Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,532
Usinitanieee!
Hata kama ni mvuto sa ndo wananing'inia hadi madirishani wanazuga network inasumbua, ilimradi nisikie sauti mara nikipita usiku wanapiga miluzi, "ksiiiii" sijisifii hata kidogo this is a sign of dangerous... ilimradi yangu masikio yangu macho.
hahahaaaa, hizo ksii ksii wanapigiana mashetani wala hazikuhusu.
Una ugonjwa wa kujishtukia.
Kujua lengo lake tutajuaje kama hatuko mawazoni mwake?Sema tu ulitaka tujue na wewe unapigiwa miruzi mtaani kwenu sijui!usinitanie bwana hawa mi huwa nawasoma na nilichogundua ni kuwa wanapiga hizo ksii ksii wanipime ninachojua sijawahi kugeuka ila nilichokuwa nahitaji nikujua tu mwanamke kunifatilia mimi kiasi hicho lengo kubwa huwa nini?
Kujua lengo lake tutajuaje kama hatuko mawazoni mwake?Sema tu ulitaka tujue na wewe unapigiwa miruzi mtaani kwenu sijui!