The Goat himself

The Goat himself

CARIFONIA

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2013
Posts
616
Reaction score
1,453
FB_IMG_16654360854849008.jpg


Mwaba huya hapa, mshikaji kama amegoma kufa. Bado anatrend kinoma katika social network ukilinganisha na wasanii kibao ambao wangali hai.

Picha za Pac zimekua ni brandi kubwa katika bidhaa kibao kama kwenye t-shirt, viatu, vitambaa, mabegi, tattoo, na ni role model kwa raia kibao.

2Pac dunia inakumic japo umegoma kufa.
 
Tupac ni msanii aliyekuwa anafit killa sehemu..,Sema kuna baadhi ya watu walikuwa wanamuona Sana kwny upande wake wa uhuni.
Rest well Makaveli!
 
Huyu 2pac alikua ana muonekano wa kibasha kabisaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
I can't lie, ain't no love for the other side

Jealousy inside, make them wish I died
Oh my Lord, tell me what I'm livin for

Everybody is droppin got me knocking on heavens door

ONLY GOD CAN JUDGE ME.
 
Back
Top Bottom