babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Weka ya Tweet ya Kinyesi na ATCL niamini kuwa Twitter ni a reliable source of information.
Basic needs kwa binadamu ni Nini? Ukipata jibu then utajua tulisaidia vilivyo.Embu sema msaada gani muhimu mlitoa kwetu????
Hamjawahi toa msaada wa chakula wala wa kimatibabu wala wa kifedha kuendesha miradi ya kiuchumi Bali mlitoa rambi rambi ya hela ambazo hata mama angu anaweza kudonate eti 150 tshs.
Hiv we jamaa unajielewa!!!!????Kwani kinyesi kililiwa Uganda ama Tz?
Food,shelter and clothes.Basic needs kwa binadamu ni Nini? Ukipata jibu then utajua tulisaidia vilivyo.
Hii ndio ya Kinyesi Tz na ATCL kuwekwa rehani 😂😂😂 SI niliwaambia Twitter is not a reliable source of information.
Bukoba watu walikula Kinyesi ndio Habari...ana ulitaka nisema Lusaka watu walikula Kinyesi? 😂😂😂Hiv we jamaa unajielewa!!!!????
Leta evidence inayoelezea kuwa the whole Bukoba region ate or eat feaces for supper as the way you claim.
Maana now hakuna habari hiyo na haikuwahi tokea.
Leta evidence ili tukuamin basi on what you claim on us.
Jibu umepata bro usijistress zaidi.Food,shelter and clothes.
Aya leta evidence mlisaidia nn zaidi ya rambi rambi???
Huna fact kalale.Jibu umepata bro usijistress zaidi.
Bado hujielewi unaulizwa ugali wajibu githeri sio mzima wewe.Bukoba watu walikula Kinyesi ndio Habari...ana ulitaka nisema Lusaka watu walikula Kinyesi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Siwezi lala leo Niko free, kazi ni kuwachapa Hadi mpate adabu ama Hadi ATCL ikombolewe.Huna fact kalale.
Usikasirike bro hapa Ni utani tu ila inaonekana unacatch feelings Sana ama Ni hedhi zinakusumbua?Bado hujielewi unaulizwa ugali wajibu githeri sio mzima wewe.
Have a nice day nishawajua nyie hamnazo.
Hii ndio ya Kinyesi Tz na ATCL kuwekwa rehani [emoji23][emoji23][emoji23] SI niliwaambia Twitter is not a reliable source of information.
Nguguyo ni Nani Sasa ama ndio Serikali ya Tz?Sijaandika mimi hiyo ni nguguyo kaandika.
Nguguyo ni Nani Sasa ama ndio Serikali ya Tz?
Kum****keeee daaah!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Yani U.A.E iliyo total-arid ina donate chakula kwa semi-arid??!!!!!!!!!!!!!
Asa jiulize nchi ya jangwa huko bara arab wana survive vp kuliko hawa wakenya kiasi cha kuwafadhili chakula wakenya ilhali wakenya kuna maeneo ya kikuyu highlands kuna fertile land ya kutosha?????!!!!!!
Ndio maana nakwambia hawa bongolala hawa broo.
Ni aibu kubwa sana.
that doesnt change the fact that kenya leads in the above fields.
u have triple the land arable than kenya but kenya leads in horticulture,tea,milk,avocado etc we even produce 4 times the maize tz producesAll that is attributed to cognitive capacities mkuu,
Wakenya kitu pekee wanajua ni Kuzungumza Kingereza. Ardhi yao yote yenye Rutuba kwa sehemu kubwa inamilikiwa na Wazungu wanaolima maua na kuuza ulaya, Iliyobaki iko mikononi mwa Wanasiasa wachache wanaoyoka makaba mawili ya Kikuyu na Kalenjini,
Yaani Familia ya Rais wa Kenya inamiliki Ardhi kubwa inayotosha kuhifadhi nusu ya population ya Wakenya,
What a failed state[emoji2]
View attachment 1191207
Usikasirike bro hapa Ni utani tu ila inaonekana unacatch feelings Sana ama Ni hedhi zinakusumbua?
Daaah hahaahaahahhahaa asee bro umeenda mbali aisee.
Hedhi tena mzee baba??!!!!!
Aya bhana ahsante.
Mm siwez ku catch feelings mapema na naelewa matani yakoje ndio maana hupendelea kuingia JF muda ambao niko off ili kupata jokings za humu.
Hakuna mahali nimekasirika bro hyo ni assumptions yako wewe, tambua kuwa mm ninafurahia sana tunavyorumbana kwa hoja humu ndan kuna elimu napata na kuna matan ya hapa na pale yanayonifurahisha na kuniongezea siku za kuishi.
JF ni sehem bro ilotuzuia watu kuingia FB na kunasa ujinga.
ILA MKUU UMENIPA HIYO STATEMENT YA "HEDHI INAKUSUMBUA" KISA HIYO AVATAR YANGU AMA??!!!!
Ndio maana kisa haukuenda job leo unasumbua humu ndani.Siwezi lala leo Niko free, kazi ni kuwachapa Hadi mpate adabu ama Hadi ATCL ikombolewe.