Usijute kunifahamu juta usingenijua ungepata wapi bwana muwazi kama mimi..??Kha ndo umetupanga hvyo kumbe! Najuta kukufahamu
Hahahaaa.... Haya nitumie hela basi ya matumizi, usisahau kutuma na ya kutoleaUsijute kunifahamu juta usingenijua ungepata wapi bwana muwazi kama mimi..??
Mi nataka mjuane na sio mpigane,kila mmoja ananafasi yake adimu na siwezi zisema msije nikata stimu!.. napenda umbo lako hunitia wazimu na ule utulivu huna ukali Kama wandimu.. sema nini nikupe wahuba ili ujue unayo nafasi isiyopingika..??
Wewe ni Kama tunda adimu japo si la msimu!.. ndege pori hukutafuta ili wakudonoe!.. kwa taarifa yako kwa kenzy umefika,wahuni acha wasome picha..😉
Haya ndo mambo yakuomba nasio kunipa lawama sawa mama umepata..😉Hahahaaa.... Haya nitumie hela basi ya matumizi, usisahau kutuma na ya kutolea
Lawama zitaanzia wapi tena na huduma unatoa vizuri. SanteeeHaya ndo mambo yakuomba nasio kunipa lawama sawa mama umepata..😉
Kwanza weekend leo ntaianzia kwako tutoke utachagua na viwanja vya kwenda kuruka majoka.. nakusikiliza mama..😉Lawama zitaanzia wapi tena na huduma unatoa vizuri. Santeee
[emoji23][emoji23][emoji23]List sipo! Ni batili hii
Duh!zagarino kweli ni jina la kifemineNataka kujua kama mleta thread ni Me au Ke
Nakutag mkuu [emoji23]Kama hunijui Mimi we Bado chalii sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Japo nafosi
Duh!trh 26 July 2020zagarinojo ulijiunga lini JF?
Ndo maana nakupendaga😘 Ngoja niangalie sehem nzuri nitakuupdate mapema twenzetuKwanza weekend leo ntaianzia kwako tutoke utachagua na viwanja vya kwenda kuruka majoka.. nakusikiliza mama..😉
[emoji3][emoji3]huyo jamaa hua simuelewi kabisaWewe kweli mgeni bado humjui mkwepu wewe!!!
Mimi au nani[emoji3][emoji3]huyo jamaa hua simuelewi kabisa
Tatizo la pasko kawa njaanjaa sana saivi anakomalia ugali tu![emoji23][emoji23]Unamsahau vipi Pascal mayala mwana habari wetu..? Vipi kuhusu mtaalam wa tech kina chief mkwawa..?
Kule jamii intelligence humjui the bold..?
Tuachane na hao wake zangu je huwajui...? Kuna Kasie Lenie Saint Anne cariha Heaven Sent miss chaga sawima.... Naomba niishie hapo nisije leta Vita ya tatu..[emoji12]
Mkuu hata miss zomboko humjui..?[emoji23][emoji12]
Huyu haitaji kumjua yataka kumzoea mzee wa likes[emoji3][emoji3]huyo jamaa hua simuelewi kabisa
Kumbe mkwepu nilijua mimi huyu jamaa ye analike bila comment[emoji23]Huyu haitaji kumjua yataka kumzoea mzee wa likes