The Finest, Afrodenzi, Asprin, AshaDii, Mbu, MwanajamiiOne, Lizzy, Teamo

Destiny is not a matter of chance;
it's a matter of choice. It is not a
thing to be waited for; it is a thing
to be achieved.
Yes u guys Make JF alive every day.
Congratulations.
[h=2]The Finest, Afrodenzi, Asprin, AshaDii, Mbu, MwanajamiiOne, Lizzy, Teamo[/h]
 
Huwa hata mimi wananikosha kwa mada zao especially The Finest na Mbu huwa ninahisi labda this guys watakuwa wameoa

mmmmmh.......apo mmoja bado,mmoja tayari..ila....:confused3:
 
SaraM....hii ni lugha gani.....lol
Hommie mbona unachungulia kwenye vungu za watu? khaa....kikazi naona hapo

hahaahh lol
haya babu ...Hivi anakitambi skuizi..
mbaona aliniambia anapiga gym ile mbaya eti ana six pack ...
Danganya toto kula kande mbichi.........



Huyu Asprin sijui alimuibia mtalii gani hiyo laptop
Aisee hii picture calling ujue. Kanuni na sheria za JF haziruhusu. Be warned!
 

Eh namshukuru MUNGU hukuwa Ditective wala Lawyer..........maana kwa udaku binti hachomoi hapa. Hahahahahah jamani Mbu kasema anayo (ina maana bado hajaitoa kwa muhusika) hahahahha. Mwe !!

AfroDenzi unachakachua thread
 

Well said mkuu........pia wananogesha na mautani
 
jaribu na wewe kuweka maada yenye mvuto uone kama hautopata wachangiaji wengi!!
 
One Love Kivumah pamoja sana
 
k
mmmhhh πŸ™‚ tumbo limeumuka ghafla baada ya kuona hii comment πŸ™‚
 
Eh namshukuru MUNGU hukuwa Ditective wala Lawyer..........maana kwa udaku binti hachomoi hapa. Hahahahahah jamani Mbu kasema anayo (ina maana bado hajaitoa kwa muhusika) hahahahha. Mwe !!

AfroDenzi unachakachua thread

hahahahahahah lol
halafu nlikuwa nampango wakuelekea upande huo wa kazi
lakini skutaka tu hahahaha..lol

mmmhhh Mbu bado hajanipa kiiiiini cha story ..
itabidi nimtafute siku akiwa free...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…