeko mtaangaika sana mwaka huu. My take, mjiandae ki psychology kuwa kama TLP kwani 2020 CUF watakuwa ndokinara wa siasa upinzani. Yes Magufuli ni dikteta lakini dikteta wa mfano wake kama alivyo kuwa Nyerere. Kipindi cha nyuma mliubili kuwa mnaitaji dikteta Leo mnaubili kitu tofauti.
Mtoa mada huyo Uhuru unae mpenda nae pia anapenda utawala wa Magufuli. Pia aliomba akiongezewa muda ataitawala Kenya kama Magufuli anavyoitawala Tanzania. Ningeshauri mludi tena kwenye drawing table muangalie mlikosea wapi kwani naona mnawatu wawili mlikosea kuwapa uwanacha.View attachment 567936
Sina jina la magufuli kwenye mada yangu. Na kupongeza sio kosaJukwaa la siasa mmeishiwa hoja mmeamia huku. Chadeko mtaangaika sana mwaka huu. My take, mjiandae ki psychology kuwa kama TLP kwani 2020 CUF watakuwa ndokinara wa siasa upinzani. Yes Magufuli ni dikteta lakini dikteta wa mfano wake kama alivyo kuwa Nyerere. Kipindi cha nyuma mliubili kuwa mnaitaji dikteta Leo mnaubili kitu tofauti.
Mtoa mada huyo Uhuru unae mpenda nae pia anapenda utawala wa Magufuli. Pia aliomba akiongezewa muda ataitawala Kenya kama Magufuli anavyoitawala Tanzania. Ningeshauri mludi tena kwenye drawing table muangalie mlikosea wapi kwani naona mnawatu wawili mlikosea kuwapa uwanachama. Ila kwa kuwa Chadeko kazi yenu nikukusanya mafisadi na waovu kutoka CCM nibora mbaki nao kwani hawana pengine pakwenda. Kiukweli kwa sasa Chadeko ipo ICU.View attachment 567936
Facts 100% mkuu.Jukwaa la siasa mmeishiwa hoja mmeamia huku. Chadeko mtaangaika sana mwaka huu. My take, mjiandae ki psychology kuwa kama TLP kwani 2020 CUF watakuwa ndokinara wa siasa upinzani. Yes Magufuli ni dikteta lakini dikteta wa mfano wake kama alivyo kuwa Nyerere. Kipindi cha nyuma mliubili kuwa mnaitaji dikteta Leo mnaubili kitu tofauti.
Mtoa mada huyo Uhuru unae mpenda nae pia anapenda utawala wa Magufuli. Pia aliomba akiongezewa muda ataitawala Kenya kama Magufuli anavyoitawala Tanzania. Ningeshauri mludi tena kwenye drawing table muangalie mlikosea wapi kwani naona mnawatu wawili mlikosea kuwapa uwanachama. Ila kwa kuwa Chadeko kazi yenu nikukusanya mafisadi na waovu kutoka CCM nibora mbaki nao kwani hawana pengine pakwenda. Kiukweli kwa sasa Chadeko ipo ICU.View attachment 567936