The flow of creative Energy, Aura and Emotions

The flow of creative Energy, Aura and Emotions

Ndio dimension zengine
Hilo ni somo lingine mkuu, tena somo kubwa sana, mimi nafahamu namna ya kuwasiliana au kuunda ukaribu na viumbe kutoka dimensions nyingine, ila kuhama kwenda huko bado knowledge hiyo sina.

Mfano huu hapa 👇

 
Hilo ni somo lingine mkuu, tena somo kubwa sana, mimi nafahamu namna ya kuwasiliana au kuunda ukaribu na viumbe kutoka dimensions nyingine, ila kuhama kwenda huko bado knowledge hiyo sina.

Mfano huu hapa 👇

Sawa huu Uzi nilishawahi kusoma ndg
 
Mkuu hiyo ya kuwa na dimensions nyingine si ndo itakuwa ku master aura huko?

Halafu ukishaweza kujua kuhama dimensions nyingine inaweza ikaongeza na longevity?
 
Mkuu hiyo ya kuwa na dimensions nyingine si ndo itakuwa ku master aura huko?

Halafu ukishaweza kujua kuhama dimensions nyingine inaweza ikaongeza na longevity?
Mkuu kuhusu dimensions ni somo pana sana kama alivyosema
Bob Manson.

Kwa kifupi dimensions ni realities mbalimbali au tofauti ambazo kila mmoja anaishi au anapitia.

Ukiweza na kufanikiwa ku control mawazo, fikra na jinsi unaavyoishi automatic utajikuta unaishi au ku shift katika dimension au reality fulani ambayo inaenda sambamba na energy au tuseme frequency na vibration ulizokuwa nazo.

Mfano watu kama Elon musk au Mark Zuckerberg dimension au reality za maisha yao ni kutokana na mawazo na fikra zao.

Halikadhalika ukiishi katika low vibe energy na kuwaza shida, mateso, malalamiko n.k definitely unaishi katika dimension au reality hiyo hiyo.

Cha muhimu sana ku control mawazo na fikra zako na kuhakikisha energy yako inakuwa juu.
 
Mkuu kuhusu dimensions ni somo pana sana kama alivyosema
Bob Manson.

Kwa kifupi dimensions ni realities mbalimbali au tofauti ambazo kila mmoja anaishi au anapitia.

Ukiweza na kufanikiwa ku control mawazo, fikra na jinsi unaavyoishi automatic utajikuta unaishi au ku shift katika dimension au reality fulani ambayo inaenda sambamba na energy au tuseme frequency na vibration ulizokuwa nazo.

Mfano watu kama Elon musk au Mark Zuckerberg dimension au reality za maisha yao ni kutokana na mawazo na fikra zao.

Halikadhalika ukiishi katika low vibe energy na kuwaza shida, mateso, malalamiko n.k definitely unaishi katika dimension au reality hiyo hiyo.

Cha muhimu sana ku control mawazo na fikra zako na kuhakikisha energy yako inakuwa juu.
Asante sana mkuu. What you think is what you will be
 
Mkuu kuhusu dimensions ni somo pana sana kama alivyosema
Bob Manson.

Kwa kifupi dimensions ni realities mbalimbali au tofauti ambazo kila mmoja anaishi au anapitia.

Ukiweza na kufanikiwa ku control mawazo, fikra na jinsi unaavyoishi automatic utajikuta unaishi au ku shift katika dimension au reality fulani ambayo inaenda sambamba na energy au tuseme frequency na vibration ulizokuwa nazo.

Mfano watu kama Elon musk au Mark Zuckerberg dimension au reality za maisha yao ni kutokana na mawazo na fikra zao.

Halikadhalika ukiishi katika low vibe energy na kuwaza shida, mateso, malalamiko n.k definitely unaishi katika dimension au reality hiyo hiyo.

Cha muhimu sana ku control mawazo na fikra zako na kuhakikisha energy yako inakuwa juu.
Mkuu dimensions sio sehemu ya fikra au mawazo, ni ulimwengu mwingine tofauti kabisa.

Katika Universe kuna dimensions kuu tatu ambazo moja ni hii tunayoishi binadamu, nyingine ni wanayoishi Majini (demons) na nyingine ni ya Malaika (Angel's)

Kuhama dimensions moja kwenda nyingine inahitaji knowledge au occult arts, na hiyo ni hatari kwani unaweza kwenda na usirudi.
 
Mkuu hiyo ya kuwa na dimensions nyingine si ndo itakuwa ku master aura huko?
Hapana mkuu, ku master aura hutokana na kuwa na hali nzuri kihisia, kiakili na kimwili.
Halafu ukishaweza kujua kuhama dimensions nyingine inaweza ikaongeza na longevity?
Kuhusu longevity Sina uhakika, lakini kuhama ni kuwa na uwezo wa kuona mambo ambayo macho ya kawaida hayawezi kuona.

20241227_042835.jpg
 
Back
Top Bottom