Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,532
Usinitanieee!
Hata kama ni mvuto sa ndo wananing'inia hadi madirishani wanazuga network inasumbua, ilimradi nisikie sauti mara nikipita usiku wanapiga miluzi, "ksiiiii" sijisifii hata kidogo this is a sign of dangerous... ilimradi yangu masikio yangu macho.
hahahaaaa, hizo ksii ksii wanapigiana mashetani wala hazikuhusu.
Una ugonjwa wa kujishtukia.