The expert Mlokole

alikuwa amepanga mwanzo aende kwenye mkesha kanisani
akabadili akasema tuendelee tu lol
yaani mi niliona vioja tu...

kwa hiyo mzee mzima ukapiga force king!kitu!kuingia ndani goli unashushiwa mistari!sasa na we si ungeshuka yako!?
 
Ukitaka kujua kwamba walokole wengi ni wepesi we test zali tu. Mara nyingi tunawakwepa kwa kujua kwamba wameokoka lakini wengine hakuna kitu ni wepesi kama ubua! Na ukishamuweka kwenye 12 zako ni king'ang'anizi balaa manake anavyokuganda usipime kabisa.
 
alikuwa amepanga mwanzo aende kwenye mkesha kanisani
akabadili akasema tuendelee tu lol
yaani mi niliona vioja tu...
hapana sio vioja inauguration ceremonies ndo raha yake hiyo haahhahahhah sipati picha ulinunaje!
 
the boss umenichekesha leo
ungeendelea kutomasa kila eno la mwili wake huku akishuka mistari ya injili
huku unaitikia amen na mikono ikifanya kazi,angekupa another round na angeshuka mistari zaidi
sipati picha kisa kama hiki kinitokee nadhani ataniona hamnazo kwa kicheko na manjonjo
 

mkuuu @lokisa huwezi amini
nilibaki mdomo wazi lol
 
unahotakiwa kuelewa ni kwamba, themanini ya walokole ni watu ambao walishindikana kipindi cha nyuma, yaani walifanya ufuska hadi wakachoka, wakaamua kumrudia bwana, kama ni mchezo tu, wanajua hadi kupitiliza, sasa ukiwapoteza kwa kuwalaghai (kitu ambacho ni kibaya sana), wakiamua kukumbushia enzi zao, wanamaliza hasira zote na zile za kujibana walizozoea. wengi walikuwa machangudoa, wengi walikuwa mabaamedi etc.
 
Macho ama mikono? Huku kashika nyonyo huku anasema Amen! Kama shetani aliwalia chabo atakiwa alifikiri ni mtu na mwanae,lol

Kuna dhambi zengine hata Shetani mwenyewe anaziogopa ..sasa kama hapa sijui hata huyu mlokole alikuwa anakemea kitu gani??
 
Anayeweza kututia majaribuni sisi walokole ni shetani peke yake! Kwa kuwa ulifanikiwa kumtia majaribuni mlokole, logically wewe ni ibilisi shetani, na ni sifa yako hiyo! wala usinitolee macho.
 
Lol! Mungu alivyo wa huruma, mbona Yona alimuita Mungu akiwa ndani ya tumbo la samaki, na akaokolewa?
Muacha dada wa watu akemee pepo banaa, lol

Ila The Boss, inaelekea expert wa kudanganya totoz!
Kuna dhambi zengine hata Shetani mwenyewe anaziogopa ..sasa kama hapa sijui hata huyu mlokole alikuwa anakemea kitu gani??
 
Last edited by a moderator:
Anayeweza kututia majaribuni sisi ni shetani! Kwa kuwa ulifanikiwa kumtia majaribuni mlokole, logically wewe ni ibilisi shetani, na ni sifa yako hiyo! wala usinitolee macho.

Mkuu lakini umeambiwa aliendelea kuchapa injili..tatizo liko wapi??
 
King'asti habari ndio hiyo. Onyo: usithubutu kukutwa, usijekusema i didnt warn you!
 
Last edited by a moderator:
Kuna dhambi zengine hata Shetani mwenyewe anaziogopa ..sasa kama hapa sijui hata huyu mlokole alikuwa anakemea kitu gani??

Si anakemea dhambi ya uzinzi jamani? Hivi mlokole akifanya ngono na mlokole mwenzie bado ni dhambi kwani?

King'asti habari ndio hiyo. Onyo: usithubutu kukutwa, usijekusema i didnt warn you!
Lol, haya kamanda, nimeonyeka:eek2:
 
Si anakemea dhambi ya uzinzi jamani? Hivi mlokole akifanya ngono na mlokole mwenzie bado ni dhambi kwani?


Lol, haya kamanda, nimeonyeka:eek2:

Eti King'asti, mwislamu akiiba nguruwe ni dhambi?
 
Last edited by a moderator:
Eti King'asti, mwislamu akiiba nguruwe ni dhambi?

Kwa akili yangu ya kupulizia, sio dhambi as long as hatamuuza. Akachinje home ale na wanae, maini, utumbo na figo za kitumoto ndo harram. Ampe jirani li alishie mbwa wake (haramu kwa haramu inakuwa neutral)
Source: kijiweni, kwa mtogole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…