James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Sisi wengine tulikuwa tukipitishwa kuwaona na our seniors ktk kukua kwetu. Unasubiri mpaka achanue mabawa ndo uridhike.Wakati nipo dogo nilikuwa naenda hapo kucheza na au niseme kuwatazama huku nikimsubiri maza atoke kazini turudi nyumbani.
Nilikuwa nawaona ni kivutio kizuri sana.
Siku hizi sijui hata kama wapo tena.
Monstgala huyu jamaa ndo alifanya niipende jfThe Bold na wengine waliotajwa hapa ni magwiji kwelikweli katika nyanja zao. Kuna mwingine sina hakika kama ametajwa hapa....mtaalamu wa manyota na songombingo zote za anga za juu, nina miaka sijamuona humu (au labda yupo ila ni uvivu wangu tu) alikuwa anaitwa Monstgala....
HESHIMA KWENU WOTE WAKUU.
Mmeshaanza chit chat eeeh? Shauriro!!Mods njooni Nyani Ngabu anantishia kunitukana
Umenena vyema kabisa,kula tano ya ujazo[emoji122] [emoji122] [emoji109] [emoji109] [emoji109]Kiswahili ni lugha nzuri na iliyo tamu sana.
Na ni moja ya lugha zilizo rahisi kujifunza.
Tatizo moja kubwa nilionalo mimi ni ukosefu wa taasisi imara za kukikuza.
Baadhi ya watu hudai Kiswahili hakijitoshelezi kimsamiati kama ambavyo Kiingereza kinavyojitosheleza.
Hiyo dhana sikubaliani nayo. Ni dhana potofu.
Kiingereza kimeazima maneno hadi kwenye Kiswahili! Huko kwenye Kilatini ndo usiseme kabisa.
Kila mwaka taasisi za lugha ya Kiingereza huingiza maneno mapya kwenye kamusi zake.
Kwenye Kiswahili sijawahi kuliona hilo.
Sasa kwa mfano kama maneno flani ya Kiingereza hayapo kwenye Kiswahili kwa nini tusiyaazime na tukayaswalihisha tu ili nasi tuwe nayo?
Mbona mengine tumeyaswalihisha? Polisi tumeliswalihisha...hospitali tumeliswalihisha.....shule tumeliswalihisha...na mengineyo mengi tu tumeyaswalihisha.
Sioni kwa nini tusiyaswalihishe na hayo mengine ambayo hatunayo kwenye msamiati kwa sasa.
Waingereza hadi neno 'safari' wameliazima na kuliingiza hadi kwenye kamusi zao.
Hata sisi naamini tunaweza kufanya hivyo hivyo kwa yale ambayo tunaona hatunayo.
Asante........maneno ya ukweli hayaNajua, najua.
Wanasema kwamba Kiswahili kimejawa na maneno ya kutohoa (au kwa Kiswahili kingine Kuswahilishwa) mpaka asili yenyewe inapotea.
Na huu mjadala si wa Kiswahili tu.
Kwa yeyote aliyekisoma Kiingereza cha ndani cha kina Churchill na hata zamani zaidi, atajua na kuona hawa kama walikuwa na nafasi ya kutumia neno lenye mizizi ya "old English" au neno jipya la kutohoa kutoka Kilatini, walichagua neno la "Old English".
Kwa hivyo huu si mjadala mpya wa Kiswahili tu.
Hata Kiingereza kilishakuwa na mjadala huu.
Wangapi wanajua hilo?
Lkn kina Kadege hawataki kitumike eti hakina msamiati sasa kitapataje msamiati wakati hamtaki kukitumia?Taasisi hazina meno. Tataki (udsm) wanajitahidi kidogo wametafsiri vitabu kadha wa kadha shida inakuja utumizi wa kiswahili uko limited sana ktk elimu. Siku itakapotumika kama lugha ya kufundishia sekondari itakuwa vizuri.
Tunatakiwa kumuelewa Kadghe vizuri. Hata ukisoma Utafiti wake anataka code switching as medium of instruction unajiuliza anatka utambulisho gani kwa vizazi vijavyo. Lugha ni utambulisho. Yeye na watoto wake ni wanufaika wa mfumo Kingereza ktk elimu. Vip kuhusu millions of Tanzanian children?Lkn kina Kadege hawataki kitumike eti hakina msamiati sasa kitapataje msamiati wakati hamtaki kukitumia?
Sawa kwake yeye anufaike ni Kiingereza lkn ni % ngapi ya watanzania wanakihitaji na kukitumia kila siku ktk maisha yao ya kila siku ni wachache sana.......kwa hiyo point yake hains mashikoTunatakiwa kumuelewa Kadghe vizuri. Hata ukisoma Utafiti wake anataka code switching as medium of instruction unajiuliza anatka utambulisho gani kwa vizazi vijavyo. Lugha ni utambulisho. Yeye na watoto wake ni wanufaika wa mfumo Kingereza ktk elimu. Vip kuhusu millions of Tanzanian children?
Hata hivyo tunahitaji kujifunza lugha nyingi. Lakini suala ni pale lugha ya kigeni inapotumika ktk kufundishia inazuia uelewa then anakuja msomi kuitetea nashindwa kumuelewaSawa kwake yeye anufaike ni Kiingereza lkn ni % ngapi ya watanzania wanakihitaji na kukitumia kila siku ktk maisha yao ya kila siku ni wachache sana.......kwa hiyo point yake hains mashiko
Umenena vyema kabisa,wasomi wetu si ndo hao kina Poropesa Lipumbavu umategemea niniHata hivyo tunahitaji kujifunza lugha nyingi. Lakini suala ni pale lugha ya kigeni inapotumika ktk kufundishia inazuia uelewa then anakuja msomi kuitetea nashindwa kumuelewa
una majivuno. hutakaa ufanikiwe kwenye maisha yakoHahaaaa....you're still hung-up on that huh??
It must hurt not getting Ngabu's attention if I'm still on your brain like that.
You'll get over it, though, with the passage of time, of course.
Other than that, I don't shy away from challenges and I pretty much lay to waste whoever thinks he/she can go toe to toe with me.
But also I don't waste time arguing with driveling idiots. So if I figure out that you're one of them, I give you the stupid treatment that you rightly deserve and I do so in a quick, fast, and in a hurry fashion.
Hapa JF aliwahi tokea mtu mwenye uwezo mkubwa sana wakufikiri......si mwingine ni mkuu Kiranga.
Mwingine mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri ni mkuu Nyani Ngabu.
Nafahamu Nyani Ngabu wakatimwingine anaweza kufanya mambo mengi ya utani tu laini huyu jamaa anauwezo mkubwa
Pia member anayeitwa Deception (sijui yupo wapi siku hizi) naye anaweza kujenga hoja sana.
Mwingine ni mkuu ONTARIO anaweledi mzuri kwenye business na ujasiriamali. Pia anaweza sana kusimulia tukio fulani kwa weledi
Member mwingine ni Al-Watan. Huyu anauwezo mkubwa kufikiri logically. Aina yake ya kufikiri ni kama Kiranga japo yeye hashiriki sana mijadala hapa
Pia kwenye hii list yangu namsifu The Bold anakipawa cha kusimulia makala za kijasusi anazozipata kwa msaada wa mtandao
Update
Aaaah nimemkumbuka my brother Dan Copper. Huyu yupo vizuri upande wa celebrity forum. Hususani muziki wa majuu. Zamani alikuwa anajiita Sergio Paulo...
Kwa upande wa siasa mkuu barafu nakusifu.
Hao ni baadhi, wapo wengi hapa JF nao si haba. Tunajifunza na kufurahia hoja na mada zao
Kiranga ni the best...kuna wakati alikuwa akilianzisha kwenye thread basi nitamfuatilia hata comments zikifika 1k..sijui kapotelea wapi huyu mtu au ana Id nyingine??Hapa JF aliwahi tokea mtu mwenye uwezo mkubwa sana wakufikiri......si mwingine ni mkuu Kiranga.
Mwingine mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri ni mkuu Nyani Ngabu.
Nafahamu Nyani Ngabu wakatimwingine anaweza kufanya mambo mengi ya utani tu laini huyu jamaa anauwezo mkubwa
Pia member anayeitwa Deception (sijui yupo wapi siku hizi) naye anaweza kujenga hoja sana.
Mwingine ni mkuu ONTARIO anaweledi mzuri kwenye business na ujasiriamali. Pia anaweza sana kusimulia tukio fulani kwa weledi
Member mwingine ni Al-Watan. Huyu anauwezo mkubwa kufikiri logically. Aina yake ya kufikiri ni kama Kiranga japo yeye hashiriki sana mijadala hapa
Pia kwenye hii list yangu namsifu The Bold anakipawa cha kusimulia makala za kijasusi anazozipata kwa msaada wa mtandao
Update
Aaaah nimemkumbuka my brother Dan Copper. Huyu yupo vizuri upande wa celebrity forum. Hususani muziki wa majuu. Zamani alikuwa anajiita Sergio Paulo...
Kwa upande wa siasa mkuu barafu nakusifu.
Hao ni baadhi, wapo wengi hapa JF nao si haba. Tunajifunza na kufurahia hoja na mada zao
Mkuu listi yako inafanana na yangu kwa asilimia 99.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] koment kubwa sanaa hiiKiranga is a true genius. Ana produce new ideas
Huyu the bold anadesa wikipedia na documentaries za Histroy Channel mnamwita intelligent
Wabongo kuwadanganya ni rahisi sana
Comment ya mwaka Jf [emoji23][emoji23][emoji23],,,achukiwe Dangote ana pesa zake na kwenye list yupo ,sasa hao nao hawajiamini eti wanachukiwa hhhhaaa nicheke mieEmbu toeni ujinga wenu hapa. Mbona mnapenda kujipa kiki za kijinga?
Mtu akuchukie wewe au bold kwa lipi hasa? Watu wenyewe hamjulikani ndo mchukiwe kwa lipi? Hizo threads zenu? Au hayo mapenzi yenu? Who the hell are u...????
I mean seriously u sit down and think that people hate u? Stop hallucinating. Grow up
Stupid...
Tena mgonjwa kabisaLara 1, ndio yule wa igweeeeee km ndiye basi mkuu wewe ni mgonjwa
Kuna Tabia imezuka JF ya kuambiwa ukweli halafu mtu anakimbilia ngao ya uhater kujikinga.Tena mgonjwa kabisa