The Greatest Man in Universe: Kijana mdogo aliyefanya makubwa na kuacha alama akiwa na umri mdogo

Umepoteza muda mwingi kuandika fact ya kutisha huku ukificha mambo muhimu kwenye mada yako, Yesu alikufa na siku ya Tatu alifuduka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiamini yanayosemwa huku unaweza kukuta huyo ni zito kabwe
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rudia kusoma,rudia tena,
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukute huyo ni msabato mkuu. Hata kuelewa
Yesu hajawahi kuwamaskini Kama mnavyomchora kwenye picha akitembea pekupeku Akiwa Hana viatu .Yesu hajawahi tembea bila viatu alikuwa na viatu Tena vya kufunga na kamba.

Alipoenda kwa yohana mbatizaji alikuwa kavaa viatu vya uhakika kiasi kuwa yohana mbatizaji akasema sistahili haya kulegeza gidamu za viatu vyake

Yesu alikuwa na mhasibu wake wa pesa zake binafsi Yuda Iskariote.Na alikuwa akiiba Lakini Yesu hakushtuka alivyokuwa nazo nyingi

Utamwitaje kuwa alikuwa maskini Wakati alikuwa Hadi na mhasibu wapagani nyie? Mimi Ni mfuasi wa Yesu tajiri Hilo pepo lenu mnaloita Yesu maskini bakini nalo wenyewe.

Yesu hakuwahi kuwa maskini na hakuzaliwa familia maskini .Hilo pepo Yesu maskini mnaloabudu nyie bakini nalo wenyewe
 
Yesu alkuwa anapata kipato kupitia miradi ipi hadi awe na muhasibu wake?
 
Yesu alkuwa anapata kipato kupitia miradi ipi hadi awe na muhasibu wake?
Alikuwa selemala maarufu na aliachisha watu wenye kazi zao Mathayo alikuwa ofisa forodha mkubwa wa TRA Kama tuliyonsyo Leo,,Luka alikuwa Daktari,Petro alikuwa mvuvi maarufu nk

Alipowaambia waache kazi zap wamfuate walimhoji sisi tumeacha vyote tukakufuata tutalipwa Nini? Yesu Tajiri Bwana wangu ninayemfuata Akawambia nitawalipa Mara Mia kuliko mlichokuwa mnalipwa hapa Duniani hapa hapa mlipo na Baadaye Uzima wa milele

Wakasema sawa na Hakuna aliyeacha kazi kwa Yesu Ina maana walichokitaka walilipwa bila ubabaishaji.

Ndio maana Yesu aliweka mhasibu Yuda Iskariote Afanye kazi hizo za kushughulikiwa mapato na matumizi Yake ya pesa zake binafsi ikiwemo kulipa mishahara ya mitume

Kazi ya uselemala ilikuwa inalipa hasaaaa na aliirthi kwa baba Yake mlezi tajiri Yusufu
 
Aisee

So stupid ani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leta ushahidi Kama yesu ni mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leta ushahidi Kama yesu ni mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
Haikuhusu wimbo wa Taifa unaimba Mungu ibariki Afrika anayeabudu chura Kama Mungu akiimba Mungu ibariki Afrika anaamaanisha Mungu wake chura na anaimba kwa hamasa,mwingine akiimba Mungu ibariki Afrika anaabudu babu yake marehemu anaimba kwa hamasa akimaanisha babu yake Anayeamini Ni Mungu Abariki Afrika,Mwingine anaabudu nyoka chatu Kama Mungu akiuimba wimbo wa Taifa anaamaanisha Mungu wake chatu Abariki Afrika,mwingine anaabudu Allah akiimba Mungu Ibariki Afrika anaamaanisha Mungu Chatu na hatakiwi kuthibitisha kuwa huyo mungu ni Mungu kweli

Swali dogo wewe huwa unaimba wimbo wa Taifa au hajawahi imba? Popote toka uzaliwe?

Vipi wimbo wa Taifa ulishawahi imba popote
 
Wewe ni mgonjwa mkuu jikague
 
Tusaidie kurani inasema vitabu vilivyotelemshwa Kuna torati,zaburi ,injili na kurani.

Kurani tunaiona.Hivyo vitabu Vingine viko wapi? Waislamu tuonyesheni
Mkuu torati ilikuwa kipindi Cha Nabii mussa na Zaburi ilikuwa kipindi Cha Nabii Daud, Sasa Kama unataka kuviona hivyo vitabu Rudi nyuma kipindi Cha Nabii mussa na Nabii Daud utaviona mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umenifikirisha hapo, "Maria alikuwa bikra lakini ana mume "

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…