The full list of winners of African Leadership Magazine (ALM) Persons of the Year 2020. Hongera sana Rais Dkt. John Magufuli

The full list of winners of African Leadership Magazine (ALM) Persons of the Year 2020. Hongera sana Rais Dkt. John Magufuli

Hao runner up wote toa

Contestants walikua wawili wawili,sasa aliekua anatakiwa ni mmoja tu

Kama washiriki ni wawili wawili kila category,then lazima kutakua na wa kwanza na wa pili,hakuna mwingine tena

Ingekua contestants ni wengi zaidi ya wawili then kungekua na Winner halafu Runner-Up

Umeweka concept ya Runner Up ili loser Magufuli aonekane

Bro,kuna winner Ambae ni Addo halafu kuna Loser ambae ni Magufuli,usiweke neno Runner-Up!

Hakuna watoto hapa
Kwenye hiyo category walikuwepo wa nne
Rais wa Ghana
Rais wa Tz
Rais SA
Rais wa Senegal
... Kwa maana hiyo Magufuli kawatimulia vumbi wasouth na senegal tena hata huyo wa ghana wamepishana na Magu 10% tu.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16],JPM alikuwa anaongoza mbali!Ila link ilipoletwa tu JF basi wabongo wakapindua meza!!!!
Watz sio watu wazuri aisee!
Mimi nikafikiri mtamfanya apate sifuri kabisa!

Sasa hapo wamepishana asilimia 10 tu pamoja na mbwembwe zenu.

Na amewapita south na senegal mbona hilo husemi?
 
Hongera sana kwa Mheshimiwa Rais Magufuli. Afrika yote inakujua wewe ni jembe na kiongozi bora
 
Hongera Dr.Magufuli,ukimaliza mitano,Nigeria, Angola wanakuhitaji.
Ingependeza kama wangemchukua sasa hivi kama wanahitaji mhudumu ili watuondolee balaa lakini bahati mbaya lughà hawataelewana maana Kisukuma kule ni sawa na Kichina cha China. Wana akili zao wahudumu wanao tele watachagua msomi Ado kwa maendeleo!
 
Hii tabia ya kura anapigiwa mwingine halafu "wanashinda" wao kumbe ccm wanaitumia hata kwenye chaguzi za nje?
 
Ni mshindi,wa hiyo nafasi ya pili,kwasababu nayo ilikuwa inagombaniwa.
Rais Magufuli ni co- winner na runner up. Ndivyo ilivyoandikwa. Na kwa wengine wote pia. Hivyo ni mshindi mwenza na anayefuatia kwa Addo Akufi. Hongera Rais.Please gougle uone!
 
Kwa ujumla tuache ushabiki, Ghana wana Rais ambaye ana uelewa mkubwa, mipango thabiti na anayeijua Dunia kiaei cha kufahamu afanye nini ili kueletea nchi yake na watu wake maendeleo ya kweli.

Hongera sana Rais wa Ghana. Nawaonea wivu wananchi wa Ghana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nikafikiri mtamfanya apate sifuri kabisa!

Sasa hapo wamepishana asilimia 10 tu pamoja na mbwembwe zenu.

Na amewapita south na senegal mbona hilo husemi?
Kikubwa kapigwa chini,mbaya zaidi wabongo wengi ndio wamemuangusha😁😁😁!
 
Mataga mnajifariji baada ya mbinu zenu za kuhamasishana kupiga kura kufail,....

Mlikuwa mnanunuliana vocha ,mwishoe mmefeli.....

Mshindi ni mmoja tu....(no.01)...achen kujiliwaza
Ni Wivu tu unakusumbua,kaa ukijua Tz Sasa hivi tunaheshimika sana na Ulimwengu Kama tulivyokua tunaheshimika kipindi Cha Mwalimu!! No 2 is not a joke,Magu kawapita Ma Raisi kibao ambao Nchi zao ziko very powerful Kiuuchumi!!
 
In short African Leadership Magazine walichokuwa wakifanya ni kilujitangaza tu wajulikane wapo lakini hawana achieve walichotaka yaani kuongeza mauzo ya gazeti

Tanzania akiyaleta akiuza hata copy kumi ajiehesabu ana bahati

Ni shindamo la kitapeli hali na wala award yeyote kwa washindi
Ni shindamo hewa polemic mlioshiriki kupiga kura
 
Nilitaka kushangaa!!

Jiwe huyu huyu apindue meza? Yani amshinde rais wa Ghana?

Haiwezekani!!

Anyways, HONGERA RAIS WA GHANA KWA KUMSHINDA DIKTETA UCHWARA.
Kwani alikua anashindana na Raisi wa Ghana tu!? Walikua Ma Raisi wengi tu wa Africa,sema wwe umemuona Jiwe na wa Ghana!!
 
Leo nimeamini mashabiki wa ccm ni mataahira. Mnampongeza mtu ambaye hajashinda? Mods naomba nyuzi zote za haya mataahira muwe mnazifyekelea mbali maana ni kichefuchefu tu.
Ni Mshindi wa pili,maana washindani walikua wengi,kwa tunaweza sema Magu yumo kwenye tatu bora za African cream!!
 
Back
Top Bottom