The Finest, Afrodenzi, Asprin, AshaDii, Mbu, MwanajamiiOne, Lizzy, Teamo

The Finest, Afrodenzi, Asprin, AshaDii, Mbu, MwanajamiiOne, Lizzy, Teamo

Akha! Soulmate jamani! Sa nawe wantupia kesi mie badala ya kuniprotect kiume?! Ahaaaa hebu hiyo pete yako kaa nayo kwanza ishike kutu! Amah

Mwaya mtoa mada naomba radhi kwa kuchakachua sred (usijenpunguzia marks bure). Nakupenda! Lol

Hiii mie nimesoma kwa jicho moja tu..
(haiingii akilini)... Tumsubiri Mbu aamke tuu...
 
Saas I am worried you know?? Plz leave PA alone nikijua
wee ni me or ke nitakua na amani.... Alafu hapo juu Jux... (MJ1 beware)
unaona the way she is HOT??

Saas THANKS for the acknowledgement....
Hahhhhh AshaDii wewe si mwanafunzi mzuri, tushaambiwa penzi halilindwi ahah.....Uache kutoroka vipindi vya mwalimu ODM na teacher Teamo!
 
Saas I am worried you know?? Plz leave PA alone nikijua
wee ni me or ke nitakua na amani.... Alafu hapo juu Jux... (MJ1 beware)
unaona the way she is HOT??

Saas THANKS for the acknowledgement....
Hahaha!! PA vituko wewe
 
Mambo yanayochangia kupata popularity JF!

1. Mvuto wa jina unalotumia e.g Afrodenzi, Teamo, The Finest etc
2. Avatar unayotumia e.g. Asprin
3. Content ya mabandiko yako, ubora wa post zako e.g. Mzee Mwanakijiji.
4. Ushiriki wako kwenye kujibu thread za wengine.
5. "Networking" kuna watu humu wameshakuwa kama ndugu na wanafahamiana hata nje ya mtandandao, kwa mfano wana JF wa Arusha etc.
6. Pia tukubali kuwa kuna watu wamezaliwa na bahati ya kupendwa; hata kama hujawahi kumuona Afrodenzi, utampenda tu, ana hicho kismati! th! th! th!

mi hapo kwenye red umenigusa sana
sjajua hilo asantee sana..
"Like tu haitoshi " imebidi nkuongeezee "Reputation"

asante sana.. ubarikiwe na wewe pia..

P.S ukipata muda niambie hako ka kismati ndo ka nini
lakini hata kama nikibaya ntapokea tu hahahahah lol

 
Nimefanya observation nikagundua kwa kiasi kikubwa mara kwa mara hawa members wakianzisha thread hapa MMU zinachangiwa sana, sasa huwa najiuliza swali ni kwa kuwa wanafahamika kwa members wengi hapa au thread zao zinakuwa na mvuto sana kiasi kwamba zinakuwa na wachangiaji wengi???
Utafiti wangu unaonyesha hata wewe thread zako zinachangiwa na watu wengi sana, nimefanya utafiti kwa kuchukua Sample ya thread yako moja ambayo ni hii inayo endelea na nimegundua watu wanapenda sana thread zako kwani mpaka sasa hii thread wamechangia zaidi ya watu 70.
 
Anzisha inayoongelea 071...uone kama haitachangiwa.
hao ni member wa huo mtandao.
 
Kwa mara ya pili kwa mwaka huu nimekula ujiko

Najua fellow tablet klorokwini atashikwa na wivu

Asante Saas

FM Academiaaaa Banabazambeee!
Klorokwin kashikwa anatorosha mtoto wa balozi wa nyumba kumi kumi kule Igunga yuko lupango anasubiria mdhamana kama Fellow Tablet mwenzake anahitaji msaada wako
 
Halafu hao members sio wachoyo wa kugonga "like" na "thanks". Hii inastimulate sana kuonyesha wameexclence mchango wako.
Hongereni bana!!
Kakague kule, nshakugongea ka LIKE.

Hatutaki masihara kwenye haka kafani bana.
 
Back
Top Bottom