lifecoded
JF-Expert Member
- May 9, 2018
- 1,424
- 4,359
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Na mimi nichangie....hapo kwenye tembo inaonekana pembe za ndovu zitakua dili sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Na mimi nichangie....hapo kwenye tembo inaonekana pembe za ndovu zitakua dili sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni mpira wa baseball na siyo tennisPicha ya tenis hapo nahisi inaonesha kuwa kutakuwa na uvunjaji na uwekaji mpya katika medani ya michezo hasa tenis pengine huenda kukawekwa record mpya ya mtu mashuhuri katika michezo au kuvunja record nyingine mpya...tusubiri tuone..
Juu upande wa kulia ndo matukio yenyeweUkiangalia kwa umakini picha zake pamoja na hayo maandishi (yanasomeka in Revere) ujumbe upo dhahiri. Tufikirishe bongo zetu.
nazani kawa kilishwa na hilo sanduku la kura na Mt. kuhusu wanyama pia ina wezekana kuwa ni kiwakilishi kwa MTU mweusi hasa kupitia utalii uchumi utapata kukua... kama yalivyo maono ya Mh. Rais ktk utalii na huo Mt.Umemuona mtu mweusi hata mmoja katika hiyo michoro, au ni wanyama wa mwituni tu?
Hao wanyama wa mwituni unaowaona hapo jijumlishe kama unataka kuelewa zaidi.
Wewe ni mpuuzi haswa.Sio level za uelewa wako we inzi wa kijani.
Teknolojia ya matumizi ya umeme kwenye magari badala ya mafuta itakua, Space technology ( Safari ya kwenda mwezini), Utoroshwaji wa fedha (Ndege), Teknolojia ya mawasiliano na habari kuzidi kukua, Mtikisiko kwenye jumuia ya Ulaya ( British beyond Brexit), Uchumi wa mataifa ya Asia kuzidi kukua (Tembo), Mgogoro kati ya marekani na Urusi, Imbalance na Inequity (Mizani). Nimemuona pia mnyama Kakakuona (Pangolin) inaweza ikawa bahati njema au mkosi kwa mataifa ya Afrika tukasuasua katika ukuaji wa uchumi na mche wa bangi utahararishwa kwa matumizi katika baadhi ya mataifa hasa Amerika ya kasikazini. Naishia hapo.Hivi karibuni jarida la The Economist wametoa utabiri wao kwa michoro wa matukio yatayojitokeza 2019 . Michoro hiyo ipo "cover" ya mbele. Kama picha inavyoonesha hapo chini,
View attachment 979613
Résultats Google Recherche d'images correspondant à https://cdn.shopify.com/s/files/1/0535/3509/products/TW2019_COVER_US_no-b-c_no_spine_cmyk_1.jpg?v=1543246557
View attachment 979613
Wajuzi mnakaribishwa tuweze kuichambua na kupata maana iliyokusudiwa hiyo michoro.
Na vipi kuhusu #me too iliyopo kifuani kwa huyo mtuTeknolojia ya matumizi ya umeme kwenye magari badala ya mafuta itakua, Space technology ( Safari ya kwenda mwezini), Utoroshwaji wa fedha (Ndege), Teknolojia ya mawasiliano na habari kuzidi kukua, Mtikisiko kwenye jumuia ya Ulaya ( British beyond Brexit), Uchumi wa mataifa ya Asia kuzidi kukua (Tembo), Mgogoro kati ya marekani na Urusi, Imbalance na Inequity (Mizani). Nimemuona pia mnyama Kakakuona (Pangolin) inaweza ikawa bahati njema au mkosi kwa mataifa ya Afrika tukasuasua katika ukuaji wa uchumi na mche wa bangi utahararishwa kwa matumizi katika baadhi ya mataifa hasa Amerika ya kasikazini. Naishia hapo.
Spice Girls, Kuhusu hiyo "hash tag" ya Me too naiangalia katika mitizamo miwili:-Na vipi kuhusu #me too iliyopo kifuani kwa huyo mtu
kwa kuongezea
-Tanzania imegusiwa hapo.kwenye huo mchoro
-Kuna majanga yataikumba Dunia
mostly yatatokana na shetani then vifo kwa viongozi wa ulaya vitakuwa vingi sanaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, vipi kuhusu huyu ndege aliebeba kifurushi cha barcode ana maana ipi.Spice Girls, Kuhusu hiyo "hash tag" ya Me too naiangalia katika mitizamo miwili:-
1. #Me too movement iliyopata umaarafu kuanzia mwaka 2017 ikiwa ni harakati za kupinga unyanyasaji wa kijinsia hasa mahali pa kazi itapata nguvu kubwa tena mwaka huu 2019.
2. Kutokana na Lyrics ya Meghan Trainor (Me Too Lyrics) "If I was you, I'd wanna be me too)Mwaka 2019 kutakuwa na Michezo ya Olympic maalumu kwa watu wenye ulemavu wa akili (intellectual disabilities) itakayoanza March 14 - 21 itakayofanyika Zayed Sports City Stadium, Abu Dhabi- UAE (Walemavu wa akili nao pia wanastahili na wana haki ya kushiriki michezo)