The Greatest JF intelligent man

You are delusional!

Reina tu anakugaragaza seuze mimi?

FOH.
Nundu cham cham ,,,Reina anataka kutoa roho za watu humu ,,,halaf eti mtu akikosolewa oooh ana maadui wengi humu ,,maadui my foot watoto wa kiswahili tabu sana,, wanapenda kusifiwa tu , hovyoo
 
Kwa miaka yangu kadhaa hapa JF naona watu wanamshambukia NN si mchezo.

Member wengi kuwaza critically kwenye mijadala hawajazoea. Labda kwa sababu ya waliposoma au kushindwa tu kufijunza mambo.

Sasa huyu NN yeye anakubana kwa kutaka hoja (hata kama ni jambo la hivihivi tu)....hapa ndiyo tatizo linaanzia.

Wengine wanajioa inferior wakiona mtu anachangia au anachambua jambo kwa weledi wa juu.

Ni hulka fulani hivi ya binadamu.

Bahati mbaya Nyani Ngabu anatambua haya na ndiyo maana anakanyaga mule mule. Lazima utajihisi mnyonge

Ni vijimambo tu wakuu....muhimu watu waendelee kujifunza.
 

Thank you.

You're far too kind.

Have a great one!
 
Hata mimi nimeshangaa maana watu kibao wametajwa kwenye huu uzi lakini ulipotajwa wewe ndo imekuwa nongwa...

Ni wazi wewe ni tishio kwake[emoji23]
Alafu ngabu ameshika akili zenu...madem bana....sijakwaruzana na mtu yyte....tulipishana maoni........kumbe yy kabeba kichwani mwake.....mpaka leo..dont tek me serious ...I am just a drunker....and ...nothing else.......ila ukija vibaya nakupa za uso....na sipendi watu wenye dharau.....yy ananichukulia mimi ni adui ....hayo mambo ya huko nyuma nilishasahau...nacomment kwa wakati uliopo
 
The bold sijawai soma story zake nikachoka ila sikukubaliana nae kwenye story kuhusu North korea ila kiongozi yuko poa sana
 
Mtu chake bwana...

Akyanani kuna watu wana wivu mpaka matunduni...khaaa

Siongei mengi ila binadamu ni kiumbe cha ajabuu sana..
Yaani mtu kama hauappreciate Kazi ya The Bold ni una miwivuu karibia matundu yote ya mwili[emoji24] [emoji24] [emoji24]

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mpenzi wangu wengine haya mambo tumezoea.
Tokea tumejiunga huku ni kuchukiwa hadi leo hii,bora hata mimi nina roho nyepesi...huyo Bold ni jiwe kabisaaaaa.
Ukimponda unampa hasira ya kufanya wonders hehehe
 
The bold ana kipaji kikubwa sana na story zake ni nzuri mno ila hajafikia kuwa intelligent.

Kuna wakuu wawili humu ndani toka nijiunge jf , naona ndio ninaweza kuwaita intelligent.

1.mshana jr ,huyu jamaa yeye huwa anaandika vitu ambavyo viko ndani ya ubongo wake na threads zake wengi tumeweza kujifunza mengi .

2.Ontario huyu ni kijana mwenzetu mdogo tu, lakini ubongo wako uko level za wazee wenye hekima zao. Huyu jamaa yeye kaispire vijana na wazee wengi tu, kufikia malengo yao na anauthubutu wa hali ya juu.

Hawa wakuu mimi ndio maweza kithubutu kuwaita ma intelligent wa Jf nzima
 
Embu toeni ujinga wenu hapa. Mbona mnapenda kujipa kiki za kijinga?

Mtu akuchukie wewe au bold kwa lipi hasa? Watu wenyewe hamjulikani ndo mchukiwe kwa lipi? Hizo threads zenu? Au hayo mapenzi yenu? Who the hell are u...????

I mean seriously u sit down and think that people hate u? Stop hallucinating. Grow up

Stupid...
 
Hahahaa sawa mkuu[emoji23]

Intelligence ni relative term. Wewe unayemwona intelligent inawezekana unamwona hivyo kwa uhaba wako tu wakujua mambo.

Kwahiyo unamwona superior ukijilingalisha lakini wala si brilliant kiivyo
 
Ninamuaprishiate the bold,ana kipaji kikubwa na ni intelligent. ila mtu mwenye high IQ kuliko.wote humu jf ni Lara1.kwenye mambo ya dini mtu mwenye high IQ zaidi ni Max Shimba na sijui yukowapi.pia Ontario yupo vizuri anajitahidi.
Lara 1, ndio yule wa igweeeeee km ndiye basi mkuu wewe ni mgonjwa
 
Hahahaa sawa mkuu[emoji23]

Intelligence ni relative term. Wewe unayemwona intelligent inawezekana unamwona hivyo kwa uhaba wako tu wakujua mambo.

Kwahiyo unamwona superior ukijilingalisha lakini wala si brilliant kiivyo
Yeah ni kweli Mimi mwenyewe kuna watu huwa wananiita intelligent[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] wakati najiona kawaida tu.
 
Yeah ni kweli Mimi mwenyewe kuna watu huwa wananiita intelligent[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] wakati najiona kawaida tu.
Ipo hivyo.

Lakini ukweli utabaki watu wengi hapa JF wapo less informed kwa mambo mengi.

Labda kwasababu maarifa mengi yamehifadhiwa/yameandikwa kwa lungha ya Kiingereza?

Kwamba watanzania na kasumba ya kutojua kizungu ndiyo shida?

Naona nayo ni hoja mazee. Mtu anayejua English anakuwa exposured zaidi?

Kwamba atafahamu mengi kwa sababu taarifa nyingi zimehifadhiwa katika kizungu?

Kiinglish ni superior zaidi ya Kibongo kwa maana ya kupata taarifa nyingi, na za uhakika bila kuhangaika?

Noma sana.....mambo haya yananifanya niwaze mambo mob.
 
Kila mtu ana mtazamo wake ndio maana hatufanani akili wala maarifa.

Mtu mwingine anaweza kuona The bold amna kitu ana-tafsiri tu kutoka kwenye kiingereza kuleta kwenye kiswahili pengine ni kweli au ni uongo vyovyote iwavyo lakini kusoma kitu ukakielewa na kuweza kumuelewesha mtu mwingine kile ulichokisoma na akaelewa ni kipaji kikubwa mno.

Kuna walimu kibao mashuleni pamoja ya kuwa wamesomea uhalimu ila hawana kipaji cha kumuelewesha mwanafunzi na mwanafunzi akamuelewa.

Mi nampa Credit The bold kwa kile anachokifanya....Uwezo wake wa kuandika ni mkubwa mno sio Kila mtu Ana Uwezo wa namna ile kama unadhani ni kitu rahisi ingia uko mitandaoni mnaposema anapata habari na wewe soma na uje hapa kutafsiri tuone kama utaufikia ubora wake!!!!!

Kwangu mimi naungana na mtoa mada....Na naungana na wale waliotaja watu wengine pia maana kila mtu Ana mtazamo ila mtazamo wako usifanye uone juhudi za The bold ni amna kitu tusiwe wanafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…