Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mpaka usome certificate mwaka mmoja ya pre university na ufaulu ndo utaweza kwenda degree
unatakiwa uwe na princpal moja na g.p
.a ya 2..7 dat ol
Soma certificate 1 year, then diploma 2 years. Mlipoambiwa acheni facebook mashuleni mlidhani mnaonewa, sasa piga miaka mingine mitatu ndio ufikirie kuingia degree!Nataka kusoma hiyo cert af nijoin degree nina dss form six vp naweza join chuo?
kuna certificate ambayo ni uqf level 6.ukifaulu unaenda degree nendeni kiu au st joseph wanayo hiyo kozi ila lazima uwe na principal moja advanced
Xo kama una ntalevel 4 kiu au st joseph hawakuchukui?