the elitte organizations 2

the elitte organizations 2

Andrew Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2008
Posts
3,007
Reaction score
2,451
Maelezo zaidi kuhusu Banking System. Lakini the computer is uploading too slowly,kwa hiyo installment nyingine itabidi zije baadaye.
 

Attachments

Huu ni muendelezo wa majadala ulioanza mwishoni mwa mwaka jana. Unakumbuka wakati ule Benki Kuu ilitangaza kwa wateja wote wa mavenki kwamba wanapaswa kufanya mambo Fulani,na wakati ule,nikaandika something negative kuhusu Benki,ndipo ndugu mmoja hapa akaniuliza,kama hutaki watu waweke hela benki,unataka wafanye nini? Nikasema nitaeleza baadae. Mwaka ulipoanza ameniuliza,mwaka mpya ndio huu,mbona bado hujatoa maelezo?
Kwa hiyo nimeitayarisha hii makala,kwa sababu hili swala la pesa ndiyo the heart of the matter,ili kuelewa mambo yanayoendelea sasa. Unakwenda Benki,unapewa makaratasi mengi,yanaitwa mkopo,baadaye,ukishindwa kulipa,wanakuja watu kukunyang'anya nyumba yako[foreclosure].
 
sijasoma mabandiko yako natumia simu ila kwa Bongo sioni sababu ya kuweka pesa benki kwenye savings account sababu sio savings sababu kila mwezi kuna service charge wanakata nikiweka buku tatu leo nikija baada ya mwaka nakuta nina sifuri wakati nchi nyingine nikiweka hata senti moja nakuta imezaa visenti vingine interest (hakuna service charge) Bongo ni wezi yaani shukrani ya mimi kuwapa pesa yangu wafanyie biashara ni kukatwa pesa ? kwanini wasinipe percent ya faida waliyopata kama shukrani ?
 
Back
Top Bottom