The galactic habitable zone: Lifahamu eneo katika galaxy yetu linalo support uhai

The galactic habitable zone: Lifahamu eneo katika galaxy yetu linalo support uhai

Kuna mabilioni ya magalaxy,na mabilioni ya nyota na Sayari..Je vipi hakuna uwezekano wa kuwa na viumbe kama sisi kwenye maeneo mengine ya hizo galaxies..Maana kwa uhalisia probability ya kuwa na maisha mengine nje ya dunia kwa ni kubwa sana kwa hali ilivyo
Kuna documentary moja niliwahi kuisikiliza youtube inatoa comment kwamba kama tupo peke yetu na hatujui kama tupo peke yrtu, then tuna matataizo makubwa sana. Na iwapo kama hatuko peke yetu na hatujui kama hatuko peke yetu, then tuna mamtatizo makubwa zaidi kwa sababu hatuna uwezo wa kujua ni hatari gani inayoweza kuwa ipo mbele yetu
 
Kuna new Galaxy imepatikana from Webb Telescope inawezekana mambo mengi ya space hatuyajui kama binadamu
Screenshot_20220712-193224.jpg
 
18 0000 light years maana yake Nini ? Kwa Nini msiandike kwa lugha ya kawaida
Kiufupi mwanga waeza zunguka mduara wa dunia( ~ kilomita 40074 ) mara 7.48/s ndani ya sekunda moja. Sasa anza hesabu toka sekunde kwenda dakika>lisaa na masaa>siku>miezi>mpaka mwaka hapo ndio unapata light year(s). 1 light year = 9 trillion km. Zingatia ndani ya vacuum kasi ya mwanga inaongezeka kidogo.
 
Labda kuna viumbe ila sio kama hawa waliopo hapa duniani kwetu.
Kuna mabilioni ya magalaxy,na mabilioni ya nyota na Sayari..Je vipi hakuna uwezekano wa kuwa na viumbe kama sisi kwenye maeneo mengine ya hizo galaxies..Maana kwa uhalisia probability ya kuwa na maisha mengine nje ya dunia kwa ni kubwa sana kwa hali ilivyo
 
Labda kuna viumbe ila sio kama hawa waliopo hapa duniani kwetu.
Kuna baadhi ya sayari lakini out of Milk way Galaxy(Galaxy ambayo tunaishi sisi)zina mazingira yanayofanana copyright na sayari yetu ya dunia kuna hii imegundulika recentl na NASA inaitwa Kepler ina bahari,na baadhi ya organism wanaofanana kabisa na hwa waliopo duniani na unaambiwa hiyo ni moja tu kati ya mabilioni ya hizo sayari..so uwezekano wa kuwa na binadamu wengine mahala pengine upo ukizingatia mazingira mfanano
 

Attachments

  • images - 2022-07-14T231056.233.jpeg
    images - 2022-07-14T231056.233.jpeg
    16.6 KB · Views: 18
Kiufupi mwanga waeza zunguka mduara wa dunia( ~ kilomita 40074 ) mara 7.48/s ndani ya sekunda moja. Sasa anza hesabu toka sekunde kwenda dakika>lisaa na masaa>siku>miezi>mpaka mwaka hapo ndio unapata light year(s). 1 light year = 9 trillion km. Zingatia ndani ya vacuum kasi ya mwanga inaongezeka kidogo.
I LY approximates to 9.50 trillion kilometers
 
Mkuu ongelea na Fermi's paradox pamoja na Drake's equation
 
Kwanza nikupongeze kwa makala nzuri kabisa na safi, imeweza kutufungua macho zaid katika mtazamo mwingine tunapoiangalia dunia yetu na ulimwengu kiujumla.

Kuna hii notion ya chanzo cha uhai ni lazima Maji yawepo biologically speaking haina uhalisia wa 100% kuhusu hili, ambapo possibility ya kupata viumbe na kuweza ku'evolve lazima maji yawepo katika eneo hilo.

Ofcoz maji yanaweza kuwa chanzo lakin pia kuna possibility ya factors zingine zika'play part ya kuwepo kwa viumbe especially kwa sayari za mbali zenye mazingira completely different na tuliyokuwa nayo sasa.

Mfano wa factor nyingine ni uwepo wa Ammonia (NH3) , kisayansi pia wanakubaliana inaweza kuwa chanzo cha kutokea kwa na ku'evolve viumbe hata kama maji hayapo katika mazingira hayo hususan kwenye Sayar na Galaxy za mbali.

Sifa mojawapo ya Ammonia kukubalika kuwa inaweza kuwa chanzo cha uhai kwa sayari za mbali, ni elements zinazounda Ammonia ambayo ni Hydrogen na Nitrogen ambazo pia ni abundance katika Universe na ni elements zilizo'play part kuibuka kwa life hapa dunian,

lakin pia sifa moja kubwa iliyokuwa nayo Ammonia ni kuweza kuwa Liquid katika in very very low temperature (minus centigrade) huko wakat maji ktk temperature hiyo yanaganda.

Na ukwel ni kwamba Sayari nyingi zinazozinguka Nyota zake katika galaxy mbali mbali pamoja hii ya kwetu, zipo nje ya Habitable, chache ndio zinazopatikana ndan.

So research still zinaendelea kuweza kutafakari life nje ya huu mfumo tuliouzoea.
Kuna kipindi Astrophysicist Neil degrase Tyson alitamka kama utani lakin ina'reflect ukwel kwamba, ikiwa siku Alien wakatutembelea wakipata kiu badala ya kutuomba Maji,
Watatuomba Ammonia kwa ajili ya kukata kiu [emoji23]
 
Hii ni kusema kwamba kwa umbali mrefu sana kwenda huko angani, wanasayansi waliona ugumu kutumia vipimo kama kilomita au maili badala yake wanatumia kasi ya mwanga, kwa mfano hapo 180000 light years wanamaanisha kwa kasi ya mwanga unatakiwa uende miaka 180000 ili kufika hapo mahali


Ukichunguza sana unashindwa hata kupata mantiki ya hv vitu ni just watu wanataka kuwaonesha wenzao kuwa wao wan akili zaidi
acha malalamiko babu ukibadili hii kwa km mi namba itakuwa mingi sana, na kwa space ni rahisi zaidi kupima kwa mwanga maana huwezi kutandaza tape upime umbali!.. mbona ni mantiki ya kawaida na inayoeleweka wataka walete takwimu kwa km sehemu ambayo utatumia miaka 18000 kwa kasi ya mwanga hizo kilomita unajua ni ngapi!.

maarifa lazima yawe na maendeleo!.
 
Maana yake ni ukitumia speed ya mwanga utatumia miaka 180000 kufika.
Kwa kipimo hicho cha speed ya mwanga, kutoka tz hadi marekani ni muda gani nitatumia?
 
Back
Top Bottom