The Famous Jamii Forums Users niliojiunga tu nikawajua

The Famous Jamii Forums Users niliojiunga tu nikawajua

Huyu Bibi Kasie je..?
Huto tupengo twake ulishawahi kutuona..? Mwanya wake je..?
Huyu ndo Bibi anaejua kufinyanga kichwa Cha chini mpk maji unayaita mma!.. πŸ˜‚


Kiberengeeeehhh....

Msulupweto ulifika nyumbani salama..!!!
Sio kwa mbio zile πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Unamsahau vipi Pascal mayala mwana habari wetu..? Vipi kuhusu mtaalam wa tech kina chief mkwawa..?
Kule jamii intelligence humjui the bold..?

Tuachane na hao wake zangu je huwajui...? Kuna Kasie Lenie Saint Anne cariha Heaven Sent miss chaga sawima.... Naomba niishie hapo nisije leta Vita ya tatu..😜

Mkuu hata miss zomboko humjui..?πŸ˜‚πŸ˜œ


Hivi inakuwaje nina mume kiberenge halafu sijatambulishwi wala kuambiwa kuwa huyo ndo mume wangu...!!
 
Hivi inakuwaje nina mume kiberenge halafu sijatambulishwi wala kuambiwa kuwa huyo ndo mume wangu...!!
Sio kila siku utambulishwe kwani hujui kusoma wewe..? Hata picha huoni..?πŸ˜‚
Halafu hujui wewe ndo mke mkubwa ila unaleta mikwara!! Usiniaibishe tuliza hayo mapengo nikupe mapenzi..😜
 
Na Mimi Utopolo NI famous πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sema ulinikuta kwenye peak ya kufululiza kureply kwenye threads zako mkuu zaga
 
Wapi Mshana jr , Mwifwa , Bishop Hiluka , Magonjwa mtambuka , jooohs, Behaviourist , joseverest , rikiboy , Zero IQ , Ushimen , Funzadume , kamungila karim na wengineo
 
Sio kila siku utambulishwe kwani hujui kusoma wewe..? Hata picha huoni..?πŸ˜‚
Halafu hujui wewe ndo mke mkubwa ila unaleta mikwara!! Usiniaibishe tuliza hayo mapengo nikupe mapenzi..😜

Sawa baba Kibee nimetulia tuliii nasubiri kunyolewa ..... πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Unamsahau vipi Pascal mayala mwana habari wetu..? Vipi kuhusu mtaalam wa tech kina chief mkwawa..?
Kule jamii intelligence humjui the bold..?

Tuachane na hao wake zangu je huwajui...? Kuna Kasie Lenie Saint Anne cariha Heaven Sent miss chaga sawima.... Naomba niishie hapo nisije leta Vita ya tatu..😜

Mkuu hata miss zomboko humjui..?πŸ˜‚πŸ˜œ
Kha ndo umetupanga hvyo kumbe! Najuta kukufahamu
 
Sawa baba Kibee nimetulia tuliii nasubiri kunyolewa ..... πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Hapo safi.. we ndo unatakiwa uwaongoze wenzio na uonyeshe upole na ujali pamoja na hekima nafikiri utakuwa umeelewa Mrs kibee.. 😜
 
Back
Top Bottom