The Famous Jamii Forums Users niliojiunga tu nikawajua

Kha ndo umetupanga hvyo kumbe! Najuta kukufahamu
Usijute kunifahamu juta usingenijua ungepata wapi bwana muwazi kama mimi..??
Mi nataka mjuane na sio mpigane,kila mmoja ananafasi yake adimu na siwezi zisema msije nikata stimu!.. napenda umbo lako hunitia wazimu na ule utulivu huna ukali Kama wandimu.. sema nini nikupe wahuba ili ujue unayo nafasi isiyopingika..??

Wewe ni Kama tunda adimu japo si la msimu!.. ndege pori hukutafuta ili wakudonoe!.. kwa taarifa yako kwa kenzy umefika,wahuni acha wasome picha..😉
 
Hahahaaa.... Haya nitumie hela basi ya matumizi, usisahau kutuma na ya kutolea
 
Lawama zitaanzia wapi tena na huduma unatoa vizuri. Santeee
Kwanza weekend leo ntaianzia kwako tutoke utachagua na viwanja vya kwenda kuruka majoka.. nakusikiliza mama..😉
 
Kwanza weekend leo ntaianzia kwako tutoke utachagua na viwanja vya kwenda kuruka majoka.. nakusikiliza mama..😉
Ndo maana nakupendaga😘 Ngoja niangalie sehem nzuri nitakuupdate mapema twenzetu
 
Tatizo la pasko kawa njaanjaa sana saivi anakomalia ugali tu![emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…