Akha! Soulmate jamani! Sa nawe wantupia kesi mie badala ya kuniprotect kiume?! Ahaaaa hebu hiyo pete yako kaa nayo kwanza ishike kutu! Amah
Mwaya mtoa mada naomba radhi kwa kuchakachua sred (usijenpunguzia marks bure). Nakupenda! Lol
AD na mimi naazima hii nimpatie Saas kumshukuru. Akishapokea ntakurudishia mpenzi!
Saas, pokea mwaya.
Hahhhhh AshaDii wewe si mwanafunzi mzuri, tushaambiwa penzi halilindwi ahah.....Uache kutoroka vipindi vya mwalimu ODM na teacher Teamo!Saas I am worried you know?? Plz leave PA alone nikijua
wee ni me or ke nitakua na amani.... Alafu hapo juu Jux... (MJ1 beware)
unaona the way she is HOT??
Saas THANKS for the acknowledgement....
Aisee!!! Mbu usipindishe njia banaa yaani hapa ni nyote wawili na soulmate wako nawaweka kitimoto lol
lol....shughuli!...kama ni hivyo ninavyohisi, mlaumu yeye bana....
Tena yaani hii kesi wewe ndio umeisababisha maana huyu (Mbu katoroka bila kibali na bila kuona watu wamruhusu)Lol anahusika kwa kuwa ni Soulmate wa Mbu au naye ni mkosa? Lol
Hahaha!! PA vituko weweSaas I am worried you know?? Plz leave PA alone nikijua
wee ni me or ke nitakua na amani.... Alafu hapo juu Jux... (MJ1 beware)
unaona the way she is HOT??
Saas THANKS for the acknowledgement....
Mambo yanayochangia kupata popularity JF!
1. Mvuto wa jina unalotumia e.g Afrodenzi, Teamo, The Finest etc
2. Avatar unayotumia e.g. Asprin
3. Content ya mabandiko yako, ubora wa post zako e.g. Mzee Mwanakijiji.
4. Ushiriki wako kwenye kujibu thread za wengine.
5. "Networking" kuna watu humu wameshakuwa kama ndugu na wanafahamiana hata nje ya mtandandao, kwa mfano wana JF wa Arusha etc.
6. Pia tukubali kuwa kuna watu wamezaliwa na bahati ya kupendwa; hata kama hujawahi kumuona Afrodenzi, utampenda tu, ana hicho kismati! th! th! th!
DA nimekumiss sana ulipotelea wapi aise mpaka jukwa likadorora na yule dogo karibu ahame tena
Rocky banaa hebu sema ukweli acha kunisingizia lolmadai yake eti kutoka toka kunamfanya apate hata wa kumpenda ndo maana anaruka jukwa kwa jukwaa
Rejao banaa lol Asante MkuuThe Finest, Afrodenzi, Asprin, AshaDii, Mbu, MwanajamiiOne, Lizzy, Teamo..
Hongereni...nawaonea wivu..lol
Utafiti wangu unaonyesha hata wewe thread zako zinachangiwa na watu wengi sana, nimefanya utafiti kwa kuchukua Sample ya thread yako moja ambayo ni hii inayo endelea na nimegundua watu wanapenda sana thread zako kwani mpaka sasa hii thread wamechangia zaidi ya watu 70.Nimefanya observation nikagundua kwa kiasi kikubwa mara kwa mara hawa members wakianzisha thread hapa MMU zinachangiwa sana, sasa huwa najiuliza swali ni kwa kuwa wanafahamika kwa members wengi hapa au thread zao zinakuwa na mvuto sana kiasi kwamba zinakuwa na wachangiaji wengi???
Nawee ndo nini unachakachua sredi letu la maujiko? Hebuu kaa pembbeni kule tuendelee kupata maujiko!Hahhhhh AshaDii wewe si mwanafunzi mzuri, tushaambiwa penzi halilindwi ahah.....Uache kutoroka vipindi vya mwalimu ODM na teacher Teamo!
The Finest aksante sana........naomba na ndizi mbili tafadhali.Aisee!!! Mbu usipindishe njia banaa yaani hapa ni nyote wawili na soulmate wako nawawekea kitimoto lol
Klorokwin kashikwa anatorosha mtoto wa balozi wa nyumba kumi kumi kule Igunga yuko lupango anasubiria mdhamana kama Fellow Tablet mwenzake anahitaji msaada wakoKwa mara ya pili kwa mwaka huu nimekula ujiko
Najua fellow tablet klorokwini atashikwa na wivu
Asante Saas
FM Academiaaaa Banabazambeee!
Hahahaha!!! Mjukuu sikuweziThe Finest aksante sana........naomba na ndizi mbili tafadhali.
Kakague kule, nshakugongea ka LIKE.Halafu hao members sio wachoyo wa kugonga "like" na "thanks". Hii inastimulate sana kuonyesha wameexclence mchango wako.
Hongereni bana!!