The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Na wewe unafanya nini aisee mimi hizi bia hazitaki kuisha banaHulali mwanawane?unawanga nini ucku huu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe unafanya nini aisee mimi hizi bia hazitaki kuisha banaHulali mwanawane?unawanga nini ucku huu?
Na wewe unafanya nini aisee mimi hizi bia hazitaki kuisha bana
Mbona unakimbia unaacha ndovu zako hapa utaniudhi sasaHahahahahahaa.kwaheri.ngoja nirudi mlimani!kumbe bado kazi ipo
Finest is watching GYGy is watching
hahahahahahaa.kwaheri.ngoja nirudi mlimani!kumbe bado kazi ipo
labda bado anatoa haki ya watu!!
Babu dc!
Wewe nimekukubali..ni mjukuu pekee anayemsikiliza vizuri babu. Siyo kama akina Dena!
hata mie nakusikiliza vizuri babu,sema tu sina cha kukufanya uwe proud na mimi.
wewe nimekukubali..ni mjukuu pekee anayemsikiliza vizuri babu. Siyo kama akina dena!
Wewe nimekukubali..ni mjukuu pekee anayemsikiliza vizuri babu. Siyo kama akina Dena!
mwanamke mbishi kweli huyu kama pilipili za kihindi
Mbona tumeshamalizana DA,...nampa altimatuma na TF aachane na wewe usherehekee Uhuru wa Danganyika!
haya we nianze tu
saa ngapi acha kunisingizia bwana