The Greatest JF intelligent man

The Greatest JF intelligent man

The bold unajitahidi.....unafanya research zako vizuri....unaandika vizuri...jamii ya watu wetu .....inakuelewa, inafaidika achana na wapuuzi ambao wanataka kujifanya wao ndio wababe .....wajuvi wa kila kitu na IQ zao ni impeccable kumbe ni viazi tu......wakiongozwa la lile likiazi ....kubwa ...ambalo linafua vyupi vya wazungu huko amerikani.
 
Kwangu mimi intelligence ya mtu naiangalia kupitia nyanja mbali mbali kama common sense ya mtu (na hii wengi hawana), uwezo wa kuelewa jambo haraka, umakini katika kuandika, umakini katika kuelezea hoja mstari kwa mstari, flexibility, wigo mpana wa ufahamu wa mambo tofauti tofauti...nk, nk, nk

Na kwa hayo yote na mengine ambayo sijayataja, kwangu mimi Nyani Ngabu is the man.
 
Kwangu mimi intelligence ya mtu naiangalia kupitia nyanja mbali mbali kama common sense ya mtu (na hii wengi hawana), uwezo wa kuelewa jambo haraka, umakini katika kuandika, umakini katika kuelezea hoja mstari kwa mstari, flexibility, wigo mpana wa ufahamu wa mambo tofauti tofauti...nk, nk, nk

Na kwa hayo yote na mengine ambayo sijayataja, kwangu mimi Nyani Ngabu is the man.
Kwenye huu uzi umekuja kufanya nini??....mleta mada kwa mtazamo wake....ameamua kuleta mada ya kumsifu The Bold.....kwamba ni intelligent person ....which is good.....ww kama haumkubali pita vile......sio unakuja hapa kana kwamba watu wapo kwenye mashindano ya kuchagua nani zaidi....that is a crappy....stupid ....otherwise kafungue uzi wako .....hata mjinga ana wajinga wake wanaomuona ana akili...ni mtazamo kulingana na upeo wa kila mtu
 
Teh teh teh....

Najua wengi wananikubali hata kama ni kimya kimya au kwa shingo upande.

Baadhi yao [ma fans wangu] huja na ID mbadala wakiona nimeshusha utirio uliowakuna. Sasa sijui huwa wanaona noma kunipa big up na IDs zao zilizozoeleka....ah wanajua wenyewe!

İla hapo kwenye ustar sikubaliani nawe.

Lara hawezi kumzidi living legend bana.

Hivyo mimi nitoe kwenye orodha.

Mimi nipo kwenye Mt. Rushmore ya JF.

Ukiangalia kwenye kamusi ya synonymes kuhusu JF, entry ya kwanza ni Nyani Ngabu

Hahahaaaa....natania tu bana. Maana kuna watu wapo gullible sana humu...

Hata mimi huwa nakubali haiba zako kama mbili hivi maana huwa nahisi una "multiple personality disorder". Huwa nikiona unajitetea sana hata kwa kumdhalilisha mtu najua leo haiba moja yenye "low self esteem" inatawala. Haipendi kusikia kitu kinachoitwa kukosolewa. Inapenda kusifiwa, inapenda kutawala na kujiona bora kuliko zingine, inakasirika ikisikia kuna mtu mwingine bora zaidi. Ukija kama mjingamjinga wenzio wanaongelea marashi wewe unaleta picha za nyumba za ughaibuni najua leo haiba nyingine inatawala. tehe... Ukianza kuchambua mambo naona haiba nyingine ya mtu mwenye upeo mkubwa. Uko kaa Trump, samtaimz kaa Putin, samtaimz kaa Mzee Majuto, samtaimz kaa Kagame, samtaimz kaa Prof. Lumumba, samtaimz kaa Bibi Mwenda .................
 
Kwenye huu uzi umekuja kufanya nini??....mleta mada kwa mtazamo wake....ameamua kuleta mada ya kumsifu The Bold.....kwamba ni intelligent person ....which is good.....ww kama haumkubali pita vile......sio unakuja hapa kana kwamba watu wapo kwenye mashindano ya kuchagua nani zaidi....that is a crappy....stupid ....otherwise kafungue uzi wako .....hata mjinga ana wajinga wake wanaomuona ana akili...ni mtazamo kulingana na upeo wa kila mtu
Upupu mtupu
 
I admire in advance that man The bold but also one analyst above (Mwelewa) remind me some members, i appreciated their contribution in this jf platforms like Kilanga and Deception where are they,
 
Namkubali sana mkuu Chief Mkwawa!
Tuko chungu kimoja
Huyu jamaa ndo kanifanya niipende jamiiForums!

Sema jamaa mleta uzi hajui kila jukwaa lina mtabe wake

Kwa sisi wa Science Tech&Gadget huwezi taja list ukawaacha Chief Mkwawa na Mwl rct much respect for dis people

Mleta uzi jifunze kula na kwa jirani usiamini kwenu ndo mabingwa pekee wa kupika.
 
Kwangu mimi intelligence ya mtu naiangalia kupitia nyanja mbali mbali kama common sense ya mtu (na hii wengi hawana), uwezo wa kuelewa jambo haraka, umakini katika kuandika, umakini katika kuelezea hoja mstari kwa mstari, flexibility, wigo mpana wa ufahamu wa mambo tofauti tofauti...nk, nk, nk

Na kwa hayo yote na mengine ambayo sijayataja, kwangu mimi Nyani Ngabu is the man.

Mic drop!!

Nakuja sasa😉.
 
Wadau naona mnashambuliana hatari

Binafsi naona sawa tu watu wakipongezana hapa JF

Pia sisi member wenye michango ya kawaida tunaumuhimu mkubwa tu.

Hebu fikiri wangekuwepo pekeyao member wenye uwezo mkubwa nani angenufaika kwa michango yao?

Kumpongeza mtu maana yake upo huru kuona ubora/uwezo wa huyo mtu pasi chuki, visasi au wivu.

Tunajifunza kila siku. Hili ndio jambo poa
 
Kuna watu wapo humu ...akiona mwenzao kasifiwa wao...roho zinataka kuwatoka...Mungu amewaumba watu na uwezo tofauti tofauti ukilijua hilo wala huwezi tokwa na roho ....kama baadhi ya watu wenye mitazamo myembamba/finyu...ambao comments zao ziko hapo juu ....
 
Nyinyi majoka ya mdimu.....wivu umewajaa....
Sasa mimi na wewe nani mwenye wivu? Kwa hiyo ulitaka watu wote wamtambue the bold pekee?

Na mbona members wengine wamewasifia kiranga (actually namkubali sana kiranga, yani kiranga na NN ndo walionifanya niipende jf), Ontario, alwatan na wengine hujafuka moshi mdomoni mpaka ulipoona nimemtaja NN?

Unamuonea wivu eh... Jinyonge

Nyani Ngabu is the most intelligent man in the whole of jf....

Karibu tena
 
Sasa mimi na wewe nani mwenye wivu? Kwa hiyo ulitaka watu wote wamtambue the bold pekee?

Na mbona members wengine wamewasifia kiranga, Ontario, alwatan na wengine hujafuka moshi mdomoni mpaka ulipoona nimemtaja NN?

Unamuonea wivu eh... Jinyonge

Nyani Ngabu is the most intelligent man in the whole of jf....

Karibu tena
Hayo ni maoni yako....alafu usinilazimishe.....nikubaliane na wewe....kwa upande wako huyo jamaa anaweza kuwa intelligent mimi sipingi hilo ndio upeo wako ulipofikia .....pili uwe muelewa....hata kwenye kundi la mataahira....atakayeweza kwenda kukojoa chooni badala ya kujikojolea nae ni intelligent...ukielewa haya....unafunga bakuli lako na kupita vile
 
Sasa mimi na wewe nani mwenye wivu? Kwa hiyo ulitaka watu wote wamtambue the bold pekee?

Na mbona members wengine wamewasifia kiranga, Ontario, alwatan na wengine hujafuka moshi mdomoni mpaka ulipoona nimemtaja NN?

Unamuonea wivu eh... Jinyonge

Nyani Ngabu is the most intelligent man in the whole of jf....

Karibu tena

Teh teh teh...Reina bana!

Yaani jina langu likitajwa tu kuna watu huwa wanapatwa na fundo kooni.
 
Wewe ni mjinga sana...

Hivi mtazamo wa mtu mwingine unawezaje kukuumiza kiasi hicho?

Nimetoa mtazamo wangu kuhusu mtu nayeona ni most intelligent man in JF. Sasa wewe povu lote la nini?

Kama wewe kwako Nyani Ngabu sio most intelligent man in JF...then why do u care about my opinion? Unless my opinion is your reality and u can't stand it because u are so envious

You are simply a fool...

Ngoja nikupe muhtasari wa usuli wa huyo jamaa.

Huyo jamaa nimeshakwaruzana naye mara kadhaa humu na kama ilivyo kawaida yangu, nikamlambisha mchanga.

Simjui na hanijui lakini nahisi kuwa 'hanipendi' [ile ki JF JF].

Hivyo alivyoona umeniongelea naamini hakupenda kabisa.

Na kama uliona, hapo nyuma kuna sehemu aliandika na kuniponda mimi kuwa sijui ni muosha wazee US [only if he knew..hahahaa] na blah blah blah.

Ndo maana unaona anatoa hilo povu analolitoa na kakomaa kuhusu mimi na si hao wengine waliotajwa.

Kwa hiyo tatizo ni mimi.

Kama ukiniponda atakupenda na 'Like' atakugongea.

Ila ukinisifia atafanya kama anachokifanya.
 
Ngoja nikupe muhtasari wa usuli wa huyo jamaa.

Huyo jamaa nimeshakwaruzana naye mara kadhaa humu na kama ilivyo kawaida yangu, nikamlambisha mchanga.

Simjui na hanijui lakini nahisi kuwa 'hanipendi' [ile ki JF JF].

Hivyo alivyoona umeniongelea naamini hakupenda kabisa.

Na kama uliona, hapo nyuma kuna sehemu aliandika na kuniponda mimi kuwa sijui ni muosha wazee US [only if he knew..hahahaa] na blah blah blah.

Ndo maana unaona anatoa hilo povu analolitoa na kakomaa kuhusu mimi na si hao wengine waliotajwa.

Kwa hiyo tatizo ni mimi.

Kama ukiniponda atakupenda na 'Like' atakugongea.

Ila ukinisifia atafanya kama anachokifanya.
Nilishakupiga knock out usijikweze
 
Back
Top Bottom