The difference between Turkana and Singida

The difference between Turkana and Singida

Embu sema msaada gani muhimu mlitoa kwetu????
Hamjawahi toa msaada wa chakula wala wa kimatibabu wala wa kifedha kuendesha miradi ya kiuchumi Bali mlitoa rambi rambi ya hela ambazo hata mama angu anaweza kudonate eti 150 tshs.
Basic needs kwa binadamu ni Nini? Ukipata jibu then utajua tulisaidia vilivyo.
 
Kwani kinyesi kililiwa Uganda ama Tz?
Hiv we jamaa unajielewa!!!!????
Leta evidence inayoelezea kuwa the whole Bukoba region ate or eat feaces for supper as the way you claim.
Maana now hakuna habari hiyo na haikuwahi tokea.
Leta evidence ili tukuamin basi on what you claim on us.
 
Hiv we jamaa unajielewa!!!!????
Leta evidence inayoelezea kuwa the whole Bukoba region ate or eat feaces for supper as the way you claim.
Maana now hakuna habari hiyo na haikuwahi tokea.
Leta evidence ili tukuamin basi on what you claim on us.
Bukoba watu walikula Kinyesi ndio Habari...ana ulitaka nisema Lusaka watu walikula Kinyesi? 😂😂😂
 
Bukoba watu walikula Kinyesi ndio Habari...ana ulitaka nisema Lusaka watu walikula Kinyesi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Bado hujielewi unaulizwa ugali wajibu githeri sio mzima wewe.
Have a nice day nishawajua nyie hamnazo.
 
Bado hujielewi unaulizwa ugali wajibu githeri sio mzima wewe.
Have a nice day nishawajua nyie hamnazo.
Usikasirike bro hapa Ni utani tu ila inaonekana unacatch feelings Sana ama Ni hedhi zinakusumbua?
 
Kuja tu brathee.
Nguguyo ni Nani Sasa ama ndio Serikali ya Tz?
IMG_20190827_135455.jpeg
 
Kum****keeee daaah!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Yani U.A.E iliyo total-arid ina donate chakula kwa semi-arid??!!!!!!!!!!!!!
Asa jiulize nchi ya jangwa huko bara arab wana survive vp kuliko hawa wakenya kiasi cha kuwafadhili chakula wakenya ilhali wakenya kuna maeneo ya kikuyu highlands kuna fertile land ya kutosha?????!!!!!!
Ndio maana nakwambia hawa bongolala hawa broo.
Ni aibu kubwa sana.

All that is attributed to cognitive capacities mkuu,
Wakenya kitu pekee wanajua ni Kuzungumza Kingereza. Ardhi yao yote yenye Rutuba kwa sehemu kubwa inamilikiwa na Wazungu wanaolima maua na kuuza ulaya, Iliyobaki iko mikononi mwa Wanasiasa wachache wanaoyoka makaba mawili ya Kikuyu na Kalenjini,
Yaani Familia ya Rais wa Kenya inamiliki Ardhi kubwa inayotosha kuhifadhi nusu ya population ya Wakenya,
What a failed state[emoji2]
IMG_8531.JPG
 
All that is attributed to cognitive capacities mkuu,
Wakenya kitu pekee wanajua ni Kuzungumza Kingereza. Ardhi yao yote yenye Rutuba kwa sehemu kubwa inamilikiwa na Wazungu wanaolima maua na kuuza ulaya, Iliyobaki iko mikononi mwa Wanasiasa wachache wanaoyoka makaba mawili ya Kikuyu na Kalenjini,
Yaani Familia ya Rais wa Kenya inamiliki Ardhi kubwa inayotosha kuhifadhi nusu ya population ya Wakenya,
What a failed state[emoji2]
View attachment 1191207
u have triple the land arable than kenya but kenya leads in horticulture,tea,milk,avocado etc we even produce 4 times the maize tz produces
 
Usikasirike bro hapa Ni utani tu ila inaonekana unacatch feelings Sana ama Ni hedhi zinakusumbua?
Daaah hahaahaahahhahaa asee bro umeenda mbali aisee.
Hedhi tena mzee baba??!!!!!
Aya bhana ahsante.
Mm siwez ku catch feelings mapema na naelewa matani yakoje ndio maana hupendelea kuingia JF muda ambao niko off ili kupata jokings za humu.
Hakuna mahali nimekasirika bro hyo ni assumptions yako wewe, tambua kuwa mm ninafurahia sana tunavyorumbana kwa hoja humu ndan kuna elimu napata na kuna matan ya hapa na pale yanayonifurahisha na kuniongezea siku za kuishi.
JF ni sehem bro ilotuzuia watu kuingia FB na kunasa ujinga.

ILA MKUU UMENIPA HIYO STATEMENT YA "HEDHI INAKUSUMBUA" KISA HIYO AVATAR YANGU AMA??!!!!
 
Siwezi lala leo Niko free, kazi ni kuwachapa Hadi mpate adabu ama Hadi ATCL ikombolewe.
Ndio maana kisa haukuenda job leo unasumbua humu ndani.
Nyie ndio wale corrupt people mnaoifisidi serikali kazi hamfanyi halafu mishahara mikubwa mnachukua.
DAAAH AISEE HII NI SHIDDA KWA KENYA.
 
Back
Top Bottom